Mzalendo_Mwandamizi
JF-Expert Member
- Dec 12, 2007
- 1,117
- 4,764
Serikali ya Jiwe inaweza kuingia kwenye rekodi ya Guinness kwa vimbwanga. Mara DED kaingia kanisani na kumtwanga mtu risasi. Mara DSO kakunjana na DED. Sasa hawa akina mama wanashindana kwenye ushirikina.
Waziri Mkuu awaonya DC na DED 'wanaorogana' - JamiiForums
Tatizo ni kwamba hizi nafasi za u-DC, DED, nk zimejazwa na aidha makada wa Magamba, watu wa kitengo au "Kanda Maalumu."
Yajayo yanatafakarisha
Sent using Jamii Forums mobile app
Waziri Mkuu awaonya DC na DED 'wanaorogana' - JamiiForums
Tatizo ni kwamba hizi nafasi za u-DC, DED, nk zimejazwa na aidha makada wa Magamba, watu wa kitengo au "Kanda Maalumu."
Yajayo yanatafakarisha
Sent using Jamii Forums mobile app