From Analog to Digaital signals of Communication

Godvictor

Member
Feb 7, 2010
10
1
wajameni, huku kuhama kwa mawasiliano ya simu na hususan Televisheni from ANALOG TO DIGITAL, Hamwoni kwamba vijana wengi watazidi kukosa AJIRA?? e.g. fundi dish, etc. :A S 20: Na pia low income earners hawataweza ku'afford digital system..??
 
madishi bado yatakuwepo haijakatazwa, na pia sio ishu ya siku moja itafika hadi 2017 bado hatutaweza, wamiliki wa tv stations wenyewe bado wanatumia terrestial broadcast kubadili kunahitaji hela nyingi, bado tuna kazi kubwa anatakiwa atokee mwekezaji atakaeweza kusambaza cables kwa kila nyumba,within that cable atoe multiples servies kama tv,internet na simu,,kingine digital inahitaji tv za LCD ingawa sio lazima, umaskini wetu tutaweza?? ajira zitakuepo bado kama za kusuply cables,wires,decorders nk.
 
Back
Top Bottom