Freemanson, illuminati

Mla Mbivu

JF-Expert Member
Nov 15, 2010
224
48
Wakuu mnalionaje hili, magazeti kadhaa nchini hususan gazeti la Tazama Tanzania, yamekuwa yakiandika habari za freemanson, illuminati karibuni kila toleo, tena ukurasa wa mbele sehemu ya chini, binafsi sijaweza kuelewa lengo lao ni nini zaidi ya kuhisi kuwa wanatumiwa na hao members wa hiyo society inayopingana na Mungu na kumwabudu shetani ili kuzidi kuifanya iwe maarufu.

Ifahamike hawa ndio wanaochochea mambo mbali mbali likiwemo suala la ndoa za jinsia moja na kuhakikisha kwamba watu wanapoteza kabisa hofu ya kwamba yupo Mungu.
 
Kuna watu wanakurupuka,Hakuna aneijuwa Freemanson
Hivi vyombo vya habari vinavyoeneza uzushi kila kukicha Freemanson wamefanya hiki
Mabomu yakiripuka, Mipango na mikakati ya Freemanson, Hizo ni mbinu za ujasiriamali tu kwamba leo nilianzisheje ili nitoke kimaisha. Freemanson hakuna mwenye uwezo wa kutowa siri zake hata kakobe hawezi. Maana wale ni binadamu wenye mtandao mkari, Kila member wa Freemanson analindwa na anajiheshimu na wala hawauwi watu kama watoboa tonge wanavyo eneza:usa2:
 
Kuna watu wanakurupuka,Hakuna aneijuwa Freemanson
Hivi vyombo vya habari vinavyoeneza uzushi kila kukicha Freemanson wamefanya hiki
Mabomu yakiripuka, Mipango na mikakati ya Freemanson, Hizo ni mbinu za ujasiriamali tu kwamba leo nilianzisheje ili nitoke kimaisha. Freemanson hakuna mwenye uwezo wa kutowa siri zake hata kakobe hawezi. Maana wale ni binadamu wenye mtandao mkari, Kila member wa Freemanson analindwa na anajiheshimu na wala hawauwi watu kama watoboa tonge wanavyo eneza:usa2:

Majibu yako ni kama vile ww ndo unaijua vizuri zaidi, r u one fo them?
 
ni kwamba, binadamu wanapenda story za uongo, hawapendi ukweli....wanapenda story ambazo ni za kufikirika ambazo zinaelezea vitu ambavyo either sio vya kweli, au sio vya kawaida.

Hamna kitu kama Freemasons wala Illuminati.....atleast sio katika jinsi inavyoelezewa na hawa wapenda conspiracy.
 
ni kwamba, binadamu wanapenda story za uongo, hawapendi ukweli....wanapenda story ambazo ni za kufikirika ambazo zinaelezea vitu ambavyo either sio vya kweli, au sio vya kawaida.

Hamna kitu kama Freemasons wala Illuminati.....atleast sio katika jinsi inavyoelezewa na hawa wapenda conspiracy.[

anagalau umeeleza kitu ndugu yangu sijui kitu.........
 
Msomi mzuri anapolisikia jambo fulani hutakiwi kulichukulia easy tu, wewe uliyesema hiyo dini ya shetani haipo sifa hiyo ya kufuatilia umeikosa. sakula kwenye mitandao ya kimataifa kisha ujue ulichoambiwa ni nini. Moja ya sera za watu wa shetani ni kuhakikisha mwanamke anakuwa ni tool ya kuharibika kwa jamii, how? kwa kumteka kimawazo kuwa anapewa hadhi na kujiona kuwa ana haki ya kufanya chochote kama kutembea uchi, kudhalilishwa live kwa kupitia mashindano mbalimbali kama vile umiss n.k
 
kwel kabisa MR MAK hv v2 vpo yan vpo waz. Asilimia 60 yote inaamin v2 hv vpo na wanatoa ushahd na kuonyesha alafu unakujakusema hakuna hii itakuwa ni sawa na kusema UCHAW UPO ILA USIAMIN KAMA UPO. Lakn unajua kuwa upo wa2 wanaelewa nini kinachoendelea kaka hv v2 vpo wa2 na vnajionyesha waz na makanisa na misikit wanasema waz kama vipo. Iweje ukubal kuwa yupo (NGUVA) na huja wah kumuona toka uzaliwe na unaishia kuona picha yake 2uu. So freemanson ipo m2 wangu ila jiangalie iman yako ipo wap. Mana dunia sasa ni kitendawil c makanisa c misikit
 
