Mathias Byabato
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,020
- 690
Katika mchango wake kwa Wizara ya Mambo ya Ndani ya nchi, Mbunge wa jimbo la Nkenge (CCM) Frolent Kyombo amelalamikia mateso na adha wanayoipata wakazi wa wilaya za Kyerwa, Karagwe, Missenyi na Ngara katika mkoa wa Kagera kufuatia kuwa mpakani na nchi jirani na kuwa baadhi ya watumishi wa idara za Serikali wanatumia kigezo cha lugha na wimbo wa Taifa kubaini nani ni raia na ambaye siyo.
Kuwa wasiomudu vema lugha ya kiswahili au kutoimba vema mashairi ya wimbo wa Taifa wanaelezwa siyo raia wa Tanzania.
Je, wewe unajua vema mashairi ya wimbo wa Taifa au kwa kigezo hicho nawe siyo raia?
Majibu ya Serikali > Simbachawene: Kupata kitambulisho cha NIDA siyo mwarobaini wa kutokuulizwa uraia wako
Video yake hii hapa tumsikilize katika attchment
Kuwa wasiomudu vema lugha ya kiswahili au kutoimba vema mashairi ya wimbo wa Taifa wanaelezwa siyo raia wa Tanzania.
Je, wewe unajua vema mashairi ya wimbo wa Taifa au kwa kigezo hicho nawe siyo raia?
Majibu ya Serikali > Simbachawene: Kupata kitambulisho cha NIDA siyo mwarobaini wa kutokuulizwa uraia wako
Video yake hii hapa tumsikilize katika attchment