INAUZWA Fridge, sofa, meza ya chakula na kabati la vyombo vinauzwa

Kwema wakuu,,
ninauza vitu vyangu vya ndani kama ifuatavyo:
kabati la vyombo 4"kwa 5" mbao mninga 500,000tzs
dining table na viti vyake 200,000tzs
sofa la watu 5 L shape 500,000 tzs
Fridge 280,000tzs
unaweza kulipa kwa awamu kama utachukua zaid ya kitu kimoja.
kwa maelewano na picha,ni pm.
Mkuu, si umepewa pesa ya uhamisho, njoo navyo tu Dodoma maana huku bei iko juu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom