Friends with benefit, nimepewa masharti magumu

Suprise

JF-Expert Member
Nov 2, 2012
2,696
1,062
Natamani niachane na hawa watu ila kiukweli nashindwa, nahitaji ushauri hasa wa mwana saikolojia aliyebobea, sipendi kuumiza wanawake wenzangu lakini hawanielewi,nami siwalaumu nakiri nakosea kwa sababu mume anauma jamani.

Ni hivi sijui hata nianzie wapi ila nahisi nimemuumiza mwanamke mwenzangu kwa hisia .nasema kwa hisia sababu cjafanya kila anachonihisi nimefanya kwa mmewe sema tu ushahidi haujatosha kua upande wangu.

Nimezoea kuwaita frends with benefit, sasa mmoja wa hao friends zangu ameoa, nimezoeana nae kupita kiasi inshort i feel happy being with him(naomba niweke kwenye mabano sijashiriki nae since nijuane nae coz hicho hakijasababisha urafiki wetu, tunasaidiana sana naweza sema ananisaidia kuliko mimi nimsaidiavyo, ananipa kampani ya kutosha kila mazingira yakiruhusu.

Kiukweli ni rafiki yangu ambaye yupo moyoni naweza sema .

Last wiki katika kuchat akatuma message, nimekumis mpenzi wangu nowadays majukum ya familia yanatubana ila tujitahidi tukipata nafasi tuonane. Utaniambia mda wako.on ma way home.

mkewe anafaham uwepo wangu kama rafiki wa mmewe bt i wonder y imemuumiza kipindi hiki amemwambia mme wake basi awe anakuja kwangu daily kwake basia ye atatafuta atakayemthamini.

Niwarudishe nyuma kuna kipindi alinipigia simu akaniambia dada natamani mme wangu angenipenda kama anavyokupenda wewe, kiukweli naumia natamani anielewe uhusiano wangu na mmewe ukoje ila pia upande wa pili nahisi ni mkosaji.


Sasa ugomvi kwao umekua siku ya tano sasa, mme wake kaniomba nifanye juu chini nimtafute mkewe nimwambie juu ya hilo atusamehe. Nimeamua kumfuta huyu frend with benefit kichwani mwangu ingawa pia itanichukua mda kukubaliana na ukweli.


Naomba mawazo nifanyaje bi dada aweze kutusamehe na kurudisha moyo kwa mmewe.
 
ila ki ukweli kuna watu mnajua kuumiza watu huku dunia acha kabisa! kwa nini mnapenda kuact uzungu wakat mnajua fika si wazungu!

hebu geuza shiling dada, chukulia ndo mme wako katuma sms kama hiyo kwa mtu anayemwita rafiki yake, ungesemaje wewe? achane kucheza na mioyo ya watu jaman...! yaan nimeumia kama mimi vile...!

nyie ndo mnaosababishaga watu kujiua au kuanza tabia chafu dunia, FRIEND MY FOOT........!
umenikera kama nakuona
 
ila ki ukweli kuna watu mnajua kuumiza watu huku dunia acha kabisa! kwa nini mnapenda kuact uzungu wakat mnajua fika si wazungu!

hebu geuza shiling dada, chukulia ndo mme wako katuma sms kama hiyo kwa mtu anayemwita rafiki yake, ungesemaje wewe? achane kucheza na mioyo ya watu jaman...! yaan nimeumia kama mimi vile...!

nyie ndo mnaosababishaga watu kujiua au kuanza tabia chafu dunia, FRIEND MY FOOT........!
umenikera kama nakuona

ukisoma vizuri btn the lines utajua nimesimama upande gani, acha kujifanya mtoa hukumu
 
Natamani niachane na hawa watu ila kiukweli nashindwa, nahitaji ushauri hasa wa mwana saikolojia aliyebobea, sipendi kuumiza wanawake wenzangu lakini hawanielewi,nami siwalaumu nakiri nakosea kwa sababu mume anauma jamani.
Ni hivi sijui hata nianzie wapi ila nahisi nimemuumiza mwanamke mwenzangu kwa hisia .nasema kwa hisia sababu cjafanya kila anachonihisi nimefanya kwa mmewe sema tu ushahidi haujatosha kua upande wangu.


