...at this hour 13:06:08 something ~horrible~ might happen,
Mind the Gap!!!!
We Mwanga...
hakijatokea kitu ila tu ni kwamba TANESCO wamekuja kunikatia umeme mida hiyo. Kisa SEAL za meter zimevunjwa, SEAL ambazo walivunja wao the last time they came.
jamani ninaomba nifafanulieni vizuri nini kinaendelea juu ya hii tarehe? maana nimezaliwa tarehe hii !! msaada kwenye tuta wajameni ung'eng'e kwangu haupandi kabisa
...woow.
happy birthday Sra,
Dont worry, be happy!!!
Mzee mbona saa saba bado ushatokea JF? Au umeamua kukomaa hivyo hivyo? Liwalo na liwe!!!