Niijuavyo Freemasonry

Free ideas

JF-Expert Member
Jun 11, 2013
3,455
1,931
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni kuhusu jamii inayosemekana ni jamii ya siri(Free mason) kama wengi wanavoiita.,,

Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo nimegundua ambayo pia yaweza kuwa tofauti na wengi wanavofikiri.


Nitaaanza kwanza kwa kuifafanua maana ya Free mason na misingi yake,(narudia tena please hii ni kwa mujibu wangu na nnaandika kutoka kichwan sio machapisho yoyote).

Free Mason ama wajenzi huru,ni jamiii ama kikundi ambacho kina misingi toka zaman sana enzi za mfalme solomon.kwa jinsi nnavojua mimi kilianzaa kama umoja wa wajenzi waliokuwa maarufu sana wakati ule hasa katika mambo.ya ramani na usanifu majengo,kikundi hiki kilikuwa namisingi yake mashariki yakati.wakati kinaanza hawakuwa na nia yoyote mbaya kama inavyosemekana sasa.


Walianza kama umoja wa wajenzi na baadae kutanuaka hadi ulaya,asia,america kusini na kaskazin na pia africa kaskazin na ethiopia.malengo yao makubwa yalikuwa kusaidia nak udumisha umoja wao na kuendeleza chama chao.

UHUSIANO WAO NA UTAJIRI
Baada ya kupata wafuasi(wajenzi),kikundi hiki kilitanuka na kushawishi watu waliokuwa nau wezo wa kifedha kuwekeza na kujiunga nao ili kuweza kuendelza imoja wao.matajiri mbali mbali kutoka mabara hasa ya ulaya na asia pia marekani waliwasapoti na kuinua mfuko wao wa umoja wa wajenzi.

Walikuwa wakichukua tenda za ujenzi katika sehem mbalimbali duniani na hivo kuanzisha kampuni nyingi karibu kila bara na kanda kadhaa. Na kwa sababu hiyo walijitengenezea jina na heshima na kwa kuwa walikuwa wengi matajir waliweza kushawishi mambo mengi katika siasa,sayansi,na dini.waliweza kufanya mageuzi katika serikal nyingi na kuweka watu waliowataka wao.waliweza pia kufadhili tafiti mbalimbali za lisayansi na kuwasapoti watu maarufu na kuwaaminisha watu kuwa wao(watu),kuwa ni bora na wanauwezo mkubwa kuliko........


KUHUSISHWA KWAO NA SHETANI

Baada ya jamii hii kukua na kuota mizizi ikiwa kama jamii wa wasomi,wataalam,wabunifu na watu maarufu,ilianza kujipanua na kujiingiza katika serikal kubwa duniani.na kushawishi mambo ambayo yalikuwa na manufaaa kwao na hasa katika kuendeleza umoja na mfuko ama ustawi wao.,
Kutokana na kukua kwake wajenzi hawa,wakafikia hatua ya kuanzisha imani yao binafsi,ambapo moja ya misingi yao ni kuamini katika nafsi(sisi),(we the people),rejea hotuba za rais obama za kuapishwa.kwah iyo wakaanzisha utaratibu wao wa kuabudu ambapo wamekuwa wakitoa kafara na sadaka mbali mbali kutokana na imani yao.wamekuwa na ishara zao z kutambuana n.k

Kutokana na wao kuamini katika uwezo wao,wamekuwa wakihisiwa kuwa wanapinga uwepo wa anayeitwa mungu badala yake kwamba wanamuunga shetani mkono.madai haya binafsi nayapinga kwa sababu kuu zifuatazo.

1.aina ya kuabudu wanayotumia Free masoni ni ile iliyotumiwa na mnaowaita mababa wa imani,ibrahim(Abraham ),mussa na akina solomon na wengine wengi.ref.pia kabla ya kuja wakoloni africa tulikuwa tunatoa kafara hadi ya binadam kwa mizim(was that masonic worship??)

2.hakuna kitabu cha masonic rules kinachoeleza wazi kwamba hakuna mungu,ila rules zoa zinaonesha misimamo na personal charachters za mwanadam ambazo hazina uhusiano na kisichoonekana.

3.masoni hawatoi kafara ya kuua wanadam bali ni mbuz,kondoo ama wanyama ambao ni adim kuwaona.

4.chuki,uoga na udhaifu wa dini ndo chanzo cha kusingizia yote.

WANAFANYAJE KAZI
Msonic hufanya shughuli zao kwa umakini na kanuni zao ni za siri pia.wanavitabu na mafunzo ya misingi imara katika dini yao.ili kuhakikisha wanajieneza kwa kiasi kikubwa ,wao hudeal na watu maarufu ama utafiki ama bidhaa pendwa ambapo husapoti na kuendesha shughuli mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.

NINI LENGO LAO??
1. Free masonic,hawana lengo baya kama ambavo tumekuwa tukisimuliwa kila siku katika media.,lengo lao ni kutaka kujitawanya karibu kila pembe ya dunia na hivo kupata wafuasi ama waimini wa kutosha.,

2.pia kuitawala dunia(huu ni mpango endelevu ),na kwa imani na plan zao utatimia kabla ya mwaka 2040,lengo lao ni kuona watu wote wanakuwa kitu kimoja na kuunda umoja mahal pote katika uso wa dunia.

3.kutaka kumtoa mwanadam hofu ya misemo kama,SIKU YA HUKUMU,LIFE AFTER DEATH,KIAMA,HEAVEN,HELL n.k,vitu ambavyo kwa iman yao havipo na ni vya kufikirika.

FREE MASON NI DINI??

Kwa mtazamo wangu mimi masonic sio dini kam wengi wasemavyo,..,najua hujanielewa lakini em tufafanue nn maana ya dini,kwa nijuavyo mimi Dini ni aina ya maisha(/shughuli za kimaisha) ambayo mwanadam anaishi/anafanya kila siku.shughulizi hizo ni kama kuzalisha,kutambika,na tamaduni zote.kwa hiyo nikisema dini ni utamaduni nadhn bado ntakuwa sawa.

Lakini masonic sio dini,kwa hiyo pia sio utamaduni bali masonik ni IDEA,kijerumani wanaita IDEE,masonic ni idea tu ya kufanya jambo kwa misingi na utaratibu,na hata wanapokutana pamoja na karafa zao wanazoa ripoti za utendaji kaz na kupeana mikakati ya baaadae,( kwa hiyo sio dini bali ni idea tu.),


NB,niaminivyo mimi masonic ni kama Idea zingine ama theory tu.sifa nyingine tunazitoa sisi ambazo hata wao hawana wala hawajafikiria.,samahan kwa wale nilio wakwaza kwa uzi huu,ni mawazo yangu binafsi yaweza kuwa niko wrong pia.


,kwa maelezo zaidi,tafuta kitabi changa kinaitwa Free Ideas, cha 2013 july.
=======
----
Freemason ni shirika au chama cha kindugu kilichojitokeza kwa siri mwishoni mwa karne ya 16 mpaka mwanzoni mwa karne ya 17. Chama hiki cha Freemason kipo katika mitindo mbalimbali karibu sehemu zote duniani, kikiwa na wanachama wanaokadiriwa kufikia milioni sita, pamoja na watu wa karibu laki moja na hamsini elfu.

Ni mradi mkubwa wa kutisha wa ibilisi ulimwenguni, chanzo cha utajiri bandia wa viwanda, mabenki, magari, majumba na mapesa. Ni nguvu binafsi iliyo kubwa, tajiri kuliko na yenye siri za hali ya juu ulimwenguni. Ni udugu usio wa kimungu wa giza la kishetani. Ni jumuiya iliyo kubwa sana ulimwenguni ambayo huendeleza taratibu zake kwa kutumia alama, matamko na viapo ambavyo endapo mtu atavikiuka atakabiliwa na adhabu ya kifo. Wameenea kila sehemu ya sayari yetu katika nyanja zote za maisha ya binadamu yaani wanapatikana katika elimu, taasisi za afya, siasa na uongozi, uongozi wa makanisa, wafanyabiashara, wanamuziki, wanasayansi nakadhalika.

Kati ya wanachama na ndugu hao wa karibu zaidi ya robo milioni wapo nchi za Scotland na Ireland chini ya mamlaka ua utawala wa muungano wa nyumba kubwa ya Uingereza, na wanachama chini ya million mbili wapo Amerika. Hata hivyo, Maana kubwa na inayojulikana sana ya Freemason ambayo wakati mwingine huitwa “The brotherhood” (ukaka au undugu), ni hii kwamba ni undugu wa wanaume wenye heshima, sifa na hadhi kubwa. Daima usomapo kweye vitabu kuhusu Freemason utagundua kwamba “brotherhood” ni jumuiya ya siri na inachukuliwa kama ya zamani zaidi duniani.

Undugu kiutawala ulipangwa katika nyumba au chumba kikubwa huru au muda mwingine Mashariki, kila kimoja kiliongozwa au kilikuwa na mamlaka yake ambayo ilijumlisha nyumba ndogo. Nyumba mbalimbali kubwa zilitambuana au hazikutambuana kwani ilitegemea zaidi uamiinifu kwa alama za mipaka yao. Pia kuna vyombo vidogo ambavyo ni shirikisho lenye uhusiano na tawi kuu la Freemason lakini vyenye utawala wao huru.

Freemason hutumia mifano au mithali za vifaa vya mawe ya kimason katika utekelazaji au utendaji nyuma ya poromoko la jengo la Hekalu la Mfalme Solomoni kujulisha kile kilichoelezwa na wanamason wote na wajuzi kama mfumo wa maadili uliofunuliwa katika fumbo na kudhihirishwa kwa ishara.

Nimesema Freemason ni chama cha siri cha wanaume kumbe kwa upande wa wanawake (kimsingi) hawaruhusiwi kuwa wanachama, kwani tangu kupokelewa kwa katiba ya James Anderson mwaka 1723 imekubaliwa kuwa kawaida wanaume tu wanaweza kuwa wanachama wa Freemason na siyo wanawake.

Hii ni kwa sababu walikuwa wanaamini kuwa kuwaingiza wanawake kutavunja sheria kongwe. Wakati wanawake wachache kama vile Elizabeth Aldworth, walianzisha kubainisha uanachama wa mwanzo huko uingereza hapo mwaka 1723, wanachama rasmi wa freemason ni wanaume tu, wakati kawaida wanawake hawawezi kuwa wanachama lakini ndani ya mipaka ya Marekani zipo taratibu nyingi zinazohusisha wanawake na freemason kama vile utaratibu au mpango wa nyota ya Mashariki, utaratibu au mpango wa Amaranth, pamoja na Madhabahu nyeupe ya Yerusalemu.

Ndugu zangu wauliza swali, kuhusiana na historia ya Freemason, asili na maendeleo yake ni shughuli zilizotokana na mdahalo na maono. Shairi linalojulikana kama “Regius Manuscript” limekuwa likitaja kwa kukadiria mwaka 1390 kuwa vuguvugu ndiyo zilianza na ni maandiko ya zamani ya wamasoni.

Leo hii duniani inasadikika kwamba kuna mamilioni ya wanamason na wapo wanaowatazama au wanowachukulia Freemason kama fumbo. Wapo pia wanaotazama Freemason kama wanaume wanaoendesha mikutano mbalimbali iwe ya kiakili, ya kimwili, kiroho na yenye malengo yote hayo. Lakini hata hivyo, wapo wanaodhani kuwa lengo la Freemason ni kuandaa muundo na mbinu ya siku moja kuja kutawala dunia, kuwaandaa watu wa kupeleka katika moto wa jehanamu, kutumia nguvu zao zote kuzuia watu wasijitoe kwa Yesu ambaye ni adui yao mkubwa.

Kwa mfano hapa kwetu Tanzania, ‘Freemason waliojitokeza waziwazi na kujitambulisha ni kina Chande “Andy Chande” ambao ni matajiri wafanyabiashara maarufu. Katika mahojiano aliyofanya na mwandishi Muhiddin Michuzi wa gazeti la Sunday News la tarehe 3. 4. 2005, ndugu Andy Chande alikiri kuwa anao wanachama zaidi ya 3,000 (yeye mwenyewe ni mkuu wa nyumba ya Wilaya, na kuwa wamekuwa wakishirikiana na baadhi ya viongozi wa Tanzania na Afrika – hapa sitawataja ingawa yeye aliwataja. Alitamka kuwa mtu yeyote akishajiunga na freemason hawezi kutoka tena, kwa maneno yake “Once a freemason, always a Freemason”.

Mpenzi msikilizaji wa Redio Maria, hata hivyo, inapotokea kuelezea historia ya Freemason, utagundua kwamba vyanzo mbalimbali vinatoa maelezo tofauti tofauti. Vipo vyanzo vinavyosema kuhusu Freemason kwamba umoja huu ulianzia Misri, kibayana zaidi toka kwenye madhehebu ya wanao abudu miungu ya kipagani Osoris, Isis na Horus, ambapo Osiris ni Mungu wa ulimwengu na Isis ni dada yake wakati Horus ni mtoto.

Vyanzo vingine vinasema kwamba Freemason ilizaliwa toka kwenye jumuiya ya Druids. Lakini wataalamu wengi wa Kimason, hata hivyo wanasema kwamba kundi hili la Kimason liliundwa wakati Hekalu la Mfalme Solomon lilipokuwa linajengwa. Wanasema mtu mmoja aitwaye Hiram Abiff, anasemekana kuwa ndiye aliyekuwa mjenzi mkuu wa Hekalu lakini pia kiongozi wa Freemason na aliuwawa kwa kutoa siri za chama hicho cha Freemason.

Inasadikika kuwa wafuasi wa Kimason walikuwa na uhusiano wa kisiri na kundi jingine lijulikanalo la “Knight Templer”, hili ndilo lilikuwa kundi la watawa wa miaka ya 1118 A.D ambalo lilijipa lenyewe madaraka ya kuwalinda mahujaji waliofika kuhiji Yerusalemu.

Kuna hata hadithi zinazosema kuwa hazina zilipatikana kwenye Hekalu la Mfalme Solomon na inasemekana kuwa hawa mashujaa wa Templer ndio walioziona na hivyo wakawa matajiri sana na hatimaye walikamatwa na kufungwa kwani Mfalme wa Ufaransa wa wakati huo naye alizihitaji hazina hizo kwa matumizi yake binafsi. Wakiwa gerezani, wafuasi wa kundi hilo lisemwalo waliendelea kuishi kadiri ya imani ya Kimason na kwa kweli walikuwa tayari kutoboa siri hata kwa watu wengine.

Mtu anaweza kuingizwa au kufanywa mwanamason katika nyumba ambapo anaweza mara kwa mara kubaki mwanachama kwa kuchangia fedha kwa kudumu. Mkuu wa Mason anaweza kutembelea mkutano wowote wa nyumba iliyo chini ya mamlaka yenye urafiki na yake, na pia mkutano maalumu wa nyumba unaweza kumkarimu.

Kwa mtu mgeni kwanza anatakiwa achunguze utaratibu wa hiyo nyumba na anatakiwa awe tayari kukidhi haja kwa utaratibu wake na pia anaweza kukataliwa kama atatuhumiwa ama kudhaniwa kuharibu amani katika nyumba hiyo. Kama anapenda kutembelea nyumba hiyo hiyo kwa mara nyingine anatakiwa kujiunga nayo na kutoa mchango wa fedha.

Freemason kwa kawaida wanakutana kama mkutano na sio kama familia, ingawa katika hali inayoeleweka wanamason hukutana kama nyumba ya kifamilia. Mara nyingine majengo ya Freemason hujulikana kama Mahekalu ya kifalsafa na usanii. Katika nchi nyingi vituo vya wanamason au kumbi zimewekwa mahala pa Hekalu ili kuepuka mkanganyiko na kudhaniwa vibaya.

Nyumba nyingi tofauti za wanamason au za vikundi vingine visivyo vya kimason zimetumia maneno hayo katika nafasi mbalimbali ili kutodhaniwa vibaya. Nyumba kubwa na Makao ya Mashariki ni huru na chombo cha mamlaka ambacho kinaongoza mason katika nchi husika, taifa au eneo fulani la kijiografia. Hakuna chombo kikuu ambacho kipo mbele kuongoza Freemason duniani, kwani muunganiko kati ya mamlaka mbalimbali hutegemea sana tambuzi za pamoja.

Ndugu zangu wanachuo wa chuo kikuu cha Dodoma (UDOMU), mwalimu kutoka Shule ya Msingi Elerai Jimbo Katoliki la Arusha na TYCS, Yustin na Edha, na Thadei Filipatali wa S. L. P 38 Mafinga Iringa, kwa upande wa Kanuni na kazi wakati inasemekana kuwa Freemason ni chama au ushirika wa siri, wanamason wenyewe wanadai kuwa ni sahihi kusema kikundi cha ndani au kikundi cha faragha na katika mambo fulani kama kikundi cha binafsi. Zaidi ya hapo, kwa ujumla wake katika karne hii ya 21, Freemason kimekuwa siyo chama cha siri bali chama chenye siri.

Freemason ina wajibu zake na Masharti yake ambayo ni yale yanayounda dhehebu, ambamo mteule huapa kufungamana nayo kwa sheria za undugu, kutunza siri za chama (ambazo ni alama, misemo na maneno mbalimbali yanayohusiana na uelewa wa kila kiwango) na kutenda, au kuwatendea wengine kadiri ya utamaduni na sheria za kiuashi au uanachama.

Katika mamlaka rasmi hayo masharti huapwa mbele ya Kitabu Kitakatifu cha sheria kilichotajwa na Katika ushuhuda wa uwepo wa juu wa Kiumbe kikubwa kupita vyote duniani, na mara nyingi kwa uhakika kwamba mtahiniwa anaamua mwenyewe kwa utashi huru kabisa.

Moja kati ya yaliyomo linaloweza kutokea walau mara moja kati ya masharti matatu ambalo linajumuisha, ahadi za mtahiniwa kutenda kama mtu anayefaa kuwa mwana jumuiya iliyostaarabika au iliyoendelea, ahadi ya kutii sheria ya uwepo wa kiumbe kikuu, ahadi ya kutokukosea, kutodanganya wala kulaghai jamii au ndugu na ahadi ya kutoa msaada au wema kwa mwanafamilia, ndugu na familia zao, wakati wa shida kama inaweza kufanyika bila kusababisha uharibifu wa uchumi kwake yeye mwenyewe au kwa wale wanaomtegemea.

Masharti yanajulikana kihistoria kati ya vyanzo kinzani vya uanachama wa chama cha siri cha kusaidiana yaani Freemason, kwa ajili ya kile kinachoitwa adhabu ya damu ama kafara, limetolewa dokezo kwenye adhabu za kimaumbile zilizodhahili, zinazohusiana na kila kiwango. Hili linasababisha masharti mengine kama viapo.

Andiko halitokei katika vyanzo vyenye mamlaka na vilivyoidhinishwa, litafuata uamuzi kwamba marejeo yote kwenye adhabu za kimaumbile zitolewe kwenye masharti yaliyochukuliwa na mtahiniwa katika viwango vitatu na yaliyochukuliwa na mkuu aliyechaguliwa wakati wa kusimikwa kwake, lakini yaliwekwa mahali fulani katika maadhimisho hayo.

Adhabu zinatafsiriwa kimafumbo, na hazitumiwi kiukweli na makao makuu au muhimili wowote wa chama hicho cha Freemason. Hali ya kuelezeka kwa adhabu inadokeza jinsi mtahiniwa anavyotakiwa kujisikia kuhusu yeye mwenyewe kama akikiuka kwa makusudi masharti yake. Adhabu halisi za sasa zinaweza kuwa kuachishwa kwa muda, au kufukuzwa na utoaji wa kafara au kulipia.

Ndugu zangu wanachuo wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMU), mwalimu wa Shule ya msingi Elerai Arusha pamoja na TYCS, Yustin na Edga kutoka Songea Boys, na Thadei Filipatali wa S. L. P 38 Mafinga Iringa, kuna viwango au digrii katika Freemason ili kuhakikisha kuwa mtu kweli amefuzu kuwa mwanachama.

Hapa unaweza kuona kuwa katika karne ya 19, vyeti vya viwango vilitolewa kwa Wanamason wote kuonesha kuwa wamepitia daraja zote tatu za ufundi au ustadi wa kimason katika nyumba ya kawaida. Na daraja au digrii hizo tatu za ufundi au ustadi ambazo hutolewa na nyumba ya Bluu ya Freemason ni hizi zifuatazo;
Mosi, Kiwangoa au digrii ya kwanza ambayo ni ya kuingizwa mtu kama mwanafunzi wa ufundi au uashi. Hii ni digrii ya kuingizwa ambayo inamfanya mmoja kuwa mwanachama halisi wa Freemasoni.

Pili, Kiwango au digrii ya mshiriki stadi, hii ni digrii ya kiwango cha kati ambayo hujumlishwa pamoja na kujifunza maadili ndani ya chama.
Tatu, Kiwango au digrii ya mwashi mahili (mwajili), hii ni digrii ya kiwango cha tatu ambacho ni cha lazima katika vipengele vilivyovingi vya mwanachama wa Freemason.Digrii au viwango hivyo vinawakilisha hatua za maendeleo ya mtu binafsi.

Hakuna mwanachama wa chama cha siri cha kusaidiana aliyeambiwa kwamba kuna maana moja tu ya istiari hizo. Kama mwanafreemason afanyavyo kupitia vivango na masomo yao hutafsiri kwa ajili yake mwenyewe, tafsiri yake binafsi huwa imefungwa au imezingirishwa tu na Katiba ndani ya kile akifanyacho. Alama ya kawaida ya muundo na vielelezo vya jumla humwezesha kila mwana Freemason kufikia kwenye majibu yake mwenyewe ya maswali muhimu ya kifalsafa kuhusu maisha kwa ujumla. Na hapa hakuna hatua au kiwango cha uanachama stadi wa chama cha siri cha kusaidiana kilicho juu kuliko kile cha mwashi mahili au mwajili.

Mpenzi msikilizaji wa Redio Maria, viwango hivyo vinasimamiwa sanjali na mifumo ya ufundi au nyumba ya kukutanikia iitwayo Nyumba ya Bluu ya wanachama hao. Katika kila chama kuna mfumo wa ofisi mbalimbali unaoleta matabaka ndani ya hicho kiwango au utaratibu huo wa pekee. Katika mamlaka nyingine hasa zile zilizopo katika Bara la Ulaya, wanachama hao wanaofanya kazi zao kupitia viwango hivyo wanaweza kuombwa kutayarisha makala kuhusu mada za kifalsafa zinazoendana na viwango hivyo, na kuwasilisha makala hizo katika nyumba wazi ya kukutanikia.

Kuna mkusanyiko mkubwa sana wa makala za kiuashi, magazeti na chapa zinazozungumzia kutoka kwenye fikira za kubuni zinazounda masomo ya kiroho na kimaadili yenye hadhi tofauti tofauti, kupitia vitabu vidogo vya kiutendaji kuhusu chama, uongozi na uadhimishaji wa madhehebu au ibada zao. Na pia zipo makala makini za kihistoria na kifalsafa zilizoaminishwa kwenye masuala ya kitaaluma.

Baadhi ya wanaushirika wa Freemason wanayo mahitaji ya ziada kama dini kwa mfano wapo wenye imani ya Kikristo wanaotakiwa kukiri Utatu Mtakatifu. Zaidi ya hapo kuna vikundi vingine ambavyo hufikiriwa kuwa na uhusiano na Freemason lakini havina uhusiano wowote ule na Freemason. Navyo vikundi hivyo ni kama utaratibu au mpango wa chungwa, kilichoanzia huko Ireland, na kikundi cha uhuru wa mpango wa marafiki wamoja.

Ndugu zangu wauliza swali, nanyi nyote mnaonisikiliza sasa, zaidi ya viwango hivyo yapo pia mahitaji mengine ya uanachama wa Freemason ambapo uanachama wa Freemason unamhitaji mtahiniwa ambaye atakuwa tayari katika haya yafuatayo;
Kipengere cha kwanza kinahusisha Jitihada zenye fadhila, hapa ni kuonyeha undugu unaohusisha kwa kiasi kikubwa kafara ya watu na uwasilishaji wa shughuli za jumuiya nzima. Kwa wakati wa sasa mara zote, fedha hukusanywa tu kutoka uanachama wa Freemason ulimwengu mzima na hulipa kiasi kikubwa cha fedha kwa kafara za wasio waashi, mahali, kitaifa na kimataifa.

Katika karne zilizopita japokuwa akiba zenye fadhila zilikusanywa zaidi katika misingi ya busara au jamii za kirafiki na kanuni zilikuwa zikinyumbulishwa kuamua ombi la mstahili kwa kuzingatia sadaka, na kulingana na vigezo mahususi. Baadhi ya mifano ya sadaka za kimasonia hujumuisha hizi zifuatazo;

Wanachama ambao hutoa sadaka za kafara. Hawathamini kabisa uhai wa mwanadamu. Kumwaga damu kwao ni kama kumwaga maji. Kuzuia mafanikio ya mtu ili kumshinikiza kupokea uovu wao. Ni wanafiki wanaochangamana na watu ili kuwadhuru au kuwaingiza katika dini yao ya kuabudu shetani.

Wanachama ambao hutoa hifadhi au uangalizi wa kiuguzi.
Elimu na hiba za kielimu au shule kama vile shule ya kifalme ya wamason ya Uingereza ambayo ipo wazi kwa wote si kwa familia za kifreemason tu.
Msaada wa kitabibu/ au utoaji wa madawa kusaidia wagonjwa.
Mipango ya utambulisho wa motto au sera ya kimasonia (CHIP).

Kwa kuongezea, kuna maelfu ya mashirika ya kifadhili duniani ambayo yameanzishwa na Freemason. Kwa mfano, Chama cha huduma cha kimasonia cha uchunguzi wa tiba za maabara, na hospitali ya heshima kwa watoto ni fadhila muhimu zinazotambulika ambazo wamason wameanzisha na zinaendelea kutoa msaada wa kielimu na kifedha. Sanjali na hayo, kipo kipengere kingine kinajumuisha mahitaji ya jumla, kwa kawaida kukubaliwa kwa mwanchama wa Freemason, mwanachama mtarajiwa lazima awe na sifa au vigezo vifuatavyo;

Awe mtu ambaye ni huru na ni ridhaa au hiari yake mwenyewe.
Kuamini katika Mungu, desturi ambayo huachwa wazi ili itafsiriwe na mwanachama mwenyewe.

Kuwa walau na umri mdogo (kuanzia miaka 18-25 hutegemea na mamlaka kwani baadhi ya mamlaka kijana wa kimasonia, anayefahamika kama Lewis huweza kujiunga katika umri wa mwanzo kuliko wengine).

Kuwa na maadili mema na sifa njema.
Kuwa na akili timamu na mwili safi kwani wapagazi walikuwa wakikataa uanachama kwa mtu kwa sababu ya ulemavu kimwili; japokuwa sasa ; kama mwanachama mtarajiwa kama atasema ulemavu hautasababisha matatizo, haitachukuliwa kinyume).

Kuwa amezaliwa huru (yaani sio amezaliwa mtumwa au mdhamini kama ilivyokuwa kabla hili ni tishio zima la kihistoria na huweza kutafsiriwa katika maana sawa kama ilivyo katika mkataba na kuandika ridhaa. Baadhi ya mamlaka yameondoa hitaji hili.

Kuwa na uwezo wa kununua tabia ya kumbukumbu kama vile kumbukumbu mbili toka wamasoni wa sasa hutegemea katika mamlaka. Hata hivyo, baadhi ya nyumba kuu za kukutanikia wanachama katika Amerika kuna ongezeko la mahitaji ya nyumba, ambapo mwanachama mtahiniwa hutarajiwa kuwa ameishi ndani ya mamlaka kwa kiasi fulani cha muda, hasa miezi sita.

Ndugu zangu wauliza swali, kwa ufahamu zaidi zipo alama za uanachama wa Freemason ambazo hupambanuliwa kama miongozo ya zamani na isiyobadilika, vipimo ambavyo kwavyo utaratibu wa makao au vituo na makao makuu hupimwa. Kila makao makuu yana utawala wake na hakuna mamlaka yeyote iliyopo juu ya wanachama wote wa Freemason. Tafsiri ya miongozo hii kwa hiyo inaweza kutofautiana na kukasababisha mabishano na kutoelewana kati yao wenyewe.

Mpenzi msikilizaji wa Redio Maria, wanamason wana ibada zao na alama zao za maadili ambazo hujionyesha wanapofanya mikutano yao kwa kutumia mifumo ya ibada au matambiko. Hakuna ibada ya aina moja kwani kila kundi lenye mamlaka ya kisheria lipo huru kufanya ibada zake za pekee, ingawa kuna ufanano fulani katika ibada zao. Kwa mfano, wanamasoni wote katika ibada hutumia jengo lenye alama ya vifaa vya zamani, kama mawe ya wanamason wa miaka ya kati.

Freemason kama wanaupembuzi au watafiti huwa na majengo ya kifalsafa na siyo ya kawaida tu. Na hutumia hali au alama hiyo kufundisha maadili na tamaduni zao, katika kanuni za upendo wa kindugu, usawa na ukweli. Alama hizo ni kama, Apron;Hii hufuatisha vazi la majani ya mtini ambalo Adamu na Hawa walitengeneza baada ya kula tunda lililokatazwa, dira (Compass), huashiria nguvu za kiume, herufi “G” huwakilisha mungu wa mason, sega la nyuki; huashiria ustawi wa uzazi kama ule wa malkia wa nyuki, nyota ya mashariki, jicho linaloona la Horus.

Na kanuni mbili ambazo ni alama za vifaa vyao, zinazopatikana katika nyumba ya wanamason, ni mraba na duara. Katika alama hizo za mraba na duara ndani yake utaona michoro ya mkasi na mraba mwingine pamoja na herufi G. Baadhi ya nyumba nyingine zina kanuni zinazoeleza alama hizo mbili kama onyo au fundisho la uhusiano ndani ya chama chao. Kwa mfano, mmason anatakiwa afanye mambo yake yakiwa kama mraba wa fadhila, na ajifunze kuzuia matamanio na vionjo na kuvifanya kama duara yaani vizunguke ndani yake tu katika kuwaelekea watu.

Na herufi G inasemekana ndiyo ishara ya Luciferi ambapo wafuasi wake humkiri kuwa siku moja atatawala dunia. Zaidi ya hapo, alama ya mraba ndani yake huwa na michoro ya Panga, Mkono wa kulia na Kichwa. Hapa, Panga huwakilisha utawala wa Luciferi ambaye ndiye mpinga Kristo namba moja, mkono wa kulia huashiria imani na uaminifu wa wafuasi katika viapo vyao, wakati mchoro wa kichwa au fuvu la kichwa cha mtu huashiria utawala mpya wa Shetani.

