1000 digits
JF-Expert Member
- Oct 16, 2012
- 6,255
- 7,931
Wewe muulize tu kuwa hivi China wananchi ni matajiri au serikali yenye pato kubwa kutokana na ukusanyaji wa kodi unaotokana na wingi wa watu bil. 1.6.Hivi wewe unajua kuwa kwa kutoa huduma almost zote bure anaharibu ubunifu wa watu wengi? Hili si lilitokea wakati wa ujamaa au? Maduka ya kaya, maduka ya ugawaji, maduka ya RTC, huku ukizuia biashara binafsi??!! Kwani manuafaa yanayozungumzwa kwamba yanaletwa na SMEs yamezuka tu hayakuwepo toka wakati wa utawala ule? Ukisema ili upate leseni ya biashara yoyote lazima uwe na kadi ya TANU/CCM unakuwa unalenga kitu gani?
China ina watu wengi sana masikini wa kutupwa.
Hata hivyo China imeanza kukua kwa kasi baada ya kubadili mfumo wake wa uchumi wa kijamaa. Ujamaa ni unyonyaji mana wenye juhudi wananyonywa na wasio na juhudi.