Hakuna ukweli kuhusu historia kamili kuhusu freemasons na mtoto wao Illuminati, hebu jaribu kusoma simulizi mbalimbali zinoandika habari kuhusu hizi secrety societies utagundua kila mwandishi anaandika kwa kadri ya upeo wake huyu atasema hiki yule atasema kile yani ilimradi kuleta hofu kwa jamii, nadhani wengi wamesikia kuhusu New World Order na inavyohisishwa na haya makundi na ukijaribu kuangalia major aims za New World Order si mbaya kwani zote zinabase kwenye maisha ya usawa na kuondoa umasikini kwa kadri itakavyowezekana, sas la kushangaza nasikia na hili nalo ni mpango wa freemason na Illuminati.
Sio hayo tu, maendeleo yoyote makubwa na ambayo "small minded people" wanaona hayawezekani hususani ya sayansi na teknolojia lazima watahusisha na haya makundi yani kana kwamba wanasanyi si lolote bali ni miongoni mwao!
 
Kuna watu wanakurupuka,Hakuna aneijuwa Freemanson
Hivi vyombo vya habari vinavyoeneza uzushi kila kukicha Freemanson wamefanya hiki
Mabomu yakiripuka, Mipango na mikakati ya Freemanson, Hizo ni mbinu za ujasiriamali tu kwamba leo nilianzisheje ili nitoke kimaisha. Freemanson hakuna mwenye uwezo wa kutowa siri zake hata kakobe hawezi. Maana wale ni binadamu wenye mtandao mkari, Kila member wa Freemanson analindwa na anajiheshimu na wala hawauwi watu kama watoboa tonge wanavyo eneza:usa2:

Wewe uliye andika thread hii ni mbumbu kabisa.Kama huwajui Illuminati/Freemason ni wewe,sisi tunawajua inside out.
 
Nina wasiwasi na mtoa mada, anadai kuwa Tanzania Daima wanatumiwa na hayo mashirika kujitangaza, sidhani kama amewahi kusoma zile makala kwa undani wake(ushahidi ni pale alipodai kuwa makala huwa zipo ukurasa wa mbele). Mwandishi wa Makala zile, kama sikosei ni mtu wa dini, lengo lake ni kuwapa watu ukweli ili wajue wako katika dunia gani. Na kwa nyie mnaokana uwepo wa Freemason, ni sawa na kusema hakuna Mungu, inaeleweka kuwa mpinzani wa Mungu ni shetani, nae hufanya kazi zake kwa kutumia mawakala wake ambao ni watajwa hapo juu jumlisha wengine wengi tu.
 
Nina wasiwasi na mtoa mada, anadai kuwa Tanzania Daima wanatumiwa na hayo mashirika kujitangaza, sidhani kama amewahi kusoma zile makala kwa undani wake(ushahidi ni pale alipodai kuwa makala huwa zipo ukurasa wa mbele). Mwandishi wa Makala zile, kama sikosei ni mtu wa dini, lengo lake ni kuwapa watu ukweli ili wajue wako katika dunia gani. Na kwa nyie mnaokana uwepo wa Freemason, ni sawa na kusema hakuna Mungu, inaeleweka kuwa mpinzani wa Mungu ni shetani, nae hufanya kazi zake kwa kutumia mawakala wake ambao ni watajwa hapo juu jumlisha wengine wengi tu.

sahihisho mkuu,..

ni gazeti la Tazama na linamilikiwa na RA pamoja na wajinga wenzie
 
Kuna watu wanakurupuka,Hakuna aneijuwa Freemanson
Hivi vyombo vya habari vinavyoeneza uzushi kila kukicha Freemanson wamefanya hiki
Mabomu yakiripuka, Mipango na mikakati ya Freemanson, Hizo ni mbinu za ujasiriamali tu kwamba leo nilianzisheje ili nitoke kimaisha. Freemanson hakuna mwenye uwezo wa kutowa siri zake hata kakobe hawezi. Maana wale ni binadamu wenye mtandao mkari, Kila member wa Freemanson analindwa na anajiheshimu na wala hawauwi watu kama watoboa tonge wanavyo eneza:usa2:

