Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
Kweli ingunga kuna mambo wakazi wa igunga na vitongoji vyake wametanda barabarani
kumsubiri Rais mstaafu Benjamini mkapa kufungua mkutano wa ccm
Shughuli zote za kazi na biashara zimesimama kwa muda
Nitawawekea updates za picha soon bado watu wanakusanyika
Updates....................
Mkapa alivyopokelewa jana
kumsubiri Rais mstaafu Benjamini mkapa kufungua mkutano wa ccm
Shughuli zote za kazi na biashara zimesimama kwa muda
Nitawawekea updates za picha soon bado watu wanakusanyika
Updates....................
Mkapa alivyopokelewa jana