Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Walipandikiza kwa NCCR wakafanikiwa kuisambaratisha, wakaja TLP wakafanikiwa kuusambaratisha, wamepandikiza CUF, kwa CHADEMA wamekwama, sasa wana hasira
naona Mbowe hataki kukabiliana na tatizo halisi.....Walipandikiza kwa NCCR wakafanikiwa kuisambaratisha, wakaja TLP wakafanikiwa kuusambaratisha, wamepandikiza CUF, kwa CHADEMA wamekwama, sasa wana hasira
View attachment 841004
Kwa hiyo anamaanisha cuf nayo ni pandikizi la ccm kwa chademaWalipandikiza kwa NCCR wakafanikiwa kuisambaratisha, wakaja TLP wakafanikiwa kuusambaratisha, wamepandikiza CUF, kwa CHADEMA wamekwama, sasa wana hasira
View attachment 841004
Alijipandikiza Kwa kuvunja katiba ipi?Hivyo mwalimu alipandikizwa na nani kuiongoza TANU na ccm kwa miaka zaidi ya ishirini?
HahahahaAaa.. Wapi!!! chama ulikiuza mwenyewe kwa mzee Lowassa kwa 7B taslimu na fedha umeenda kuzichimbia Dubai.