kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,712
kama kulikuwa kuna agenda ya kuisafisha freemason na kuifanya ifahamike zaidi miongoni mwa waaafrika, basi hakuna shaka agenda hiyo imefanikiwa kwa kiasi kikubwa sana.
kwa sasa freemason sio habari tena ya kumshitua mtu. nadhani hilo ndio lilikuwa lengo hasa la freemason.
kwa sasa freemason sio habari tena ya kumshitua mtu. nadhani hilo ndio lilikuwa lengo hasa la freemason.