From the green world to a black world

ooh oky. So unaweza kunitajia hao spiritual guru??
Huwa sikumbuki majina_ila maandishi yao huwa yanaakisi ufahamu mwingi

ila unaweza kuuliza tena_ ni vipi utatambua maandishi haya ni ya moja wapo wa maguru.!?
 
Huwa sikumbuki majina_ila maandishi yao huwa yanaakisi ufahamu mwingi

ila unaweza kuuliza tena_ ni vipi utatambua maandishi haya ni ya moja wapo wa maguru.!?
Je ni vipi utatambua maandishi haya ni ya moja wapo wa maguru??
 
ƙυɳα ɯαƚυ ɯαႦιʂԋι ʂαɳα ɱɱ ɳαʂσɱα ƚυ ƈσɱɱҽɳƚ ȥασ ԋαƚα ɱɯαɳȥσ ɯαʅιαɱႦιɯα ƙυɳα ʂιɱυ ȥα ƚσυƈԋ ȥιƚαƙυʝα ɯαƙαႦιʂԋα ɯҽɯҽ ɳɠσʝα ƚυ ɱԃα υϝιƙҽ
 
human being ni source of energy....

we are not born but we are growing somewhere ....

Ukilijua hili ndo utajua kuwa haya maisha tunayopewa ni kukeep busy illusion tujue kuwa tunaadvance but we are growing somewhere ...

our mind interprete katika mazingira tofauti sana...ila kiukweli there is a purpose behind kwanini tupo hapa duniani...

you serve a purpose for beneficial purpose mkuu....

Ndani ya ulimwengu huu kuna maisha yanaendelea aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli ila sitafafanua na nakukumbusha kwamba kuna watu hawatawaliki.Usiniulize ni kwanini.Hawa hawaathiriki mkuu na hao wenye maguvu huwashindwa ila wapo wachache sana.Sitafafanua zaidi.
 
Ni kweli ila sitafafanua na nakukumbusha kwamba kuna watu hawatawaliki.Usiniulize ni kwanini.Hawa hawaathiriki mkuu na hao wenye maguvu huwashindwa ila wapo wachache sana.Sitafafanua zaidi.
mkuu tupe mambo aise tufungue akili....haya mambo inabidi kushare...you never know mtu mwingine atakuokoa kwa lipi huko mbeleni..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni kweli ila sitafafanua na nakukumbusha kwamba kuna watu hawatawaliki.Usiniulize ni kwanini.Hawa hawaathiriki mkuu na hao wenye maguvu huwashindwa ila wapo wachache sana.Sitafafanua zaidi.
Mkuu ungefafanua tu. Au ukifafanua utaathirika kwa namna moja ama nyingine??

.
 
Mkuu ungefafanua tu. Au ukifafanua utaathirika kwa namna moja ama nyingine??

.
Watu wapo hata humu hawakubali mtu ajue kama wao.ni hatari sana hawa watu.Ila kuna falme aina tatu WACHAWI WA ASILI HAWA WA JADI WACHAFUCHAFU,WAFANYABIASHARA WAKUBWA WATAJIRIKAO KWA MAKAFARA,NA HAWA WA KIZUNGU MKIWAITA KAMA FREEMASON.MKUU WAO WANA MACHO MANNE NA HAWAKUBALI MTU MWINGINE AFUNGUKE MACHO HAYO.watakumaliza,shida yao wakigundua nguvu kubwa ya asili kuna mawili au matatu.watakuwinda kukumaliza ili waichukue,pili watakubembeleza ujiunge nao na au watakulazimisha.KUMBUKA TU KUNA WATU WANA NGUVU KUBWA ZA ASILI huWEZI kuwatawala wala kuwadhibiti.ILA KUNA VITU UKIVIONA WAWEZA KUFA KABLA.
 
mkuu tupe mambo aise tufungue akili....haya mambo inabidi kushare...you never know mtu mwingine atakuokoa kwa lipi huko mbeleni..

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu wanao ulimwengu kiganjani mwao tena washwahili tu.Kukusaidia naamini wewe ni mtu msomi na mdadisi sana kama hujawahi kufuatilia kuhusu kiti kinaitwa (MIZIMU)tafadhali anza kujifunza vizuri.Ni hapa ndipo muafrika alipoanza kuangukia.
 
