Fridge dogo used inahitajika

Dah Nina fridge kubwa, used iko vizuri sana...Naiuza kwa 150,000/- tu. Ukihitaji nicheki pm
 
matangazo mengine wakuu muwe mnajifunza hata kuibia elimu kwa majirani. unata jokofu lakini husemi uko wapi. mawasiliano yako, huelezei gharama za kusafirisha utalioa mwenyewe au la! hata ungekuwa unakaa kigamboni na mimi niko posta lazima gharama ihusike. vipi nikiwaza unakaa Lindi Mtwara na muuzaji yuko Rwamishenye Bukoba. tujifunze kupunguza utata usio wa lazima.
 
matangazo mengine wakuu muwe mnajifunza hata kuibia elimu kwa majirani. unata jokofu lakini husemi uko wapi. mawasiliano yako, huelezei gharama za kusafirisha utalioa mwenyewe au la! hata ungekuwa unakaa kigamboni na mimi niko posta lazima gharama ihusike. vipi nikiwaza unakaa Lindi Mtwara na muuzaji yuko Rwamishenye Bukoba. tujifunze kupunguza utata usio wa lazima.
Wanaasume watu wote wapo Dsm
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom