Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,578
- Thread starter
- #341
Haya Mkuu Makupa, kumbe unasubiri kuiona hiyo miradi ya PPP ndipo utoe ulichonacho, then endelea kusubiria na utasubiri sana!.Mkuu P,kimsingi sijakataa kutoa elimu ya PPP bali nilishangazwa na hiyo miradi ya oil na gesi ya aina ya PPP ambayo ndio niltaka kuona ikoje ndio nami niweze kutoa elimu ya PPP kwa ujumla wake mkuu
P