Ndugu zangu wanachuo wa Chuo Kikuu Cha Dodoma (UDOMU), mwalimu wa Shule ya msingi Elerai, Jimbo Katoliki la Arusha pamoja na TYCS, Yustin na Edga kutoka Songea Boys, na Thadei Filipatali wa S. L. P 38 Mafinga Iringa;

Zipo pia namba nyingi wanazotumia wanamason kwa kutambulishana, mfano wa namba hizo ni, namba moja (1) inamaana kuwa kumheshimu Mungu kunamfanya mtu awe kipofu na mjinga na hivyo wanamason wote hawamtii wala hawamheshimu Mungu; namba mbili (2) humaanisha watu wanaopinga amri za Mungu na hivyo wanajiona kuwa wapo sawa na Mungu; namba tatu (3) humaanisha watu watakaoishi milele na Luciferi na hivyo kuwa sawa na Mungu kwa kujua mema na mabaya. Pia namba tisa na namba kumi na moja, ambapo namba tisa (9) humaanisha maisha ya ukamilifu yaani maisha ya utakatifu milele, na namba kumi na moja (11) humaanisha maisha ya roho tu, yaani utawala wa kishetani wa Luciferi mpinga Kristo.

Kila mwanachama lazima achunguze au apembue alama na malengo ya Freemason, na zaidi wanamason wote wanatakiwa kwa namna fulani wawe wapembuzi wa maana ya ya alama za kimason kama kanuni ya kujiendeleza kupitia daraja zote tatu muhimu. Hata hivyo, hakuna maana iliyotolewa na hakuna msemaji mmoja wa chama cha Freemason yote. Kwani nyumba nyingine hutumia mbao na majukwaa kwa matangazo, mbao hizo na majukwaa yao huchorwa nembo zenye pembe tano na zingine mbalimbali kadiri ya mapendeleo ya Wanamason wenyewe.

Mbao hizo na majukwaa vinaweza kutumiwa pia kama nyenzo za kufundishia wakati wa mhadhara au hutumika kama makaripio yanayofuata daraja tatu, wakati mwanachama mzoefu anapoelezea wazo au fikra au dhana ya chama chao kwa wanachama wapya. Nembo hizo zinaweza kutumika pia na wanachama wazoefu kama kumbukumbu ya fikira walizojifunza wakati au enzi za kipindi cha kuingizwa kwenye Freemason.

Hapa ipo pia alama ya usinisahau kamwe, alama hii huwakilishwa na Ua dogo la bluu, ambalo kwa mara ya kwanza lilitumiwa na nyumba kubwa Zur sonne, mnamo mwaka 1926, kama nembo ya kimason mwishoni mwa ubadilishaji huko Bremen Ujerumani mwaka 1938, nembo au begi ya usinisahau mimi iliyotengenezwa na kiwanda hicho hicho kama begi ya kimason ilichaguliwa mwishoni kama nembo ya chama cha Nazi, chama cha kikarimu na kusaidiana kilichokusanya fedha ili pato la dola zingine ziwe huru na zitumike kwa ajili ya silaha za jeshi. Kushabihiana huku kuliwawezesha Freemason kuvaa nembo yao kama alama au ishara ya siri ya uanachama.

Baada ya vita vya pili, Ua la Usinisahau Mimi, lilitumika tena kama nembo ya kimason kwenye ugeuzwaji wa kwanza wa mwaka wa muunganisho wa nyumba kubwa ya Uingereza mnamo mwaka 1948. Siku hizi nembo hiyo inavaliwa na wanamason ndani ya mkunjo au kifuani pa koti na wanamasoni duniani pote kama kumbukumbu ya wale wote walioteseka kwa jina la Kimason, zaidi sana wale wa kipindi cha Nazi.

Mpenzi msikilizaji wa Redio Maria, sauti ya Kikristo nyumbani mwako, kama ndio unafungua Redio yako sasa kipindi hewani ni ijue Biblia, na hivi naendelea kujibu swali linalohusu ufafanuzi wa chama cha Freemason na kama kuna uhusiano na Kanisa Katoliki, basi kama nilivyosema Freemason haina uhusiano wowote ule wala na Papa au Kanisa Katoliki, na kuhusiana na uanachama na dini, Freemason inaelezwa kikamilifu wazi kuwa, yenyewe si dini wala haipo badala ya dini. Kwa hiyo freemason hupokea watu kutoka dini tofauti kama ubudha, ukristo, uhindu, uislam, uyahudi nakadhalika, na matokeo yake freemason hutumia kiasi kikubwa cha sheria ya dhati ya upana wa sheria takatifu kama sharti yakinifu kwa kitabu cha kidini.

Imani ya Kimason inajumlisha pia imani kwa kiongozi ambaye hutumika kama kiongozi wa chama au kikundi. Tukumbuke kuwa kundi hili la brotherhood halina makazi sehemu moja na badala yake, kuna makao mengi ambayo yanawajibika kutii kwenye makao makuu, yajulikanayo kama makao ya Mashariki. Kila makao yanazo sheria zake ambazo wafuasi wake wanawajibika kuzitii, kama alama za siri, namba za siri na alama za mikononi ni vitu vya kawaida kwa mmason kwa ajili ya mfuasi mmoja kumtambua mwingine. Daima tukumbuka kwamba usiri ni moja ya imani kubwa za wanamason zinazowafanya waonekane wa ajabu au wa kushangaza, yaani watu wasio wa kawaida.

Zaidi tujue kuwa, Imani kwa ukuu wa kiumbe wanachoamini na upana au ukubwa wa utakatifu wake, humtaka mtahiniwa wa Freemason aseme wazi imani yake kwa kiumbe huyo mkuu kuliko viumbe wengine, ingawa halazimishwi au haulizwi aeleze tafsiri yake juu ya kiumbe hicho kikubwa. Na majadiliano ya kisiasa au ya kidini hayaruhusiwi ndani ya nyumba za Wanamason, kwa upande mwingine mmason huwekwa katika hali ya kukiri kuelewa kwa tafsiri binafsi juu ya siasa na dini.

Katika kuamini kiumbe huyo mkubwa kupita viumbe vyote, wao huweza kumaanisha Utatu Mtakatifu kwa mmason Mkristo, Allah kwa mmason Muislamu na Para Brahman kwa mmason Mhindi nakadhalika. Wamason wengi hulinganisha kiumbe huyo mkubwa wanayemwamini na Mungu, wakati wengine hushikilia uelewa mpana wa tafsiri ya kifalsafa. Na katika ibada zao kiumbe huyo mkuu wanayemwamini hulinganishwa na mjenzi wa ulimwengu au aliyeumba ulimwengu ambapo hufanya Wanamason wawe na nembo yake ndani ya majengo yao.

Ukubwa au upana wa sheria ya Utakatifu huonyeshwa katika sehemu zilizowazi za nyumba zile zinazotambuliwa kimamlaka na zenye imani juu ya kiumbe huyo mkubwa kuliko viumbe vyote duniani. Katika nchi zinazotumia lugha ya Kiingereza, hutumia Biblia ya mfalme James au toleo jingine ambalo linajulikana kama Biblia ya Kimason. Zaidi ya hapo, mtahiniwa wa Freemason huachwa huru kuchagua kitabu cha dini anayopendelea. Katika nyumba zinazofuata utamaduni wa kujizuia maandiko mengine yanaweza kutumiwa, yakiwemo maandiko ambayo kwa asili yake siyo ya kidini.

Kwa mtu asiyejua huiona Freemason kama chama kizuri lakini kadri anavyozama katika chama, hujikuta anafanya matambiko ya kipagani, akijihusisha na mizimu na udanganyifu mwingi na akimkufuru Mungu, Mungu wa mbinguni huchukuliwa kama mmoja wa miungu mingi iliyopo duniani Bel(Baal) na kama vile Jah na wengineo. Jina la Yesu halitumiki kabisa katika ibada na sala za Freemason (ni marufuku kulitaja). Hufanya mambo yao kwa siri kubwa sana. Hutafuta wanachama kwa bidii isiyo ya kawaida toka kila kona ya dunia.
Ndugu zangu wanachuo wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOMU), mwalimu wa Shule ya msingi Elerai Arusha na TYCS Yustin na Edga wa Songea Boys, na Thadei Filipatali wa S. L. P 38 Mafinga Iringa, hapa naomba niorodheshe mambo machache yanayohusu hawa Freemasoni.

Mosi, Ni kweli Freemasonry kama ilivyo maana yake ilikuwa ni kundi la kwanza la mafundi waashi (masons) au wajenzi kwa lugha nyingine. Walikuwa ni wataalamu waliobobea kwenye masuala ya ujenzi wa mahekalu na mabenki ya zama hizo zinazoitwa kwa kizungu (medieval times), walikuwa wanajenga mahekalu na mabenki au mahandaki ya kuhifadhia pesa pamoja na kuzikia(catacombs kwa kimombo).

Wamason wanaweza kujenga hayo mahandaki kwa utaalamu mkubwa kiasi kwamba ukiingia ndani ya hayo mahandaki bila ramani unaweza ukashindwa kutoka hata unaweza kupotelea humo humo ndani usiweze kutoka tena kama hakuna msaada wao. Hicho ndicho kilichokuwa ni kiwango cha utaalamu wao.

Pili, Kwa kuwa walikuwa ni waashi ndiyo maana alama zao ni vifaa vya ujenzi kama Pima maji nakadhalika.
Tatu, Inasemekana mji mkuu wa marekani (Washington DC) ulisanifiwa na kujengwa na Freemasons. Na inasemekana ni mji makini ambao umejengwa ukizingatia pembe tatu zenye nyuzi zinazowakilisha u freemason.

Nne, Kuhusu imani yao (freemasons) kwa kifupi huwa wanaamini Yesu na Lucifer ni mtu na ndugu yake. Wanaamini kuwa Lucifer ndiye mwema na mzuri lakini wanaamini kuwa Yesu ndiye mbaya kwani alimfanyia hila Lucifer aonekane mbaya ili Yeye aonekane mwema. Kwao Lusiferihuonekana kama baba, kiongozi na mpaji wa fedha, vyeo, madaraka na mafanikio katika maisha. Hahari za Lusifer utazipata (Isa 14:12-15, Lk 10:18, Uf 12).
Tano, Kinachoendelea ndani ya Freemasoni kuhusiana na ibada zake ni siri kwani kuna daraja tatu kama nilivyosema ambazo mwana freemason anapanda kutokana na kubobea katika imani ikiwa ni pamoja na kutunza siri zao.

Sita, Kwa hiyo ijapokuwa wanatumia Biblia wanapoongelea “Bwana” huwa hawamaanishi Yesu bali huwa wanamaanisha Lucifer ambaye ndiye wanayemwabudu.
Saba, Ni watu wenye nguvu mno na mambo yao ni makubwa mno na siri zao ni nzito mno. Ndiyo maana haziko wazi sana. Kwani hata wafuasi wa kiwango cha chini wala hawajui shirika hili linahusika na nini, kwani hata wao hawaambiwi mambo ya ndani.

Yaani kwa wasiojua kitu kule kwenye nyumba zao ni kama club hivi. Wanachama wengine wasiojua siri wanachukulia kama sehemu za vijiwe vya kushirikishana mambo ya kawaida.
Nane, Freemason inawekwa pamoja na makundi mengine makubwa ya siri, yanayoendesha ulimwengu mzima kwa nguvu za kiuchumi, siasa na mambo ya utawala katika nyanja za siasa.

Michango ya wadau
Free ideas,
kutawala dunia ni vibaya, tena vibaya sana.
Mpaka hapa tulipo tunaongozwa na unipolar, lakini us ambayo inaongoza bado kuna mambo hawezi kuthubutu, hivyo bado still dunia nhaijakamatika yote. Hitler alijaribu kutawala dunia na historia inatuonyesha aliua wayahudi wengi. Lakini hitler alichaguliwa kidemokrasia na akashinda kura nyingi.nini nataka kusema, mfumo wowote ukitawala dunia unaweza kutesa na kunyanyasa mifumo mingine isiweze kustawi. Hivyo dunia ili iwe na amani haitakiwi kuwa na mfumo ulijuu ya mifumo yote kwa asilimia mia moja.

HII NI Probable kuwa ; freemansonry wanaweza wakaonekana wapole leo lakini ikiwa wakapata nafasi ya kutawala dunia wanaweza kubadilika na wakaanza kulazimisha kila mtu aachane na imani yake ama dini yake ili watu waabudu kiumbe mkuu waliyemchagua wao. na pia wakapiga marufuku dini zote duniani. Na hapa inaweza kuleta hatari kwani uhuru wa watu unaweza kuwa jeopardized.


NOTABENE;
Pia mkuu kukataa kuwa freemanson hawaabudu shetani unaweza kwenda kinyume na ukweli, wewe hujaweka wazi kama ni memba.
Pili kwa tafsiri ya ukristo mambo wanayoyatolea sadaka sio mambo ya kimungu na pengine ni ya kishetani zaidi.
jap inasemekana mtazamo wa kishetani unatokana na jamii ya wapentekoste(walokole) zaidi, tofauti na wkatoliki, kwani kanisa katoliki tangu mwanzo halijawahi kuwahusisha na ushetani bali waliwakataa kwakuwa hawamwabunu mungu bali deity (kiumbe).

tatu,ukisoma vyanzo kutoka kwa Sir. Albert pike (freemansory of scottish rite) wa USA, kwenye kitabu chake cha moral and dogma anakiri waziwazi kumwabudu Lucifer(light bearer), ambapo kwenye ukristo jina lucifer linamwakilisha shetani mkuu. akiwepo na mtu mwingine Adam W.

Kwahiyo kuwatetea freemanson kuwa hawamwabudu shetani inahitaji angalizo. kitu cha msingi sana ni kuwa huwa wanatabia ya kutoa misaada kupitia taasisi yao, inayesemekana haijasajiliwa nchni.
penye red: mkuu pengine utujuze wamefanikiwa mikakati ipi?
----
2013,

Mkanganyiko na sio kidogo Mkuu, ni watu wengi ikiwemo hata mimi kwa kipindi kirefu niliamini kwamba Lucifer ina muwakilisha IBILISI, Lakini baada ya kupitia maandiko mbalimbali na maelezo mengi ya namna kuisoma Biblia na Kuelewa ndiyo nilipoweza nami kupata ufahamu wa kwamba kumbe ni makosa ya kifasiri tu,Chanzo cha Mkanganyiko ni maandiko yaliyomo kwenye Kitabu cha Isaya 14:12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa! (KJV)

Kweli Ibilisi ndiye Nyota ya asubuhi ?

Tukiyachunguza maandiko vizuri tutaona kwenye ufunuo 22:16 ''Mimi Yesu nimemtuma malaika wangu kuwashuhudia ninyi mambo hayo katika makanisa. Mimi ndimi niliye Shina na Mzao wa Daudi, ile nyota yenye kung'aa ya asubuhi''
Hivyo Bwana Yesu Mwenyewe alijitambulisha kwamba yeye ndiye Nyota yenye Kung'aa ya asubuhi.


Yapo maandiko mengine ambayo yanathibitisha kwamba Yesu Kristo ndiye Nyota ya asubuhi.

2 Petro 1:19 19 Nasi tuna lile neno la unabii lililo imara zaidi, ambalo, mkiliangalia, kama taa ing'aayo mahali penye giza, mwafanya vyema, mpaka kutakapopambazuka, na nyota ya asubuhi kuzuka mioyoni mwenu.

Ufunuo wa Yohana 2:28 Nami nitampa ile nyota ya asubuhi.

Ni wazi kwamba Nyota ya asubuhi ni sifa ambayo ni ya kipekee kwa Bwana wetu Yesu Kristo na kamwe haiwezi kuwa ni sifa ya Shetani/Ibilisi.


Kiini cha mkanganyiko.
Mkanganyiko umetokana na maelezo yanayopatikana katika tafsiri ya Biblia ya KJV Isaya 14:12 (Hasa katika Kiingereza ambapo limetumike neno LUCIFER) kama ilivyoelezwa hapo juu, Neno Lucifer limetumika kama utambulisho wa nyota ya asubuhi,ikiwa ni katika maelezo ambayo ukiyasoma kwa haraka unaweza fikiri yanamzungumzia IBILISI na kumpa sifa ya Nyota ya asubuhi. Hasa ukisoma Isaya14:12 kama ulivyo.

Isaya 14:12-15

12 Jinsi ulivyoanguka kutoka mbinguni, Ewe nyota ya alfajiri, mwana wa asubuhi! Jinsi ulivyokatwa kabisa, Ewe uliyewaangusha mataifa!
13 Nawe ulisema moyoni mwako, Nitapanda mpaka mbinguni, Nitakiinua kiti changu juu kuliko nyota za Mungu; Nami nitaketi juu ya mlima wa mkutano, Katika pande za mwisho za kaskazini.
14 Nitapaa kupita vimo vya mawingu, Nitafanana na yeye Aliye juu.
15 Lakini utashushwa mpaka kuzimu; Mpaka pande za mwisho za shimo.

Ukiisoma maandiko haya kwa makini utagundua si kweli kwamba shetani anapewa sifa na ukuu wa kwamba yeye ni Nyota ya Asubuhi bali ni lugha ya ''Kebehi'' dhidi ya majikwezo ya IBILISI,na kujipa sifa kwamba yeye ni LUCIFER (Nyota ya Asubuhi) na inaonyesha jinsi ambavyo kujikweza kwake kumedhiriwa hadi kushushwa chini mpaka kuzimu,wakati alijinasibu kuwa yeye atapaa kupita vipimo vya mawingu na kuwa sawa na aliye juu!
Ukitambua kwamba Lugha ilikuwa si kumsifia Ibilisi bali kubeza kujikweza kwake na kujipa sifa asizokuwa nazo utagundua kwamba bado matumizi ya neno LUCIFER kwamba ni Ibilisi yanakinzana na ukweli, kwamba alijiita LUCIFER kujikweza tu,lakini kiukweli hana sifa hizo hata chembe.
----
Mkuu Free ideas, hogera. Ila nadhani badala ya kuwataabisha watu kuwa UNATUMIA KICHWA BINAFSI BILA REJEA KUANDIKA YOTE HAYO, NADHANI HUTAPUNGUZA UTAMU WA SIMULIZI ZAKO KAMA UKITUWEKEA TUKASOMA MAJIBU YA FREEMASON WENYEWE. MFANO NI HUU HAPA CHINI;

".....Sometimes we see a question and we do not want to answer it - not because the answer is secret, but because the answer is complicated. This is such a question…

King Solomon was, according to the Hebrew Bible, a King of Israel. Other religions describe him as a prophet, and accepted history defines him as the last man to rule as King before his kingdom was split into the Kingdoms of Israel and Judah. He appears in scripture often, and under several names, including Solomon, Jedidiah, and Salomo.

What is significant to his connection to Freemasonry is that he is credited with being the King who built the first Temple in Jerusalem. Why is that important?

King Solomon is said to have been a just and wise man - imbued with wisdom from God - and a great ruler because he put the needs of his people before his own. In the Holy Bible, God is said to have rewarded him with additional wisdom in part because rather than asking God for favors for himself, Solomon sought favors to help others. It is safe to say that he embraced the notions of service and duty.

Solomon aligned himself with King Hiram I, of Tyre, for many projects to public service, but perhaps the most famous and well known of these collaborative projects is the erection of a Temple in Jerusalem meant to house the relic The Ark of the Covenant. In partnership with Hiram I, the two Kings planned out the Temple design with the assistance of skilled craftsmen - in particular with one Hiram Abiff, an architect who was also a Freestone Mason and an artisan who worked with metals. Before I continue this, we have to pause to clarify something.

Not all practicing masons were the same type of mason. Among the dozens of specialties there were what are called "rough" masons - those who constructed basic structures, foundations, and walls, and then there were "Freestone" masons - men who took stone and rock and transformed it into what we can easily call pieces of art - columns, arches, that sort of thing, often combining stone and metals.

The special skill and art that was the foundation of Freestone Masonry was a guarded secret among practitioners of the craft - even among other masons! It was not uncommon to find in the temporary "town" set up next to a building site a private conclave - or lodge - just for the Freestone Masons, where they lived together, ate together, and socialized.

They are known to have used a system of codes to record their designs and techniques, signals and handshakes to identify themselves to a fellow practitioner, and they tended to live and work together as a community.

The design of Solomon's Temple was not a quick project - if you think contractors are slow today, you would be horrified at building times back in the day! With the assistance of Hiram Abiff, Solomon's Temple began to take form in theory, and with the assistance of Hiram I, the materials required for the construction of the Temple began to amass, joining those already gathered by King David, Solomon's father, who was the original visionary of the Temple.

Stone cutters quarried the blocks of stone that were its basic material, artisans from every building craft gathered to the site, and as the Temple was raised,the entire project was directed by the architect, Hiram Abiff, who was sent to Solomon by Hiram I as part of his contribution to the skilled labor and materials pool.

