From Hyatt Regency, The Kilimanjaro: the 2nd Tanzania Oil & Gas Congress. Wazungu Wengi Kuliko Wenyeji!

Mkuu kiingilio hapo ni $2000+. Sasa hiyo hela ni zaidi ya millioni 4 si bora ufanye biashara. Kampuni ya oil and gas ya kitanzania ipo. Inaitwa swala oil and gas. Au umesahau?
ni gharama ndogo sana hiyo ukizingatia unachoenda kujadiliana kinaweza kukupatia zaidi ya hiyo mara 10000.
tumia pesa upate pesa zaidi. hayo ni mawazo ya kibahili na hutaweza kuendelea ukiichungulia sana
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuhudhuria kongamano la pili la Oil and Gas linalofanyika hapa Hoteli ya Hyatt, Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, anayewakilishwa na Waziri January Makamba, (kufuatia ajali ya MV Nyerere, kumeitishwa kikao cha dharura cha Cabinet).

Kitu cha kwanza ku note, wajumbe wazungu ni wengi zaidi kuliko wenyeji, kitu kinachoashiria sisi Watanzania, ama bado tuko nyuma katika kuchangamkia fursa za uchumi wa gesi, na bomba la mafuta, ama mambo ya uchumi wa Gesi ni mambo la level ya juu sana, not reachable kwa Watanzania walio wengi, ndio maana hata kwenye vitalu vyote vya gesi, hakuna hata kitalu kimoja kinachomilikiwa na kampuni ya Kitanzania!.

Mkutano umeanza kwa one minute silence kuwakumbuka wahanga wa ajali ya MV Nyerere.
Ratiba ni hii

08:20 Welcome Address
08:30 Ministry of Energy Address: Outlining the Vision for Tanzania's Industrialisation Powered by Oil & Gas
08:45 Official Presidential Address
09:00 Sponsors Welcome Addresses
09:20 Session 1: Ministerial Session Opening Remarks
11:30 Session 2: Oil & Gas Latest Developments in Tanzania: Government & Industry Collaboration to Move the Projects Forward
14:15 Session 3: Project Spotlight: East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP) - The Pipeline's Strategic Importance to Tanzania & the Region
16:00 Session 4: PANEL DISCUSSION: Creating a Robust & Investor Friendly Business Environment in Tanzania's Oil & Gas Projects
17:30 End of Congress Day One
Congress Day Two - Tuesday 25 September (Location: Mezzanine Floor)

09:00 Session 5: PANEL DISCUSSION: Attracting Investment to Upstream E&P Projects in Tanzania & Around the Globe
11:00 Session 6: Gas Monetisation as a Force to Power Industrialization & Economic Development
14:00 Session 7: PANEL DISCUSSION: Local Content & Job Creation Ensuring a Sustainable Development in Tanzania's Oil & Gas Projects
15:30 Session 8: Downstream Projects & Infrastructure Development in Tanzania
17:00 Session 9: Tanzania Oil & Gas Congress Closing Remarks & Official Conclusions
18:00 End of Tanzania Oil & Gas Congress 2018

Nimeperusi kwa haraka haraka sura za wale top ten wafanyabiashara mabilionea wa Tanzania, sikufanikiwa kuziona, ila kwa vile nimetokea airport kuja hapa ukumbini, pale Airport nimeshuhudia ndege za private Jet, zaidi ya 5, zimewaleta mabilionea kutoka sehemu mbalimbali duniani akiwemo bilionea mmoja mkubwa sana kutoka Arabuni.

Kitendo cha ushiriki mdogo wa wazawa katika makongamano kama haya, ni uthibitisho wa kuhitajika elimu ya uhamasishaji zaidi kwa Watanzania wazawa, tuchangamkie fursa za uchumi wa gesi na bomba la mafuta la Uganda.

Karibuni sana.

Paskali
Pascal mimi nilikuwa tayari kwenda ila mtu niliyeelekezwa kwake majibu yake idhani sina nauli naomba lift.

Organizers have to be smart on who is manning ther publicity kit
 
Ni Kweli huyo Mdada yupo Vizuri upstairs
Ukimuangalia Kwenye LinkedIn unaweza kumpata Vema!
Serikali ingegawa vitalu kadhaa kwa baadhi ya watanzania waliojitutumua kusomea Petroleum and Gas ili wajikwamue na kukwamua wananchi wenzao.

Mfano wa wasomi ninayemjua ni kisichana kidogo kabisa kutoka Moshi Technical Secondary School kinaitwa Epiphania Kimaro.. ni kakichwa haswaa. Nakiona kinadhurura tuu SA.
 
Tatizo la petroleum na gas sio wataalamu bali technology na capital. Kama nchi yetu yote, na benki zetu zote, na mifuko yetu yote ya hifadhi za jamii, tumeshindwa kumiliki hata kisima kimoja tuu cha gesi, gharama ni US $ 1,000,000 per day, hao wasomi wapewe kitalu, watachimbia nini, labda kama kuitumia ile technology yetu ya Gambosh!.