Nimezoea kuwaita frends with benefit, sasa mmoja wa hao mafrend zangu ameoa , nimezoeana nae kupita kiasi inshort i fil happy being with him(naomba niweke kwenye mabano cjashiriki nae since nijuane nae coz hicho hakijasababisha urafiki wetu, tunasaidiana sana naweza sema ananisaidia kuliko mimi nimsaidiavyo, ananipa kampani ya kutosha kila mazingira yakiruhusu.kiukweli ni rafiki yangu ambaye yupo moyoni naweza sema .


Last wiki katika kuchat akatuma message , nimekumis mpenzi wangu nowadays majukum ya familia yanatubana ila tujitahidi tukipata nafasi tuonane. Utaniambia mda wako.on ma way home.
mkewe anafaham uwepo wangu kama rafiki wa mmewe bt i wonder y imemuumiza kipindi hiki amemwambia mme wake basi awe anakuja kwangu daily kwake basia ye atatafuta atakayemthamini.
Niwarudishe nyuma kuna kipindi alinipigia simu akaniambia dada natamani mme wangu angenipenda kama anavyokupenda wewe, kiukweli naumia natamani anielewe uhusiano wangu na mmewe ukoje ila pia upande wa pili nahisi ni mkosaji.


Sasa ugomvi kwao umekua siku ya tano sasa, mme wake kaniomba nifanye juu chini nimtafute mkewe nimwambie juu ya hilo atusamehe. Nimeamua kumfuta huyu frend with benefit kichwani mwangu ingawa pia itanichukua mda kukubaliana na ukweli.


Naomba mawazo nifanyaje bi dada aweze kutusamehe na kurudisha moyo kwa mmewe.

Sorry but wewe ni mpumbavu sana....marriage is a relationship between wife and husband, you have destroyed that relationship kisha eti unahitaji psychologist wa kukushauri.....you are only alive because it is illegal to kill you.
 
Urafiki wako na huyo mume wa mtu unaingilia unaathiri ndoa ya mwanamke mwenzako.

Wewe una mume/mchumba/rafiki wa kingono?

nina mume na kaniambia nilikuonya hukunisikia, yamekukuta.
kuna kipindi ilitokea hivyo kwangu bt mme wangu nilipomhadithia hakuniamini akafanya utafiti kwa mda wake akaja gundua hakukua na kinachoendelea, na akanionya si kila mtu ataweza elewa
 
Du ,je mme wako akifanyiwa hivyo utafurahi kweli wewe,kwanini huna mtu wako,acha kuharibu ndoa za watu,ndoa na iheshimiwe na watu wote.UNA MATATAZO WEWE KWAKWELI.
 
Sorry but wewe ni mpumbavu sana....marriage is a relationship between wife and husband, you have destroyed that relationship kisha eti unahitaji psychologist wa kukushauri.....you are only alive because it is illegal to kill you.

wewe acha ujinga, huoni wot i fil kwa dada wa watu, nishakwambia nipo tayari shida nifanyaje dada atusamehe, nampigia simu hapokei. acha kujifanya hujawah kosa ukasamehewa.anyway hayo ji mawazo yako, nachukua ya wanaotoa solution kwenye ndoa ya watu
 
Natamani niachane na hawa watu ila kiukweli nashindwa, nahitaji ushauri hasa wa mwana saikolojia aliyebobea, sipendi kuumiza wanawake wenzangu lakini hawanielewi,nami siwalaumu nakiri nakosea kwa sababu mume anauma jamani.
Ni hivi sijui hata nianzie wapi ila nahisi nimemuumiza mwanamke mwenzangu kwa hisia .nasema kwa hisia sababu cjafanya kila anachonihisi nimefanya kwa mmewe sema tu ushahidi haujatosha kua upande wangu.


