Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,337
- 113,180
- Thread starter
- #21
Mkutano umeanza kwa kuhutubiwa na waziri wa Nishati wa Zanzibar, Waziri wa Nishati wa Uganda na sasa anazungumza Naibu waziri wetu wa Nishati.
Kusema ukweli, kuwe kunafanyika assessment ya uwezo wa mawaziri wetu na manaibu waziri kuhutubia mikutano na makongamano ya kimataifa kwa lugha ya Kiingereza!, maana haya mambo ya kuhutumbia kwa lugha za watu, wakati lugha zenyewe hazipandi kivile kwenye mikutano ya kimataifa sio mazuri!
Maadam tumekubaliana kuwa lugha yetu ya taifa ni Kiswahili, then utolewe muongozo kwa viongozi wote ambao sio fluent in English, wawe wanahutubia kwa Kiswahili, halafu hao wazungu watapewa traslated version, kuliko kutuletea mawaziri wetu wanaojiuma uma kwa lugha za wenzetu!.
Tumehudhuria mikutano kibao China, wanazungumza Kichina!. Mikutano ya Korea, kinazungumzwa Kikorea, hivyo Mikutano yote ya kimataifa Tanzania, tuzungumze Kiswahili na hii pia ndio namna bora ya kukikuza Kiswahili.
P.
Kusema ukweli, kuwe kunafanyika assessment ya uwezo wa mawaziri wetu na manaibu waziri kuhutubia mikutano na makongamano ya kimataifa kwa lugha ya Kiingereza!, maana haya mambo ya kuhutumbia kwa lugha za watu, wakati lugha zenyewe hazipandi kivile kwenye mikutano ya kimataifa sio mazuri!
Maadam tumekubaliana kuwa lugha yetu ya taifa ni Kiswahili, then utolewe muongozo kwa viongozi wote ambao sio fluent in English, wawe wanahutubia kwa Kiswahili, halafu hao wazungu watapewa traslated version, kuliko kutuletea mawaziri wetu wanaojiuma uma kwa lugha za wenzetu!.
Tumehudhuria mikutano kibao China, wanazungumza Kichina!. Mikutano ya Korea, kinazungumzwa Kikorea, hivyo Mikutano yote ya kimataifa Tanzania, tuzungumze Kiswahili na hii pia ndio namna bora ya kukikuza Kiswahili.
P.