Kaambie kabinti Epiphania Kimaro kaje kaajiriwe pale Shell kavute US $ 10,000 p.m katulie na wazungu.
P
Kweli Mkuu umesema Kweli,Elimu sawa tunayo ila Mitaji hatuna,hatumiliki hata Kisima Kimoja,
Hako ka binti huwa nakaona LinkedIn
Kanqchart sana,OK kako Vema!
Ila Sijui kwanini Tunakazania Elimu ya Gas wakati mitaji hatuna,Mwisho sasa hivi Kuna wahitimu wengi sana Mtaani wa hiyo fani ila hawana Kazi,Wanasubiria kuajiriwa na Wazungu,Ila Wanamatumaini makubwa kumiliki Uchumi wa Gas!?
 
ni gharama ndogo sana hiyo ukizingatia unachoenda kujadiliana kinaweza kukupatia zaidi ya hiyo mara 10000.
tumia pesa upate pesa zaidi. hayo ni mawazo ya kibahili na hutaweza kuendelea ukiichungulia sana
Mkuu hujamwelewa, mtu km yeye hawez kumudu hiyo kiingilio, ila mtu km Mengi au Mo wanaweza, kutohudhuria kwao huenda ni kutokuwa na interest za huo mkutano, au wapo kwenye uokoaji huko ukerewe
 
Mkuu paskali yule kiongozi anaetetea maliasili yetu yuko wapi au leo anakunywa chai na policeccm,kwa jinsi anavyotetea maliasili yetu angetakiwa kua hapo akimwaga sera zake kwa lugha ya malkia.
Si unajua yeye ni mtaalam mzuri wa chemistry bila shaka wangeogopa kama barrick na kutuachia gesi yetu
Utoko
 
Serikali ingegawa vitalu kadhaa kwa baadhi ya watanzania waliojitutumua kusomea Petroleum and Gas ili wajikwamue na kukwamua wananchi wenzao.

Mfano wa wasomi ninayemjua ni kisichana kidogo kabisa kutoka Moshi Technical Secondary School kinaitwa Epiphania Kimaro.. ni kakichwa haswaa. Nakiona kinadhurura tuu SA.

Upewe kitalu ukiwa umesoma oil and gas? Kusoma tu mkuu haitoshi kupewa kitalu, hiyo ni biashara inahitaji uwekezaji mkubwa.
Binafsi nafikiri papo pakuanzia kama nchi ili tusonge mbele, Matajiri wanaoweza kuingia huko wapo tatizo ni elimu kwao juu ya uwekezaji wa kimatifa na biashara za kimataifa kwa ujumla. Siamini kama Matajiri watanzania wanashindwa kununua hata Land RIGs Wakawa wanazikodisha, au kumiliki hata Service company ukaajili wataalamu wenye uwezo kutoka nje na wandani, Biashara pia ya kukodisha baadhi ya facilities na tools za uchimbaji ambayo inahitaji tu uwe na hela ya kununua hivyo vifaa na kuajiri wataalamu wa kuendesha hiyo biashara.
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuhudhuria kongamano la pili la Oil and Gas linalofanyika hapa Hoteli ya Hyatt, Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, anayewakilishwa na Waziri January Makamba, (kufuatia ajali ya MV Nyerere, kumeitishwa kikao cha dharura cha Cabinet).

Kitu cha kwanza ku note, wajumbe wazungu ni wengi zaidi kuliko wenyeji, kitu kinachoashiria sisi Watanzania, ama bado tuko nyuma katika kuchangamkia fursa za uchumi wa gesi, na bomba la mafuta, ama mambo ya uchumi wa Gesi ni mambo la level ya juu sana, not reachable kwa Watanzania walio wengi, ndio maana hata kwenye vitalu vyote vya gesi, hakuna hata kitalu kimoja kinachomilikiwa na kampuni ya Kitanzania!.

Mkutano umeanza kwa one minute silence kuwakumbuka wahanga wa ajali ya MV Nyerere.
Ratiba ni hii

08:20 Welcome Address
08:30 Ministry of Energy Address: Outlining the Vision for Tanzania's Industrialisation Powered by Oil & Gas
08:45 Official Presidential Address
09:00 Sponsors Welcome Addresses
09:20 Session 1: Ministerial Session Opening Remarks
11:30 Session 2: Oil & Gas Latest Developments in Tanzania: Government & Industry Collaboration to Move the Projects Forward
14:15 Session 3: Project Spotlight: East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP) - The Pipeline's Strategic Importance to Tanzania & the Region
16:00 Session 4: PANEL DISCUSSION: Creating a Robust & Investor Friendly Business Environment in Tanzania's Oil & Gas Projects
17:30 End of Congress Day One
Congress Day Two - Tuesday 25 September (Location: Mezzanine Floor)

09:00 Session 5: PANEL DISCUSSION: Attracting Investment to Upstream E&P Projects in Tanzania & Around the Globe
11:00 Session 6: Gas Monetisation as a Force to Power Industrialization & Economic Development
14:00 Session 7: PANEL DISCUSSION: Local Content & Job Creation Ensuring a Sustainable Development in Tanzania's Oil & Gas Projects
15:30 Session 8: Downstream Projects & Infrastructure Development in Tanzania
17:00 Session 9: Tanzania Oil & Gas Congress Closing Remarks & Official Conclusions
18:00 End of Tanzania Oil & Gas Congress 2018

Nimeperusi kwa haraka haraka sura za wale top ten wafanyabiashara mabilionea wa Tanzania, sikufanikiwa kuziona, ila kwa vile nimetokea airport kuja hapa ukumbini, pale Airport nimeshuhudia ndege za private Jet, zaidi ya 5, zimewaleta mabilionea kutoka sehemu mbalimbali duniani akiwemo bilionea mmoja mkubwa sana kutoka Arabuni.

