book11
JF-Expert Member
- Mar 24, 2017
- 699
- 387
Tahadhari ya kwanza ,maagano na viapo utakavyoingia ni ngumu kuyavunja labda yesu mwenyewe,na huweka blood signaturenipe tahadhar mapema ndug yangu nini madhara yake
Pia ujiandae kuishi kwa kunywa damu,maana damu ina uhai.
Jiandae kuwa na unreggular shape yaani sio mtu wa kawaida,pia kutunza siri zao bila kutoa popote.