Nimezoea kuwaita frends with benefit, sasa mmoja wa hao mafrend zangu ameoa , nimezoeana nae kupita kiasi inshort i fil happy being with him(naomba niweke kwenye mabano cjashiriki nae since nijuane nae coz hicho hakijasababisha urafiki wetu, tunasaidiana sana naweza sema ananisaidia kuliko mimi nimsaidiavyo, ananipa kampani ya kutosha kila mazingira yakiruhusu.kiukweli ni rafiki yangu ambaye yupo moyoni naweza sema .


Last wiki katika kuchat akatuma message , nimekumis mpenzi wangu nowadays majukum ya familia yanatubana ila tujitahidi tukipata nafasi tuonane. Utaniambia mda wako.on ma way home.
mkewe anafaham uwepo wangu kama rafiki wa mmewe bt i wonder y imemuumiza kipindi hiki amemwambia mme wake basi awe anakuja kwangu daily kwake basia ye atatafuta atakayemthamini.
Niwarudishe nyuma kuna kipindi alinipigia simu akaniambia dada natamani mme wangu angenipenda kama anavyokupenda wewe, kiukweli naumia natamani anielewe uhusiano wangu na mmewe ukoje ila pia upande wa pili nahisi ni mkosaji.


Sasa ugomvi kwao umekua siku ya tano sasa, mme wake kaniomba nifanye juu chini nimtafute mkewe nimwambie juu ya hilo atusamehe. Nimeamua kumfuta huyu frend with benefit kichwani mwangu ingawa pia itanichukua mda kukubaliana na ukweli.


Naomba mawazo nifanyaje bi dada aweze kutusamehe na kurudisha moyo kwa mmewe.

Huyo unaimuita bi dada yuko sahihi sana ni vyema ukamuachia mwenzio mumewake ! Tafuta mwanamume wako na wewe
 
Du ,je ungekuwa na boyfriend ,halafu ukafanyiwa hivyo ungekubali kweli wewe,kwanini huna mtu wako,acha kuharibu ndoa za watu,ndoa nas iheshimiwe na watu wote.

nahisi nimeshajibu swali lako
 
nina mume na kaniambia nilikuonya hukunisikia, yamekukuta.
kuna kipindi ilitokea hivyo kwangu bt mme wangu nilipomhadithia hakuniamini akafanya utafiti kwa mda wake akaja gundua hakukua na kinachoendelea, na akanionya si kila mtu ataweza elewa

HUna mume acha kudanganya...hakuna mwanaume anayeweza kumruhusu mkewe kuwa bize katika urafiki na mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu ilhali anajua kuwa inaweza kumwathiri mke wa jamaa...you are just aa professional cunt. Period!!!
Kahaba wa akili.
 
Huyo unaimuita bi dada yuko sahihi sana ni vyema ukamuachia mwenzio mumewake ! Tafuta mwanamume wako na wewe

hakuna sehemu katika post yangu nilisema bi dada amekosea zaidi ya kusema mi ndoi nilikosea, au umeshindwa nielewa
 
HUna mume acha kudanganya...hakuna mwanaume anayeweza kumruhusu mkewe kuwa bize katika urafiki na mwanaume mwingine ambaye ni mume wa mtu ilhali anajua kuwa inaweza kumwathiri mke wa jamaa...you are just aa professional cunt. Period!!!
Kahaba wa akili.

umefika jukwaani, provide much as u can, am done with u
 
Sasa ugomvi kwao umekua siku ya tano sasa, mme wake kaniomba nifanye juu chini nimtafute mkewe nimwambie juu ya hilo atusamehe. Nimeamua kumfuta huyu frend with benefit kichwani mwangu ingawa pia itanichukua mda kukubaliana na ukweli.


Naomba mawazo nifanyaje bi dada aweze kutusamehe na kurudisha moyo kwa mmewe.