Kitendo cha ushiriki mdogo wa wazawa katika makongamano kama haya, ni uthibitisho wa kuhitajika elimu ya uhamasishaji zaidi kwa Watanzania wazawa, tuchangamkie fursa za uchumi wa gesi na bomba la mafuta la Uganda.

Karibuni sana.

Paskali
mind your own busness,na inaonekana menu za chakula na juice ndio zimekupeleka hapo,mfanyabiashara serious unaanzaje kuchunguza nani yupo nani hayupo??
 
Thanks so much for that info, i was fully aware of it, tho i am not in the country, but looking at it sir, oil and gas is a huge huge investment that requires a lot of capital and technology, But i aslo beleive that not a lot of tz citizens have any intrest in that field for several reasons, one thinking that they cant raise enough capital for such huge projects and aslo thinking they dont have expertise in such areas, But to me thats a myth, coz if tz citizens really like to join that sector we can join in areas like building the infarstructure, thats oil pipelines and gas transporting vehicles and such, we dont have to look in areas like drilling or that , lets leave that to those with finacial muscles, but transport and such we can do and aslo distribution we can do, but as one have noted where english is being used its a huge problem to majority of tz citizen, and as i always say the world is becamin a village, and the language spoken in that village, you have guessed right ENGLISH, this issue of ati lugha ya taifa swahili ndio lugha tunaelewa tu, tutabaki nyuma kabisa,thanks for information and i hope i join the gas sector, i am not much intrested in oil, but gas i am, raising say a $300m can not be a huge challenge and with that i can join in trasport and supply distribution network and such, asante sana kaka
 
Thanks so much for that info, i was fully aware of it, tho i am not in the country, but looking at it sir, oil and gas is a huge huge investment that requires a lot of capital and technology, But i aslo beleive that not a lot of tz citizens have any intrest in that field for several reasons, one thinking that they cant raise enough capital for such huge projects and aslo thinking they dont have expertise in such areas, But to me thats a myth, coz if tz citizens really like to join that sector we can join in areas like building the infarstructure, thats oil pipelines and gas transporting vehicles and such, we dont have to look in areas like drilling or that , lets leave that to those with finacial muscles, but transport and such we can do and aslo distribution we can do, but as one have noted where english is being used its a huge problem to majority of tz citizen, and as i always say the world is becamin a village, and the language spoken in that village, you have guessed right ENGLISH, this issue of ati lugha ya taifa swahili ndio lugha tunaelewa tu, tutabaki nyuma kabisa,thanks for information and i hope i join the gas sector, i am not much intrested in oil, but gas i am, raising say a $300m can not be a huge challenge and with that i can join in trasport and supply distribution network and such, asante sana kaka
Mh kwaakweeeli, iiwe
 
Mkuu hujamwelewa, mtu km yeye hawez kumudu hiyo kiingilio, ila mtu km Mengi au Mo wanaweza, kutohudhuria kwao huenda ni kutokuwa na interest za huo mkutano, au wapo kwenye uokoaji huko ukerewe
Huyo anaesema gharama ndogo haijielewi. Hapo karibia asilimia 90 wamegaramiwa na makampuni yao. Hata huyo pascal ukimuuliza to be honest hajatoa hiyo hela. Mimi nimeshaudhuria hiyo mikutano sana. Mpaka ule ambao ni largest in africa ambo hufanyika cape town kila mwisho wa mwaka ambayo ada yake ni pound 2500 nimeshaenda. Mbali na hicho kiingilio kama mtu unatoka nchi nyingine inabidi upate hoteli ya kulala, inategemea mkutano huo utachukua siku ngapi. Na hoteli utakayochukua ya kulala inabidi iwe ya maana pia, kwani walioandaa huo mkutano pia hutoa suggestion ya best hotels ya kulala wageni ili wa book. Kwa hapo utakuta watu wanalala new africa na na hapo hapo hyatt. Ila kwa wabongo inabidi ulale nyumbani tu. Hapo ni gharama ya kufa mtu sema watu hawajui tu.
 
Hayo mambo ya energy changamoto kweli kweli.tatizo ni kuwa serikali yetu hizi ishu inauza kwa mabepali na endapo mzawa ukitaka kujihusisha utakutana na mazingira magumu sana.
Leadership ndio uchawi wa maendeleo ya nchi yangu hii.

Sent from my SM-J700H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom