Friji nzuri yenye matumizi madogo ya umeme ni ipi?

WAKU-GOOGLE

JF-Expert Member
Jan 20, 2015
950
623
Habari ndugu zangu.!

Nina mpango wa kununua friji isiyozidi Lita 200. Napata shida katika kuchagua kwa kuwa sina uzoefu, Naomba mnisaidie kutambua sifa za friji ambayo haitatumia umeme(units) mwingi na jinsi ya kukagua dukani friji kujua hizo sifa.

Nipeni uzoefu katika hili.
 
Mkuu Friji zote kutoka China ni kitu kimoja,tofauti ni majina tu..kama mfuko wako uko vzr Jimilikishe LG hutajuta.
 
Mkuu Friji zote kutoka China ni kitu kimoja,tofauti ni majina tu..kama mfuko wako uko vzr Jimilikishe LG hutajuta.
Asante mkuu... Naomba unifafanulie specifications ambazo zitanijulisha hii friji itatumia units chache za umeme.
 
Vipi kuhusu namna ya kujua hii Inatumia umeme mdogo?

Inategemea na ukubwa wa fridge ila westpont wapo vzr kwenye matumiz ya umeme coz kunw muda huwa lina switch on na off automatically kama barid ipo ya kutosha lina switch off barid ikipungua linawaka tena. Kuhusu kujua matumiz ya umeme huwa wanaandika kwenye box utaona hta muuzaji mwambie akuoneshe
 
Inategemea na ukubwa wa fridge ila westpont wapo vzr kwenye matumiz ya umeme coz kunw muda huwa lina switch on na off automatically kama barid ipo ya kutosha lina switch off barid ikipungua linawaka tena. Kuhusu kujua matumiz ya umeme huwa wanaandika kwenye box utaona hta muuzaji mwambie akuoneshe
Asante mkuu
 
Mimi nina LG 189 l, ipo vizuri sana.

Nadhani inatumia chini ya unit 1 kwa siku.

Na nimeweka katikati kwenye sijui tuite speed ile, 😀😀

Ila liko poa.

Nilinunua laki 7.
 
Fridge zote za kisasa zina power saving. Zinajizima kma temperature ya ndani ya fridge imefikia uliposet na kumaintain hyo hyo. Litajiwasha tena temperature ikibadilika.

Kwa bei rahisi kuna Boss or Lyon ndio company za kichina zinazoeleweka kidogo.

Kwa bei kubwa za uhakika kuna Samsung, LG, Kenwood, Whirlpool, Westpoint, Frestech, Electrolux na wengine
 
Budget yangu ilikua ndogo 360,000 nikachukua used litre 168 kampuni ya whirlpool sijui ni mmarekani huyu whirlpool liko freshi tu linatumia unit 1.2 kwa masaa 24 maana hua linajizima lenyewe pindi baridi linapokuwa limetosha ndani na kujiwasha lenyewe pindi baridi litakapo kua limepungua ndani kuhusu matumizi ya umeme hua limeandiwa kama hili limeandikwa upande wa ndani ya mlango watt 170
20210510_090801.jpg
 
Inategemea na ukubwa wa fridge ila westpont wapo vzr kwenye matumiz ya umeme coz kunw muda huwa lina switch on na off automatically kama barid ipo ya kutosha lina switch off barid ikipungua linawaka tena. Kuhusu kujua matumiz ya umeme huwa wanaandika kwenye box utaona hta muuzaji mwambie akuoneshe
Asante
 
Back
Top Bottom