When the Temple was nearing completion, three masons sought out Hiram Abiff with it in mind to force him to reveal the secrets of the Temple to them. When he refused, they killed him and hid his body. King Solomon dispatched search parties when Hiram Abiff was missed, with the goal being to find him, and if necessary, recover the secret that he died to protect. Whether or not King Solomon was privy to that secret is a mater of speculation.

Freemasonry has elevated Hiram Abiff to the position of first Master Mason, and that is how Hiram Abiff connects to Freemasonry. King Hiram I sent Hiram Abiff to King Solomon to help him to construct the first Temple of Jerusalem, and that is how Hiram Abiff connects to both Kings. King Solomon is thought to have considered Hiram Abiff to be a genius, a master craftsman, and a friend, and placed him in a position of great authority and creativity in the construction of a Temple that was largely designed and built by stone masons.

In a nutshell, that is how King Solomon connects with Freemasonry.

I hope that I have fully addressed and answered your question, and if you have any other questions, feel invited to ask them.

Cheers!

Chris

Signature "



IPATE KWENYE LINK:


Ask a Freemason
----
Nimekuwa nikijaribu kila wakati kufikiri na kufanya tafiti kwa kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa ma msaada hadithi za kusimuliwa,.moja ya mambo ambayo huwa nafikiria ni kuhusu jamii inayosemekana ni jamii ya siri(Free mason) kama wengi wanavoiita.,,

Yafuatayo ni baadhi ya mambo ambayo nimegundua ambayo pia yaweza kuwa tofauti na wengi wanavofikiri.


Nitaaanza kwanza kwa kuifafanua maana ya Free mason na misingi yake,(narudia tena please hii ni kwa mujibu wangu na nnaandika kutoka kichwan sio machapisho yoyote).

Free Mason ama wajenzi huru,ni jamiii ama kikundi ambacho kina misingi toka zaman sana enzi za mfalme solomon.kwa jinsi nnavojua mimi kilianzaa kama umoja wa wajenzi waliokuwa maarufu sana wakati ule hasa katika mambo.ya ramani na usanifu majengo,kikundi hiki kilikuwa namisingi yake mashariki yakati.wakati kinaanza hawakuwa na nia yoyote mbaya kama inavyosemekana sasa.


Walianza kama umoja wa wajenzi na baadae kutanuaka hadi ulaya,asia,america kusini na kaskazin na pia africa kaskazin na ethiopia.malengo yao makubwa yalikuwa kusaidia nak udumisha umoja wao na kuendeleza chama chao.

UHUSIANO WAO NA UTAJIRI
Baada ya kupata wafuasi(wajenzi),kikundi hiki kilitanuka na kushawishi watu waliokuwa nau wezo wa kifedha kuwekeza na kujiunga nao ili kuweza kuendelza imoja wao.matajiri mbali mbali kutoka mabara hasa ya ulaya na asia pia marekani waliwasapoti na kuinua mfuko wao wa umoja wa wajenzi.

Walikuwa wakichukua tenda za ujenzi katika sehem mbalimbali duniani na hivo kuanzisha kampuni nyingi karibu kila bara na kanda kadhaa. Na kwa sababu hiyo walijitengenezea jina na heshima na kwa kuwa walikuwa wengi matajir waliweza kushawishi mambo mengi katika siasa,sayansi,na dini.waliweza kufanya mageuzi katika serikal nyingi na kuweka watu waliowataka wao.waliweza pia kufadhili tafiti mbalimbali za lisayansi na kuwasapoti watu maarufu na kuwaaminisha watu kuwa wao(watu),kuwa ni bora na wanauwezo mkubwa kuliko........


KUHUSISHWA KWAO NA SHETANI

Baada ya jamii hii kukua na kuota mizizi ikiwa kama jamii wa wasomi,wataalam,wabunifu na watu maarufu,ilianza kujipanua na kujiingiza katika serikal kubwa duniani.na kushawishi mambo ambayo yalikuwa na manufaaa kwao na hasa katika kuendeleza umoja na mfuko ama ustawi wao.,
Kutokana na kukua kwake wajenzi hawa,wakafikia hatua ya kuanzisha imani yao binafsi,ambapo moja ya misingi yao ni kuamini katika nafsi(sisi),(we the people),rejea hotuba za rais obama za kuapishwa.kwah iyo wakaanzisha utaratibu wao wa kuabudu ambapo wamekuwa wakitoa kafara na sadaka mbali mbali kutokana na imani yao.wamekuwa na ishara zao z kutambuana n.k

Kutokana na wao kuamini katika uwezo wao,wamekuwa wakihisiwa kuwa wanapinga uwepo wa anayeitwa mungu badala yake kwamba wanamuunga shetani mkono.madai haya binafsi nayapinga kwa sababu kuu zifuatazo.

1.aina ya kuabudu wanayotumia Free masoni ni ile iliyotumiwa na mnaowaita mababa wa imani,ibrahim(Abraham ),mussa na akina solomon na wengine wengi.ref.pia kabla ya kuja wakoloni africa tulikuwa tunatoa kafara hadi ya binadam kwa mizim(was that masonic worship??)

2.hakuna kitabu cha masonic rules kinachoeleza wazi kwamba hakuna mungu,ila rules zoa zinaonesha misimamo na personal charachters za mwanadam ambazo hazina uhusiano na kisichoonekana.

3.masoni hawatoi kafara ya kuua wanadam bali ni mbuz,kondoo ama wanyama ambao ni adim kuwaona.

4.chuki,uoga na udhaifu wa dini ndo chanzo cha kusingizia yote.

WANAFANYAJE KAZI
Msonic hufanya shughuli zao kwa umakini na kanuni zao ni za siri pia.wanavitabu na mafunzo ya misingi imara katika dini yao.ili kuhakikisha wanajieneza kwa kiasi kikubwa ,wao hudeal na watu maarufu ama utafiki ama bidhaa pendwa ambapo husapoti na kuendesha shughuli mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.

NINI LENGO LAO??
1. Free masonic,hawana lengo baya kama ambavo tumekuwa tukisimuliwa kila siku katika media.,lengo lao ni kutaka kujitawanya karibu kila pembe ya dunia na hivo kupata wafuasi ama waimini wa kutosha.,

2.pia kuitawala dunia(huu ni mpango endelevu ),na kwa imani na plan zao utatimia kabla ya mwaka 2040,lengo lao ni kuona watu wote wanakuwa kitu kimoja na kuunda umoja mahal pote katika uso wa dunia.

3.kutaka kumtoa mwanadam hofu ya misemo kama,SIKU YA HUKUMU,LIFE AFTER DEATH,KIAMA,HEAVEN,HELL n.k,vitu ambavyo kwa iman yao havipo na ni vya kufikirika.

FREE MASON NI DINI??

Kwa mtazamo wangu mimi masonic sio dini kam wengi wasemavyo,..,najua hujanielewa lakini em tufafanue nn maana ya dini,kwa nijuavyo mimi Dini ni aina ya maisha(/shughuli za kimaisha) ambayo mwanadam anaishi/anafanya kila siku.shughulizi hizo ni kama kuzalisha,kutambika,na tamaduni zote.kwa hiyo nikisema dini ni utamaduni nadhn bado ntakuwa sawa.

Lakini masonic sio dini,kwa hiyo pia sio utamaduni bali masonik ni IDEA,kijerumani wanaita IDEE,masonic ni idea tu ya kufanya jambo kwa misingi na utaratibu,na hata wanapokutana pamoja na karafa zao wanazoa ripoti za utendaji kaz na kupeana mikakati ya baaadae,( kwa hiyo sio dini bali ni idea tu.),


NB,niaminivyo mimi masonic ni kama Idea zingine ama theory tu.sifa nyingine tunazitoa sisi ambazo hata wao hawana wala hawajafikiria.,samahan kwa wale nilio wakwaza kwa uzi huu,ni mawazo yangu binafsi yaweza kuwa niko wrong pia.


,kwa maelezo zaidi,tafuta kitabi changa kinaitwa Free Ideas, cha 2013 july.
----
Soma hapa chini mkuu,ni moja ya majibu yangu kwa maswali kaa hayo ulouliza usipoelewa uliza wapi nifafanue...,

Hi!,wanajamvi. Swali hilo juu huwa ni moja ya maswali magumu ambayo wengi huwa wanabaki njia panda,hasa linapokuja swala la kufafanua,,IWEJE TUPATE KITU PASIPO KITU?(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi),yaan how can we get something from nothing?,

Watu wengi hasa wenzetu WANAOAMINI katika dini na MUNGU/MIUNGU huwa hawatuelewi kabisa kuhusu hili.
Nitajaribu leo kufafanua kwa kina(kadri nijuavyo mimi) kwa faida ya wengi,kuhusu,KUAPATA KITU PASIPO KITU.(sina uhakika kama ni tafsiri sahihi). Karibuni....

Katika nyanja ya Evolution,ina maanisha ni jinsi gani unaweza kupata Immense complexity and diversity and beuty and elegance of life,na zaidi ya hapo,inaonesha ni jinsi gani unaweza kupata Powerful Illusion of design ambayo uhai unaonesha,ambayo ninaweza sema sio kutoka katika HAKUNA(nothing),(not quiet from nothing)ila kutoka katika Extreme Simplicity.

Kabla ya Darwin kufanya utafiti uliopelekea kila kitu kuwa wazi,ilikuwa ni vigumu sana kuamini/kueleza jinsi gani unapata/kuna Vitu kama Ubongo,macho,miguu,mabawa ya ndege,n.k.Ilikuwa n ngumu sana kujua vipi unaweza kupata vitu vilivyo vizur machoni na vyenye mpangilio maalumu vinavoonekana kama vimepangwa(designed).

Darwin alitoa confidence na kuonesha kuwa kinachoonekana ni ugumu wa ufahamu wa kupata kitu pasipo kitu,alisove na waliofuata pia walikuw wakiendeleza kazi yake tangu kipindi kile.

@@@@But what is NOTHING,and how can we have something from Nothing...

Ni kwel kabisa,kwamba The Universal came from nothing due to what we know about the Universal up to this time,here is the proof of my above Arguments.

""Nothing is UNSTABLE,that empty space is UNSTABLE,Laws of mechanics combined with GRAVITY will tell you that,if you have Empty space there and you wait for the long enough,particles will be CREATED,and if you wait more enough,empty space will allways produce a UNIVERSAL full og MATTERS,
So NOTHING is unstable (sijui kama naeleweka hapa).

The case here is NOTHING (Empty space),creating something (Universal /Earth).
But ist the empty space nnothing(wengi mtasema no ),Lakini ngoja nikuoneshe pia kwamba EMPTY SPACE nayo inaweza ikawa product ya nothing,na hapo nadhan hakuta kuwa na swali tena.

Hapa nakuja katika laws za kifizikia,ama NATURAL FUNDAMENTAL LAWZ,
Ambzo zinaelezea kiundani jinsi ambavo kanuni na misingi ya kuwepo hewa tupu,space na mazingira ya utokeaji wa kila kitu kinachohitajika kufanyika kwa kitu husika(sina haja ya kuchima sna ntapoteza maana ya uzi,waweza uliza katika mjadala na nitajibu.),@@@@


Nothing niimanishayo katika upande wa Evolution sio,Completely nothing,lakini ni kutoka katika resonable complicated beginning ambayo ilikuwa ni first self replication molecule(maana completely nothing imesha tengenza UNIVERSAL na sasa ni evolution .).

Lakini tukumbuke kwamba Natural selection haiwezi kwenda kama hakuna genetics.,na hilo ndo tatizo ambalo halijasoviwa.Namaanisha hadi sasa hakuna anayejua Genetics zilivoanza.Lakini tunajua kwamba Kanuni za chemistry lazima zianzishe self replicating molecules,Kisha EVOLUTION inatake place.

Na kuanzia hapo sasa,aina zote za diversity na viumbe kama mimi na wewe ndo tukawa into existence,lakini haya yote lazima yaanze na GENETICS,hapo mapungufu ya chemistry yanaonekana,lakini kabla hatujailaumu chemistry kwa kukosa ufumbuzi wa genetics inabidi tuanze na physics !

Uhai katika dunia ulianza miaka 3.5bilion ilopita,katika kipindi cha Cambrian explosion.
Katika mika 4.5bilioni ilopita, ambayo ni kadirio la umri wa dunia, hakukua na bacteria.So katika miaka 3.5bilion ilopita uhai ukaanza taratibu katika dunia kutokana na Nitrogen ,Helium Hydrogen pamoja na hewa nyingine ndogo ambazo zilitokea katika spaces/sky baada ya Explosion.

Baadhi ya watu husema,We don't understand the origin of life on Earth ,so GO,D must done it!(kamba hatuelewi mwanzo wa uhai katika Dunia,kwa hiyo lazima mungu ndo alihusika).SI KWEL,.....


Ninachojua mimi,mapungufu yaliyopo katika Sayansi hayamuumbi Mungu,wala hayasababishi Awepo .,Sayansi inakuwa kila kukicha.Kama ni hivo basi atakuwa ni MUNGU wa mapungufu,(GOD OF GAPS),ambaye anaonekana tu katika few remaining Gaps in our understandings.Nikukumbushe pia kabla ya Darwin na wengine,uhai na uwepo wetu,Miili na jinsi ifanyavyo kaz ,ilikuwa inaonekana kama miracles.Hakuna aliyeweza kusema nini ni nn na kila kitu ilikuw akaz ya mungu.
Amini nakuambia hata mwaka 300AD,watu walikuwa wakiamini vitu kama Tsunami,Floods,Volcanic eruptions,Earthquake n.k ilikuwa kaz ya MUNGU,kama adhabu.Lakini leo vinaelezeka na kutabiriwa na mamlaka za hali ya Hewa na onyo linatolewa . Nachotaka kusema hapa ni kamba sayansi ,,inakuwa,, na itafumbua kila kitu.
,Kwangu mimi huwa naona kama n dalili za udhaifu ninaposikia kauli mfano,,""I DONT UNDERSTAND IT,THEREFORE GOD DID IT"" this is the kind of lazy argument.It doesn't help anything,but it leaves opens, since it doesn't explain even where God came from.

Kitu kikubwa alichofanya Darwin ni kuonesha ama kujuza ni jinsi gani unaweza kupata God like things/complex things (like humani Brain) kutoka katika omni nothing.

Ngoja niongelee kidogo CONCEPT YA EVOLUTION,maana najua ntaulizwa mbona manyani hayabadiliki siku hiz..

Watu wengi wanadhani kwamba EVOLUTION,inaonglea/inahusu manyani/masokwe kumzaa ama kugeuka binadam,!,ni hiv,Miaka kama milioni 25,ilopita Human being(watu) walikuwa""Common Ancestor "",NA MONKEYS ,CHIMPANZEE ,GORILLAZ n.k.Hili ndo jambo gumu watu kuelewa,Kwa kiswahili ni kwamba ,HATUKUWA MANYANI WALA MASOKWE BALI TULISHARE BAADHI YA TABIA ,VITU,UMBO,MWONEKANO n.k.,huwa napata shida sana kuelezea jambo hili.So 25,yearz ago our ancestors might have look like monkey,gorillaz,or chimpanzees.Narudia,tena neno MIGHT HAVE LOOK LIKE,NOT THEY WERE MONKEYS !,hata hivo uchunguz unaonesha tuko na ufanano wa karibu zaidi na CHIMPANZEE kuliko chimpanzee walivo na ufanano na gorillaz ama monkeys.

Je,evolution inaendelea?,hili swali ningelipata bila shaka,jibu ni NDIO,...

Inaendelea lakini its too slow for us to see,kumbuka tunaishi kwa miongo michache na pia evolution its too slow to be noted easy .We can see it in Bacteria only too visibly ,because thats y,ant-biological resistance is such a big problem and more immensely important medical problem.Take this ,if the doctors at the time of invention of penicillin which Darwin wishes about them,they would been able to predict that resistance to ant-biotic.refers the book known as,, THE SCIENCE OF DARWINIAN,, MEDICINE .another vivid example of the continuation of Evolution is just look ok history,try to observe the physical appearance of the people live in 14c,15c or even 7century,you may not a lot of differences comparing to us.

Presence of INTELLIGENT DESIGNER ?,

This logic is too low and poor!,
I an prove that there is NO Intelligent designer
1,There is no EVIDENCES ON THAT ARGUMENT
2.BY HIS RESPONSIBILITY.

This person God of tje JUDAISM ,CHRISTIANS,ISLAMS has nothing to do with the God who cares about us.Na katika uwanja wa Sayansi ,tukisema kama mapungufu yaliyopo yahusiane na mungu,hatuta muhusisha mungu nafsi!,,The same God created lawz of physics ?. Na kama katika Sayansi kukihitajika kuwa na Mungu,basi atakuwa DIASTIC GOD,And he is very very different from the Gods of religion ,na huyu ndiye aina ya kitu tunatumia muda kumuelezea.

Intelligence inakuja baada ya muda mwingi baada ya EVOLUTION,starting from nothing as we know and then chemistry takes over,Biology,.

Kwa hiyo katika dunia kunaweza kuwa na Gods like humani being.Nakubali kwamba kunaweza kuwa na life forms than us,ambao tukikutana tutabidi tuwapigie magoti LAKINI WATABAKI KUWA ZAO LA MUENDELEZO(the product of the process ),of evolution devlpmt.they will not be GOD,S In the sense that having created the laws of physics,or tje universal or life!.

Let me end up here,karibun...
----
Kutokana na vyanzo mbali mbali vya habari inasemekana kuwa Semiramis alikuwa mama yake Nimrod na baadae walikuja kuishi kama mke na mume

Nimrod alikuwa ni mfalme wa Babeli na ufalme wake ulikuwa na utamnaduni tofauti na falme zingine,yeye ndie aliyeamua kujenga mnara mrefu sana ambao ulikuwa na malengo mawili

1;Kuzuia watu wa ufalme wake kufa na mafuriko au gharika kama itakuja kutokea tena
2;Kwenda kumfuata Mungu na kumhoji sababu ya kuleta gharika na kuuwa watu

Nimrodi alianzisha imani ya kuabudu sayari na nyota,umani hiyo ilikuwa sana wakati huo na ikafikia hadi kuwa kama imani ya ulimwengu kwa wakati huo

Babu yake Nimrod ambae ni mtoto wa Nuhu aliyeitwa Shem alikuja kumkamata na kumuua Nimrod na kuukatakata mwili wake vipande vipande na kuvisambaza maeneo yote ambayo kulikuwa na imani aliyoianzisha Nimrod na Shem aliagiza kuwa kama kutakuwa na mtu mwingine aliyekuwa anaifuata imani hiyo nae atafanywa kama Nimrod

Muda ulipita na Shem alikuja kufariki Dunia,baada ya kufariki Dunia mke wa Nimrod au mama yake kwa upande mwingine alikusanya mabaki ya mwili wa mumewe au mwanae ili akayazike upya,alifanikiwa kupata mwili wake wote lakini alishindwa kupata mabaki ya kiungo cha uzazi cha mumewe au mwanae

Baada ya kukikosa aliwaambia wafuasi wa imani hiyo kuwa Nimrod alkuwa amekwenda kwenye jua na ndiko alikokuwa anaishi na amekwenda na kiungo chake cha uzazi na alikuwa ametoa maagizo kuwa kuanzia wakati huo hicho kiungo kitakuwa ni alama ya imani yao,haikufahamika hasa mawazo hayo aliyatoa wapi lakini ndivyo alivyowaambia wafuasi wa Nimrod na kuanzia wakati huo kiungo hicho kikawa ni alama kubwa sana ya imani hiyo

Baadae walikuja kui design alama hiyo na kuwa na muonekano tofauti ili unsiweze kuonekana kiurahisi na kugunduliwa na watu

Leo kiungo au alama hiyo inaitwa Obelisk,unaweza kuona picha yake hapa chini

WashingtonDC_Obelisk.jpg


Hiyo ni obelisk iliyoko Washington

Baadae mabaki ya mwili wa Nimrod ulizikwa kwa taratibu zote za kiimani na baada ya muda kupita uliota mti kwenye kaburi la Nimrod na mama yake au mkewe alisema kuwa hiyo ilikuwa ni ishara ya Nimrod kuzaliwa upya na mama yake au mkewe aliagiza kuanzia siku hiyo mti huo utakuwa ni alama ya kuzaliwa upya Nimrod

Lakini pia mkewe aliagiza kuwa Nimrod amekuwa mungu na kuanzia wakati huo alitakiwa aabudiwe na ndivyo ilivyokuwa na alipewa jina na Baal,hivyo mti huo ambao umekuja kujulikana kama "christmass tree" leo hii ndio inasemekana uliota kwenye kaburi la Nimrod na ni ishara ya kuzaliwa upya