Either hutaki kukiri kwamba jamaa umempa mambo ama hujui definition ya 'friends with benefits'.
Kusaidiana ni sifa ya urafiki its not a benefit in friendship. Benefit ni 'kumpa mambo' ambapo ni sifa ya romantic relationship

Acha kumuumiza mwanamke mwenzio na kumuwekea kigiza kwenye ndoa yake. Si ukatafute yako? Shosti mwenzio kapambana kumpata mwache afaidi. Sio kumuwekea giza kwa kofia ya FRIEND. Halafu huu urafiki wa swala na simba huu!!!!
 
nina mume na kaniambia nilikuonya hukunisikia, yamekukuta.
kuna kipindi ilitokea hivyo kwangu bt mme wangu nilipomhadithia hakuniamini akafanya utafiti kwa mda wake akaja gundua hakukua na kinachoendelea, na akanionya si kila mtu ataweza elewa
Je, mume wako hawezi kuwa rafiki yako?

Urafiki sio kitu kibaya, lakini urafiki wako na huyo mume wa mtu unaathiri ndoa ya mwenzako, na sijui ulimuelewaje huyo dada alivyokuambia anatamani mumewe angempenda kama anavyokupenda wewe...ulitakiwa utafakarina kumwambia rafikiyo aonyeshe Mapenzi kwa mkewe.

Mfanye mume wako kuwa rafiki. Huo urafiki na mume wa mtu hautakuwa na mwisho mzuri.
 
Either hutaki kukiri kwamba jamaa umempa mambo ama hujui definition ya 'friends with benefits'.
Kusaidiana ni sifa ya urafiki its not a benefit in friendship. Benefit ni 'kumpa mambo' ambapo ni sifa ya romantic relationship

Acha kumuumiza mwanamke mwenzio na kumuwekea kigiza kwenye ndoa yake. Si ukatafute yako? Shosti mwenzio kapambana kumpata mwache afaidi. Sio kumuwekea giza kwa kofia ya FRIEND. Halafu huu urafiki wa swala na simba huu!!!!

ndo maana niliwekea mabano, inawezekana pia nilishindwa kuielewa maana halisi ila nimeomba ushauri kwa jinsi ilivyo status kwangu na huyu rafiki yangu. hicho unachoita mambo hakipo, naamini hapo utakua umenielewa
 
Je, mume wako hawezi kuwa rafiki yako?

Urafiki sio kitu kibaya, lakini urafiki wako na huyo mume wa mtu unaathiri ndoa ya mwenzako, na sijui ulimuelewaje huyo dada alivyokuambia anatamani mumewe angempenda kama anavyokupenda wewe...ulitakiwa utafakarina kumwambia rafikiyo aonyeshe Mapenzi kwa mkewe.

Mfanye mume wako kuwa rafiki. Huo urafiki na mume wa mtu hautakuwa na mwisho mzuri.

Thanks Elli, mume wangu ni rafiki yangu, huyu rafiki nimekua nae mda mrefu sana before hatujaingia ndoani , lakini hili haikujustify tusiheshimu ndoa zetu. ndio maana nilisema tunakutana au kusaidiana weneva mazingira yanaruhusu na si kudisturb hali ya hewa ya ndoa zetu, kiukweli mkewe yupo sahihi kabisa natamani tu atusamehe then niache ainjoy ndoa yake.
Rafiki yangu anampenda sana mkewe kwa uelewa wangu the way namuona basi tu wanasemaga arobaini ikitimia
 
afu we Suprise bana kila siku unakuja na masuprise mapya ningekuwa mie ndo huyo dada ningekung'oa meno...hujambo lakini?

afu wewe, ndo maana nilisema mume anauma, ila namhurumia kwa sababu anaumia kwenye hamna, hisia mbaya jamani, hata mimi ningeact the sem, shida moyo wake ushapasuka , kuurudisha nafanyaje jamani.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom