From Hyatt Regency, The Kilimanjaro: the 2nd Tanzania Oil & Gas Congress. Wazungu Wengi Kuliko Wenyeji!

Mkutano umeanza kwa kuhutubiwa na waziri wa Nishati wa Zanzibar, Waziri wa Nishati wa Uganda na sasa anazungumza Naibu waziri wetu wa Nishati.

Kusema ukweli, kuwe kunafanyika assessment ya uwezo wa mawaziri wetu na manaibu waziri kuhutubia mikutano na makongamano ya kimataifa kwa lugha ya Kiingereza!, maana haya mambo ya kuhutumbia kwa lugha za watu, wakati lugha zenyewe hazipandi kivile kwenye mikutano ya kimataifa sio mazuri!

Maadam tumekubaliana kuwa lugha yetu ya taifa ni Kiswahili, then utolewe muongozo kwa viongozi wote ambao sio fluent in English, wawe wanahutubia kwa Kiswahili, halafu hao wazungu watapewa traslated version, kuliko kutuletea mawaziri wetu wanaojiuma uma kwa lugha za wenzetu!.

Tumehudhuria mikutano kibao China, wanazungumza Kichina!. Mikutano ya Korea, kinazungumzwa Kikorea, hivyo Mikutano yote ya kimataifa Tanzania, tuzungumze Kiswahili na hii pia ndio namna bora ya kukikuza Kiswahili.

P.
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuhudhuria kongamano la pili la Oil and Gas linalofanyika hapa Hoteli ya Hyatt, Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, anayewakilishwa na Waziri January Makamba, (kufuatia ajali ya MV Nyerere, kumeitishwa kikao cha dharura cha Cabinet).

Kitu cha kwanza ku note, wajumbe wazungu ni wengi zaidi kuliko wenyeji, kitu kinachoashiria sisi Watanzania, ama bado tuko nyuma katika kuchangamkia fursa za uchumi wa gesi, na bomba la mafuta, ama mambo ya uchumi wa Gesi ni mambo la level ya juu sana, not reachable kwa Watanzania walio wengi, ndio maana hata kwenye vitalu vyote vya gesi, hakuna hata kitalu kimoja kinachomilikiwa na kampuni ya Kitanzania!.

Mkutano umeanza kwa one minute silence kuwakumbuka wahanga wa ajali ya MV Nyerere.
Ratiba ni hii

08:20 Welcome Address
08:30 Ministry of Energy Address: Outlining the Vision for Tanzania's Industrialisation Powered by Oil & Gas
08:45 Official Presidential Address
09:00 Sponsors Welcome Addresses
09:20 Session 1: Ministerial Session Opening Remarks
11:30 Session 2: Oil & Gas Latest Developments in Tanzania: Government & Industry Collaboration to Move the Projects Forward
14:15 Session 3: Project Spotlight: East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP) - The Pipeline's Strategic Importance to Tanzania & the Region
16:00 Session 4: PANEL DISCUSSION: Creating a Robust & Investor Friendly Business Environment in Tanzania's Oil & Gas Projects
17:30 End of Congress Day One
Congress Day Two - Tuesday 25 September (Location: Mezzanine Floor)

09:00 Session 5: PANEL DISCUSSION: Attracting Investment to Upstream E&P Projects in Tanzania & Around the Globe
11:00 Session 6: Gas Monetisation as a Force to Power Industrialization & Economic Development
14:00 Session 7: PANEL DISCUSSION: Local Content & Job Creation Ensuring a Sustainable Development in Tanzania's Oil & Gas Projects
15:30 Session 8: Downstream Projects & Infrastructure Development in Tanzania
17:00 Session 9: Tanzania Oil & Gas Congress Closing Remarks & Official Conclusions
18:00 End of Tanzania Oil & Gas Congress 2018

Nimeperusi kwa haraka haraka sura za wale top ten wafanyabiashara mabilionea wa Tanzania, sikufanikiwa kuziona, ila kwa vile nimetokea airport kuja hapa ukumbini, pale Airport nimeshuhudia ndege za private Jet, zaidi ya 5, zimewaleta mabilionea kutoka sehemu mbalimbali duniani akiwemo bilionea mmoja mkubwa sana kutoka Arabuni.

Kitendo cha ushiriki mdogo wa wazawa katika makongamano kama haya, ni uthibitisho wa kuhitajika elimu ya uhamasishaji zaidi kwa Watanzania wazawa, tuchangamkie fursa za uchumi wa gesi na bomba la mafuta la Uganda.

Karibuni sana.

Paskali
mkuu Pascal Mayalla hizi fursa kwa kiwango kikubwa zinazoroteshwa na wahusika wakuu ambao ni wateule wa mku malaika. mfano kuna hii warsha inayohusiana na mambo muhimu ya utalii africa First Conference of Trade, Tourism and Investment between Africa and Canada. Summit of Canada - Africa "Trade, tourism, and investment ambayo inafanyika
DATE AND TIME tue oct 2 2018 - oct 9 2018
huu ni mkutanowarsha muhimu sana kwa sekta ya utalii tanzania kushiriki kutangaza utalii wetu na kujifunza mambo muhim kwa maendeleo ya taifa letu.

sasa hebu nambie wizara husika inayotaarifa ya mambo kama haya?
mimi nimepewa hii na mtu wangu ambae yuko huko na akaniuliza vipi ushiriki wa tanzania? wenzetu kenya wamewakilishwa na Balozi wao hapo canada.
sisi hapa wizara ya utalii maliasili imeikalia tuu politiki alafu tunataka maendeleo yatakujaje?

1537774380132.png
 
mkuu Pascal Mayalla hizi fursa kwa kiwango kikubwa zinazoroteshwa na wahusika wakuu ambao ni wateule wa mku malaika. mfano kuna hii warsha inayohusiana na mambo muhimu ya utalii africa First Conference of Trade, Tourism and Investment between Africa and Canada. Summit of Canada - Africa "Trade, tourism, and investment ambayo inafanyika
DATE AND TIME tue oct 2 2018 - oct 9 2018
huu ni mkutanowarsha muhimu sana kwa sekta ya utalii tanzania kushiriki kutangaza utalii wetu na kujifunza mambo muhim kwa maendeleo ya taifa letu.

sasa hebu nambie wizara husika inayotaarifa ya mambo kama haya?
mimi nimepewa hii na mtu wangu ambae yuko huko na akaniuliza vipi ushiriki wa tanzania? wenzetu kenya wamewakilishwa na Balozi wao hapo canada.
sisi hapa wizara ya utalii maliasili imeikalia tuu politiki alafu tunataka maendeleo yatakujaje?

View attachment 876096
Mkutano wa Oct 2 2018 - Oct 9 2018, leo ni September 24!, hao Wakenya wamewakilisha vipi wakati hata mkutano haujaanza?!
P.
 
Wanajadili gesi hii ambayo mh.magufuli juzi hapa alituambia imeshachukuliwa au nyingine?
Mkuu! Na mimi ndicho nilichotaka kumuuliza mkuu Pascal Mayalla usikute huo mkutano unajadili namna ya kuturudishia Gesi yetu baada ya kumsikia baba mwenye nyumba akilia kuzidiwa ujanja! After all ule muswada wa gas na mafuta ulipitishwa kwa hati ya dharura bungeni,so there is not much to discuss as Tanzanian whether rich or poor,maana hata wale waliomshinda huyu bwana mdogo asiyependa maendeleo ya taifa letu hadi kuwavimbia wabunge wetu wazalendo eti wapoteze muda kutunga kwanza sera za mafuta na gesi pamoja na utaratibu mzuri wa kutafuta,kuchimba na mgawanyo wake kabla ya kuanza kazi ya uchimbaji nadhani nao hawapo hapo kikaoni! Yaani Zitto alitaka tuchelewe kuwapatia Mabwana wakubwa (as per Magufuli words) vitalu waanze kunyonya gesa eti hadi tutunge sera "Nzuri"? Magu kasema tunapata asilimia thelathini tu ya gesi yetu!! Hiyo inatutosha kabisa!! Kwanza sisi gesi ya nini?
 
Wanabodi,

Leo nimepata fursa ya kuhudhuria kongamano la pili la Oil and Gas linalofanyika hapa Hoteli ya Hyatt, Kilimanjaro, ambapo mgeni rasmi ni Waziri Mkuu wa Tanzania, Mhe. Kasim Majaliwa, anayewakilishwa na Waziri January Makamba, (kufuatia ajali ya MV Nyerere, kumeitishwa kikao cha dharura cha Cabinet).

Kitu cha kwanza ku note, wajumbe wazungu ni wengi zaidi kuliko wenyeji, kitu kinachoashiria sisi Watanzania, ama bado tuko nyuma katika kuchangamkia fursa za uchumi wa gesi, na bomba la mafuta, ama mambo ya uchumi wa Gesi ni mambo la level ya juu sana, not reachable kwa Watanzania walio wengi, ndio maana hata kwenye vitalu vyote vya gesi, hakuna hata kitalu kimoja kinachomilikiwa na kampuni ya Kitanzania!.