Decorating-Christmas-Trees-1.jpg


Mti wa Christmass

Semiramis alipotoa hayo maagizo alipotea kwa muda na kurudi akiwa mjamzito,alipoulizwa alikokuwa alisema kuwa alikuwa amemfuata mwanae au mumewe na ujauzito aliokuwa nao alikuwa amepewa na mumewe na alikuwa anakuja kumzaa mtoto ambae atakuwa mwokozi wa kizazi kile kutoka kwa watu waliokuwa wanawanyanyasa lakini zaidi atakuja kuwaokoa na wanyama wakali waliokuwa wanatishia uhai wa jamii ile ya Babeli

Kweli baada ya muda Semiramis alijifungua mtoto aliyepewa jina Tamuz na alipokua alikuja kuwa na tabia kama ya "baba" yake kwa kuwa muwindaji bora

Mtoto huyu alikuja kupata ajali mbaya iliyokuja kuyaondoa maisha yake pale alipokuja kujeruhiwa vibaya na nguruwe pori na kusababishiwa majeraha ambayo hakupona na alikuja kufariki,ile siku ambayo aliuwawa na nguruwe pori iliamriwa kutokuliwa nyama na ilisemwa kuwa nyama ya nguruwe pori na nguruwe yoyote yule kuwa haifai baada ya mnyama huyo kumuua aliyetarajiwa kuja kuwa kiongozi wa watu wa Babeli

Muda ulipita na Semiramis alikuja kuwaambia kuwa mwanae hakuwa amekufa bali alikuwa amemfuata baba yake huko alikokuwa na akawaambia wafuasi wake kuwa tangu siku hiyo atahesabika kuwa ni mtoto wa mungu wao na atakuwa akiabudiwa,aliagiza ia kuwa alama itakayokuwa inamuwakilisha mungu wao ambao ni Nimrod itakuwa ni jua

Baadae aliwaagiza kuwa alikuwa ameagizwa kumfuata mumewe siku sio nyingi na aliagiza kuwa atakapomfuata alama yake itakuwa ni mwezi,ulipita muda na alikuja kufariki na kuanzia hapo alikuwa akiabudiwa

Na hapo dipo ilipopatikana imani ya kopagani yenye utatu wa Nimrod,Semiramis na Tamuz,utatu huu ulikuwa una majina tofauti tofauti kila imani hiyo ilipokuwa inakwenda na kuota mizizi,mfano Misri walikuwa wanafahamika kama Isis,Horus na Osiris

Hiyo ndio historia fupi ya Nimrod na imani yake pamoja na Babeli

Historia hiyo ndio inaaminika kuwa ya kweli japokuwa kumekuwepo na historia zingine tfauti na hiyo,ili uweze kupata ukweli ni bora ukatafiti mwenyewe ili uujue ukweli

CC: juve2002 Mkuu wa chuo Ntuzu Sangarara charminglady Kaunga Ablessed Kongosho King'ast Mtambuzi Ishmael MTAZAMO RGforever .......
 
Nitaongezea machache
Kwanini wakajiita freemason ? Ni kwasabu wajenzi wote yasemekana walilaaniwa na Bwans Yesu hivyo wakawa ni watu wenye nuksi na mikosi na maskini
Kwahiyo wakawa wanafanya matambiko kabla ya kuanza ujenzi wowote ule ,matambiko haya ndio yalikuja kukua na kugeuka kama dini..wanajiita wajenzi huru yaani uhuru kutoka katika laana ya Kristo Yesu
Kwanini wanahusishwa na shetani ?matambiko yaoya kutaka kujinasua na laana ya wajenzi ndio ilisababisha wahusishwe na ibada za giza
Lakini ili wajitofautishe na wajenzi wengine (masons) walinia kujiwekea viwango vya juu mno vya ubora kwa kila kazi walizofanya .hii ilisababisha wapate tenda nyingi za ujenzi wa majumba ya matajiri
 
Kwa lugha nyepesi na fupi nitakueleza tu kuwa pamoja na kuandika maelezo yote hayo hakuna unalolijua...

Wewe pia ni mmoja wao na unachokifanya hapa ni kueneza imani yenu kwa mgongo wa kujifanya mawazo yote umeyatoa kichwani mwako...

Dunia au ulimwengu una falme kuu mbili nazo ni Ufalme wa Nuru ulio chini ya Mungu Muumba vyote na Ufalme wa Giza ulio chini ya Ibilisi baba wa uovu.

Ndani ya falme hizi kuna tawala mbalimbali na huu utawala wa freemason unaangukia kwenye Ufalme wa Ibilisi.

Kitabu cha Amri za Mungu kwa wanadamu katika torati ya Nabii Musa iliweka bayana kwa wanadamu kuwa, "Usiwe na miungu mingine isipokuwa MIMI (Mungu Muumba)".

Taratibu za ibada za freemasonry zinakinzana na amri hiyo kwa asilimia zote 100.
 
Aisee hawa watu ni hatari sana. Walimrubuni binti yangu anasoma udsm. Wakampeleka kwenye sinagogi la shetani na kumwapisha kwa jina la mpinga kristo 666, wakachukua alama za vidole, wakamshurutisha kukamilisha code 666 kwa fedha 666,000 ndani ya muda waliompa.

Bint akataka kujitoa wakaanza kumpigia simu na kumtumia ujumbe wa vitisho. Mara kadhaa alipigiwa simu kutoka namba 666, alipopokea mpigaji alisikika kama upepo mkali au mawimbi, alipokata mpigaji alituma meseji yenye lugha isiyoeleweka.

Baadae walimtuma mjumbe wao kumweleza ukiacha imani hii itakughalimu maisha yake au ndugu zake. Kuna mambo mengi mabaya ya FM ambayo nikiyaandika hapa nahitaji masaa 4 ....
 
Free idea umesema umeandika kwa "kutumia akili binafsi bila machapisho wala vitabu rejeaa..."

Huo ni uongo mkubwa sana. Ww ulikuwepo kipindi cha kina solomon na kipindi chote hicho ili uweze kuandika ulicho andika kutoka "kichwani kwako" mwenyewe?
Ni lazima ulisoma na kupitia sources flani flani hadi kuweza kuandika hio post hapo juu. It can never come from your own mind.

Pili mtoa mada knowledge yako ya freemason ni bora kuliko wengi wa watu lakini bado uko kama 25% right which is good considering what others think about this fraternity.
 
NINI LENGO LAO??
1. Free masonic,hawana lengo
baya kama ambavo tumekuwa
tukisimuliwa kila siku katika
media.,lengo lao ni kutaka
kujitawanya karibu kila pembe ya dunia na hivo
kupata wafuasi ama waimini
wa kutosha.,

2.pia kuitawala dunia(huu ni
mpango endelevu ),na kwa
imani na plan zao utatimia
kabla ya mwaka 2040,lengo
lao ni kuona watu wote
wanakuwa kitu kimoja na kuunda umoja mahal pote
katika uso wa dunia.

3.kutaka kumtoa mwanadam
hofu ya misemo kama,SIKU YA
HUKUMU,LIFE AFTER
DEATH,KIAMA,HEAVEN,HELL
n.k,vitu ambavyo kwa iman
yao havipo na ni vya kufikirika.
Naona Mkuu umepania kuhakikisha lengo la freemason linafikiwa!
Haya bhana!
 
Aisee hawa watu ni hatari sana. Walimrubuni binti yangu anasoma udsm. Wakampeleka kwenye sinagogi la shetani na kumwapisha kwa jina la mpinga kristo 666, wakachukua alama za vidole, wakamshurutisha kukamilisha code 666 kwa fedha 666,000 ndani ya muda waliompa. Bint akataka kujitoa wakaanza kumpigia simu na kumtumia ujumbe wa vitisho. Mara kadhaa alipigiwa simu kutoka namba 666, alipopokea mpigaji alisikika kama upepo mkali au mawimbi, alipokata mpigaji alituma meseji yenye lugha isiyoeleweka. Baadae walimtuma mjumbe wao kumweleza ukiacha imani hii itakughalimu maisha yake au ndugu zake. Kuna mambo mengi mabaya ya FM ambayo nikiyaandika hapa nahitaji masaa 4 ....

Ni mpu.mb.avu tuu ndiye atakaye kubali kuamini huu uongo wako........Inaelekea wewe ni mchungaji kanjanja unayetumia haka kastori chako cha kutunga kuvuna sadaka...
 
Aisee hawa watu ni hatari sana. Walimrubuni binti yangu anasoma udsm. Wakampeleka kwenye sinagogi la shetani na kumwapisha kwa jina la mpinga kristo 666, wakachukua alama za vidole, wakamshurutisha kukamilisha code 666 kwa fedha 666,000 ndani ya muda waliompa. Bint akataka kujitoa wakaanza kumpigia simu na kumtumia ujumbe wa vitisho. Mara kadhaa alipigiwa simu kutoka namba 666, alipopokea mpigaji alisikika kama upepo mkali au mawimbi, alipokata mpigaji alituma meseji yenye lugha isiyoeleweka. Baadae walimtuma mjumbe wao kumweleza ukiacha imani hii itakughalimu maisha yake au ndugu zake. Kuna mambo mengi mabaya ya FM ambayo nikiyaandika hapa nahitaji masaa 4 ....
Andika andika andika mdauuuuuu:wink2:
 
1.aina ya kuabudu
wanayotumia Free masoni ni
ile iliyotumiwa na mnaowaita
mababa wa imani,ibrahim
(Abraham ),mussa na akina
solomon na wengine wengi.ref.pia kabla ya kuja
wakoloni africa tulikuwa
tunatoa kafara hadi ya
binadam kwa mizim(was that
masonic worship??)

2.hakuna kitabu cha masonic
rules kinachoeleza wazi
kwamba hakuna mungu,ila
rules zoa zinaonesha
misimamo na personal
charachters za mwanadam ambazo hazina uhusiano na
kisichoonekana.

3.masoni hawatoi kafara ya
kuua wanadam bali ni
mbuz,kondoo ama wanyama
ambao ni adim kuwaona.

4.chuki,uoga na udhaifu wa
dini ndo chanzo cha kusingizia
yote.

WANAFANYAJE KAZI
Msonic hufanya shughuli zao
kwa umakini na kanuni zao ni
za siri pia.wanavitabu na
mafunzo ya misingi imara
katika dini yao.ili kuhakikisha wanajieneza kwa kiasi
kikubwa ,wao hudeal na watu
maarufu ama utafiki ama
bidhaa pendwa ambapo
husapoti na kuendesha
shughuli mbalimbali kwa ufanisi mkubwa.
Yote haya umetumia fikra zako tu?
You are so geneous! Bravo mkuu!
 
Back
Top Bottom