Mkuu lifecoded kuna kipindi kuna memba alianzishaga uzi unaohusu tafsiri za ndoto humu.wengi tulichangia humu kuna ndoto nilizisimulia humu,taabu niliyoipata nilijuta nashukuru nilipona.Ila onyo ndoto zina siri kubwa ya maisha usimsimulie kila mtu.HIZO NDOTO NI SEHEMU YA HIZO ENERGY MNAZOZINGUMZIA HAPA.KWA LEO NI HAYO.
 
Hawa jamaa miyeyusho sana,tatizo lao kubwa ni kukimbia maswali magumu.


Maswali yangu huwa hawayajibu sasa sijui ni ya kipuuzi hayana maana au magumu sana.

Ila tu nawakumbusha hawa jamaa Elimu haiongopi na huo msamiati wao mara Esoteric Knowledge mara Exoteric Knowledge mara Chakra (Internal Energy/Spiritual Energy) ni mambo madogo sana ambayo yote hukomea kwenye uongo,uoga na wasi wasi tele. Sasa msingi wa maswali yangu huwa nataka wawe wana yajibu ili tuwapeleke huko wanakotaka wao.

Asili ya hizo waziitazo hidden doctrines ni ujinga na mwisho wake huwapelekea kwenye ushirikina.

Hizi lugha zao huwa wanazitumia kwa maslahi yao binafsi ili kuja kuwapiga watu wasio jishughulisha na elimu,ilo waweke matabaka yaliyo asisiwa katika uongo na ujinga,ili wawafanye watu fulani waonekane bora kuliko wengine kisa eti wana elimu zilizofichikana/elimu za siri/hidden doctrines/علم الباطن.

Hakuna binadamu katika uso huu wa dunia anaejua elimu ya mambo yaliyofichikana,Elimu hii hata mitume na manabii hawakupewa seuze hawa wasio jua kwanini kuna usiku na mchana au wasio jua ni zipi lazi za nyota.

Nimewakumbusha tu.
Some times nakuelewa sana bibiye

Sema ndo vile , tu mi mkristu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu uislam haukufungi kutafuta maarifa mengine. Na ukiona hawakujibu si kwa kuwa maswali yako magumu bali unaongelea vitu ambavyo huna experience navyo. Kama hapo unazungumzia chakra ilhali inaonyesha hakuna unachojua kuhusu chakra. Huna experience ya hiyo knowladge sasa unategemea watu wakujibu nini mkuu?? Unasema ni ushirikina na naamini unajua kabisa shirk ni nini na inakuwaje mpaka unafikia hatua ya kuwa mushrik. Allah ana sema katika quran imma ushukuru ama ukufuru so watch out your intention katika kuyaende mambo. Nia yako na uelewa wako ndio unakuwa counted katika shirk.
Amejifunga kwenye kuran akasahau katika kila ibada kuna siri na matokeo tofauti.ulimwengu ni mpana sana.
 
Amejifunga kwenye kuran akasahau katika kila ibada kuna siri na matokeo tofauti.ulimwengu ni mpana sana.
Huyu jamaa anajichanganya sana anajiona muislam ni peke yake humu JF na yeye ndie anaeujua Uislam. Huyo hata ukileta mada inahusu technology lazima ataleta mambo ya Quran sidhani kama anaielewa vizuri hiyo Quran. Kila siku nasemaga hawa ni waislam jina tu wamezongwa na sifa waonekane wamesoma sana dini. Arudi madrasa tena akajifunze amtafute Qasim Mafta amfundishe taratibu za kufanya minakasha ya dini.

.
 
Watu wapo hata humu hawakubali mtu ajue kama wao.ni hatari sana hawa watu.Ila kuna falme aina tatu WACHAWI WA ASILI HAWA WA JADI WACHAFUCHAFU,WAFANYABIASHARA WAKUBWA WATAJIRIKAO KWA MAKAFARA,NA HAWA WA KIZUNGU MKIWAITA KAMA FREEMASON.MKUU WAO WANA MACHO MANNE NA HAWAKUBALI MTU MWINGINE AFUNGUKE MACHO HAYO.watakumaliza,shida yao wakigundua nguvu kubwa ya asili kuna mawili au matatu.watakuwinda kukumaliza ili waichukue,pili watakubembeleza ujiunge nao na au watakulazimisha.KUMBUKA TU KUNA WATU WANA NGUVU KUBWA ZA ASILI huWEZI kuwatawala wala kuwadhibiti.ILA KUNA VITU UKIVIONA WAWEZA KUFA KABLA.
Duh mzee baba umenichanganya kichwa yangu aisee

.
 
Back
Top Bottom