From the green world to a black world

Huwezi kutega mtu anayecheza kwenye tone kama za lifecoded ni ndoto

itakuwa kama buibui ale usongo wa nyuzi zake kukamata kunguru badala ya mbu na panzi...!

Ile ni akili iliyo nje na upeo na kupita kufikiri kidini

Unachoweza wewe ni kimoja tu kutuchafulia hali ya hewa wakati spiritual diver wanapofanya yao kwenye ulimwengu wetu wa kiroho_huna kingine

Nacheka sana. Nimemaliza.
 
Hata tone ya maandishi yako inaakisi kisirani

kujadiliana na mtu mwenye element za kii silamu ni mzigo_bora yaishe

Tatizo huwa mnaongea mambo ambayo mnayasikia kwa watu mwisho wa siku mkiulizwa maswali mnapaparika kama kifaranga kilichonusurika kuliwa na kicheche.

Ukiamua kusoma msome kweli.
 
Hata tone ya maandishi yako inaakisi kisirani

kujadiliana na mtu mwenye element za kii silamu ni mzigo_bora yaishe
Sio uislam tu mkuu. Mkiwa mna jadili mambo yasiyohusu dini na mwingine kuingiza imani za kidini katika mambo hayo kinachotokea hapo ni mabishano na si majadiliano yenye tija ya kujifunza. Ikishahusishwa dini hakuna muafaka mkuu. Just ignore them
 
Mambo ya dunia na story zake ukizifikilia sana unaweza pasuka kichwa hasa mm uwa najiuliza sana maswali haya makubwa na bado majibu yake cjayapata .

Mimi ni nani ? Kwa nini ninaishi ? Kwa nini ninakufa ? Baada ya kufa unakwenda WAPI ? Je unaamini kuna maisha baada ya kifo ? Maisha ni nini ? Kati ya maswali machache sana akini majibu yake yanahitaji mlolongo Mrefu sana wa maelezo

Sent using Jamii Forums mobile app

Kaka unawajua wanafalsafa ? Au unaijuq elimu ya Falsafa ?

Kwako wewe elimu hii unaipa nafasi gani ?
 
Tatizo huwa mnaongea mambo ambayo mnayasikia kwa watu mwisho wa siku mkiulizwa maswali mnapaparika kama kifaranga kilichonusurika kuliwa na kicheche.

Ukiamua kusoma msome kweli.

Huyo rabi wako alikosa jambo moja la kukuasa

Labda mimi nikukumbushe tu kuwa hakuna mwisho wa utunzi wa vitabu

Sasa unaponiasa mimi kuingia katika mbio zako zisizo na mwisho_sikuelewi...!
 
Huwezi kutega mtu anayecheza kwenye tone kama za lifecoded ni ndoto

itakuwa kama buibui ale usongo wa nyuzi zake kukamata kunguru badala ya mbu na panzi...!

Ile ni akili iliyo nje na upeo na kupita kufikiri kidini

Unachoweza wewe ni kimoja tu kutuchafulia hali ya hewa wakati spiritual diver wanapofanya yao kwenye ulimwengu wetu wa kiroho_huna kingine

Huwezi kufikiri jambo kama lilivyo nje ya mipaka ya dini au muongozo wa dini.

Akili ni nuru yaani mwangaza unao kumulikia katika utambuzi wa mambo.

Mfano ukiwa gizani giza totoro kuna vitu huvioni ila nuru iingiapo katika giza hilo unafunukiwa au kupambaukia na yale ambayo hukuyaona gizani.

Akili hutumika kuuelewa ufunuo,lakini pindi ufunuo ukishatia nanga akili inakuwa haina nafasi. Ufunuo umekuja kujibu maswali ambayo akili ya binadamu haiwezi kuyajibu.

Ufunuo unajibu juu ya ukweli kuhusu kifo,ufunuo unajibu kuhusu maisha baada ya kifo,ufunuo unajibu kwanini tunakufa,ufunuo unajibu kwanini tunaishi.
 
Huwezi kufikiri jambo kama lilivyo nje ya mipaka ya dini au muongozo wa dini.

Akili ni nuru yaani mwangaza unao kumulikia katika utambuzi wa mambo.

Mfano ukiwa gizani giza totoro kuna vitu huvioni ila nuru iingiapo katika giza hilo unafunukiwa au kupambaukia na yale ambayo hukuyaona gizani.

Akili hutumika kuuelewa ufunuo,lakini pindi ufunuo ukishatia nanga akili inakuwa haina nafasi. Ufunuo umekuja kujibu maswali ambayo akili ya binadamu haiwezi kuyajibu.

Ufunuo unajibu juu ya ukweli kuhusu kifo,ufunuo unajibu kuhusu maisha baada ya kifo,ufunuo unajibu kwanini tunakufa,ufunuo unajibu kwanini tunaishi.
Bado teenager sana kwenye spiritual knowledge_tafuta Guru humu_wapo wengi tu utakufa kafir
 
Huyo rabi wako alikosa jambo moja la kukuasa

Labda mimi nikukumbushe tu kuwa hakuna mwisho wa utunzi wa vitabu

Sasa unaponiasa mimi kuingia katika mbio zako zisizo na mwisho_sikuelewi...!


Naona nilichokiandika umekielewa.

Huu ukweli chukua "Tengeneza kiti chako kwanza kabla ya kukitia nakshi"
 
Back
Top Bottom