Bundala,

Freemason is a fraternal organisation with the aim of promoting brotherhood . Illuminati is also a secret society that copied much of formats from Freemasons . Illuminati ilianzishwa na Weishaupt ambae alikuwa analelewa na Majesuits . ( Soma the History for the New World Order - tafuta kwenye google ) . Alifuata mlengo wa catholicism hadi hapo baadae alipoamua kuachana na ukatoliki na kuamua kuendeleza jamii yake ya siri ambayo ni Iluminati . Hawa wajamaa kwa sababu walilenga kushika uchumi wa dunia walitengeneza vita vya kwanza vya dunia na vya pili ( wanaconsider war as the good business ) wakiwatumia RothChilds wayahudi waliokulia ujerumani na ambao hadi sasa ndio wanashikilia mifumo karibia yote ya kifedha duniani . Na katika kutekeleza mkakati wa New World Order ambayo ni mfumo shetani ambao ni full ant Christ ndo tunakutana na mambo kama utoaji mimba,ndoa za jinsia moja,wachungaji wanawake n.k Hivyo elimu juu ya hizi jamii za siri ni muhimu ili tuweze kujua mbinu chafu za shetani kutawala dunia.
 
Wakuu mnalionaje hili, magazeti kadhaa nchini hususan gazeti la Tazama Tanzania, yamekuwa yakiandika habari za freemanson, illuminati karibuni kila toleo, tena ukurasa wa mbele sehemu ya chini, binafsi sijaweza kuelewa lengo lao ni nini zaidi ya kuhisi kuwa wanatumiwa na hao members wa hiyo society inayopingana na Mungu na kumwabudu shetani ili kuzidi kuifanya iwe maarufu.

Ifahamike hawa ndio wanaochochea mambo mbali mbali likiwemo suala la ndoa za jinsia moja na kuhakikisha kwamba watu wanapoteza kabisa hofu ya kwamba yupo Mungu.

Kadri siku zinavoenda nazidi kusikitika ni kwa jinsi gani IQ ya Tanzania ilivyo chini. Siyo mara yangu ya kwanza kusikia Mtanzania akisema Freemasons eti ni waabudu mashetani. Nasikitika hata Mh. Mrema alishanukuliwa akisema hivyo hivyo.

Jamani, Freemasons ni Wakristo. Wanatokana na Order ya Knights Templar wa Cathlic enzi hizo ambapo papa alikuwa anaenda vitani na kupigana kama mfalme yeyote. Hawa Knights Templar walikuwa ni Crusaders walioenda Mashariki ya kati (Jerusalem) kupambana na watawala wa ki-Islam na kuwa-convert waislam. Walipamnbana na yule Jemedari mahiri wa ki-Islma anaitwa Saladin.

Katika kupambana kwao, hawa Templars walijilimbikizia mali (spoils of war) nyingi sana. Walipata utajiri ambao ukaja kusemekana ulizidi hata wa Papa mwenyewe. Vile vile wakawa maarufu sana kama washindi wa vita. Papa hakufurahia hiyo hali na ndipo akaanza kampeni kabambe ya kuwaangamiza. Aliwakamata na kuwachinja wengi wao. Lakini wengine walikimbia mafichoni (hasa Scotland) na kujiendeleza kwa jina la Freemasons. Inasemekana pia kuwa walifanikiwa kutorosha sehemu ya hazina yao - na mpaka leo watu wanasema bado ipo.

Education does not end after school. Read much. Knowledge separates us from animals.
 
Kuna watu wanakurupuka,Hakuna aneijuwa Freemanson
Hivi vyombo vya habari vinavyoeneza uzushi kila kukicha Freemanson wamefanya hiki
Mabomu yakiripuka, Mipango na mikakati ya Freemanson, Hizo ni mbinu za ujasiriamali tu kwamba leo nilianzisheje ili nitoke kimaisha. Freemanson hakuna mwenye uwezo wa kutowa siri zake hata kakobe hawezi. Maana wale ni binadamu wenye mtandao mkari, Kila member wa Freemanson analindwa na anajiheshimu na wala hawauwi watu kama watoboa tonge wanavyo eneza:usa2:

na ww ni mmoja wao nini???????? mbona unaongea kama wenyewe vile.
 
Jaribu kufanya utafiti wa kina ndugu..unaweza kukuta hata baadhi ya vitu ulivyonavyo vina-promote Freemason! its a very big network mkuu
 
Back
Top Bottom