Mkutano umeanza kwa one minute silence kuwakumbuka wahanga wa ajali ya MV Nyerere.
Ratiba ni hii

08:20 Welcome Address
08:30 Ministry of Energy Address: Outlining the Vision for Tanzania's Industrialisation Powered by Oil & Gas
08:45 Official Presidential Address
09:00 Sponsors Welcome Addresses
09:20 Session 1: Ministerial Session Opening Remarks
11:30 Session 2: Oil & Gas Latest Developments in Tanzania: Government & Industry Collaboration to Move the Projects Forward
14:15 Session 3: Project Spotlight: East Africa Crude Oil Pipeline (EACOP) - The Pipeline's Strategic Importance to Tanzania & the Region
16:00 Session 4: PANEL DISCUSSION: Creating a Robust & Investor Friendly Business Environment in Tanzania's Oil & Gas Projects
17:30 End of Congress Day One
Congress Day Two - Tuesday 25 September (Location: Mezzanine Floor)

09:00 Session 5: PANEL DISCUSSION: Attracting Investment to Upstream E&P Projects in Tanzania & Around the Globe
11:00 Session 6: Gas Monetisation as a Force to Power Industrialization & Economic Development
14:00 Session 7: PANEL DISCUSSION: Local Content & Job Creation Ensuring a Sustainable Development in Tanzania's Oil & Gas Projects
15:30 Session 8: Downstream Projects & Infrastructure Development in Tanzania
17:00 Session 9: Tanzania Oil & Gas Congress Closing Remarks & Official Conclusions
18:00 End of Tanzania Oil & Gas Congress 2018

Nimeperusi kwa haraka haraka sura za wale top ten wafanyabiashara mabilionea wa Tanzania, sikufanikiwa kuziona, ila kwa vile nimetokea airport kuja hapa ukumbini, pale Airport nimeshuhudia ndege za private Jet, zaidi ya 5, zimewaleta mabilionea kutoka sehemu mbalimbali duniani akiwemo bilionea mmoja mkubwa sana kutoka Arabuni.

Kitendo cha ushiriki mdogo wa wazawa katika makongamano kama haya, ni uthibitisho wa kuhitajika elimu ya uhamasishaji zaidi kwa Watanzania wazawa, tuchangamkie fursa za uchumi wa gesi na bomba la mafuta la Uganda.

Karibuni sana.

Paskali
Huku kwetu hao wanaitwa mafisadi, nchi ya wanyonge hii. Ukijitokeza unakabidhiwa TAKUKURU na TRA wahangiake nawe.....unataka kuchimba mafuta na gesi ,iiiihi vavaa.... nchi ya wanyonge umepata wapi hela ww!
 
Kaka Paschal waswahili wamo humu jukwaani, kazi wanayoiweza ni kukosoa na kukejeli.

Hayo mambo ya oil and gas ni ya level ya juu sana kwao. Sasa hivi hawashiriki kwenye mijadala halafu kesho utasikia wakisema wanaibiwa na wawekezaji.
Toa upuuzi hapa unataka watu washiriki mijadala ipi? Muswada wa mafuta na gesi haukupingwa bungeni ulipoletwa kwa hati ya dharura mkajifanya wababe ikapitishwa kwa nguvu na majuha ya ccm juzi hapa magufuli analalamika gesi imeshauzwa hivi nyie watu mna vinyesi vichwani mwenu?
 
Mkutano wa Oct 2 2018 - Oct 9 2018, leo ni September 24!, hao Wakenya wamewakilisha vipi wakati hata mkutano haujaanza?!
P.
ninamaanisha watawakilishwa mkuu ... nikireherehe changu tu cha kukukurupuka ni kubaya sana
ila hii mkutano umekuwa announced tangu mwezi wa 7
 
Mkutano wa Oct 2 2018 - Oct 9 2018, leo ni September 24!, hao Wakenya wamewakilisha vipi wakati hata mkutano haujaanza?!
P.
najua upo karibu na wahusika hebu jaribu kuwadodosa kujua je wanayotaarifa au wanapataje taarifa za mikutano muhim kama hii na wanifanyiaje kazi? huu ndio uwajibikaji kisasa na sio kuwaza politik hata kwenye masuala yanayohusu taifa letu kiuchumi.
 
Toa upuuzi hapa unataka watu washiriki mijadala ipi? Muswada wa mafuta na gesi haukupingwa bungeni ulipoletwa kwa hati ya dharura mkajifanya wababe ikapitishwa kwa nguvu na majuha ya ccm juzi hapa magufuli analalamika gesi imeshauzwa hivi nyie watu mna vinyesi vichwani mwenu?
tatizo wakigeuka wanasahau nyuma walikotokea
 
Kitu cha kwanza ku note, wajumbe wazungu ni wengi zaidi kuliko wenyeji, kitu kinachoashiria sisi Watanzania, ama bado tuko nyuma katika kuchangamkia fursa za uchumi wa gesi, na bomba la mafuta, ama mambo ya uchumi wa Gesi ni mambo la level ya juu sana, not reachable kwa Watanzania walio wengi, ndio maana hata kwenye vitalu vyote vya gesi, hakuna hata kitalu kimoja kinachomilikiwa na kampuni ya Kitanzania!.
Acha hizo sisi ni dona kantre bwana
 
41 Reactions
Reply
Back
Top Bottom