wale wa jeshini wanalipwa na JWTZ mwajiri wao, kwa hiyo wana haki kupata marupurupu yao kama vile mikataba yao inavyosema na hawa wa kwetu wanalipwa na serikali ambayo tumeshaambiwa madai yao yanashughulikiwa.
Msiniulize kwamba serikali ina bajeti ngapi, hilo swali muulizeni waziri wa fweza.