Mkubwa ndevu
JF-Expert Member
- Feb 17, 2011
- 1,045
- 359
Wale wabunge 28 vipi waliopita bila kupingwa pia hawakupiga kuraHakuna wizi wa kura Chadema hamkwenda kupiga kura mlibaki mqjumbani na ndiyo 14 million Sasa mnalalamika nini
Wale wabunge 28 vipi waliopita bila kupingwa pia hawakupiga kuraHakuna wizi wa kura Chadema hamkwenda kupiga kura mlibaki mqjumbani na ndiyo 14 million Sasa mnalalamika nini
Solution iko njiani one day yesYote heri tu ila wawe wamedhamiria kweli na si mihemko ya muda tu.
Kama wanasusia basi hata hiyo 2025 wajue hawatashiriki uchaguzi kwa maana nina uhakika mazingira yatakuwa ni hayahaya tu.
Kwa lugha nyepesi ni heri wakaachana tu na siasa kwa kumwandikia Msajili akawafutia registration.
Leo muna point ya wanawake wakati muna iba kura kimya mataga weweNadhani Wana kiubinafsi kutaka kunyanyasa wanawake tu Hawa, pia awamu hii wanawake wa CDM wamejitoa kwa chama na hawajasaliti wananchi ka wanaume, na hata CDM ilipokosa wagombea wanaume kwa uoga wanawake waligombea kwa kujitoa bila kujali siasa za awamu hii za mkono Dola sasa kuzuia viti maalumu inaonyesha ni chama kisichojali wanawake
Ngoja ateuliwe Joyce Mukya ndo ujue mnavyotumia uzinzi kuteua wabunge viti maalum huko chadema. Jitu Lina mke halali Tena Dr Lilian halafu linagombania hawara Joyce na aliyekuwa mbunge mwenzake AeshAcha ujinga, kama unaona ni sahihi wao kupeleka wabunge kwenye bunge lililopatikana kwa mchakato batili, mteue Mkeo, hawala yako ikiwezekana hata basha wako aende huko bungeni kwenye viti maalumu.
CHADEMA hakiwezi kushiriki kuhalalisha zinaa ya kisiasa.
Kuna kifuta machozi cha bil 30 na zaidi mkulu anajaribu kukifikisha kwa chadema ili waachane na yaliyotokea aliyepwa afikishe ujumbe naona imekuwa ngumu kukutana nao.
Mbowe nimtu mwelewa sana,atafanyia kazi huu ushauri adhimu kabisa kwa maslai mapana ya watanzania hasa kwa ustawi wa demokrasia yetu kama taifa.
Kujenga demokrasia ya nchi yetu changa ni swala mtambuka,sikwambii demokrasia ilivyo changa ndani ya vyama vyote CCM,Chadema,ACT,CUF n,k.hahhhah wewe so ulikuwa una sherekea ushindi wa 100%
Hilo ndo tatizo lenu wana chadema, sijauliza kwa kejeli I really want to know.Walibakwa mbinguni
Wakati mnapanga kuwafanyia unyama watanzania wenzenu haukuwa na sababu ya kujua leo hiyo sababu ya kutaka kujua imetoka wapi ?Hilo ndo tatizo lenu wana chadema, sijauliza kwa kejeli I really want to know.
Acha stress kijana. Jibu hoja kama huna jibu ukae kimya. Nahitaji taarifa ambazo sizifahamu vizuri wewe unaniletea utopolo wako. Chadema mnaonekana hamna akili kwasababu ya watu maboya kama wewe.Wakati mnapanga kuwafanyia unyama watanzania wenzenu haukuwa na sababu ya kujua leo hiyo sababu ya kutaka kujua imetoka wapi ?
Viti maalumu ni takwa la kikatiba la nchi na hata Sheria za kimataifa kuhusu wanawake na uongozi duniani, pia uhuni wa uchaguzi nchi hii umeanza tangu uchaguzi wa awamu ya kwanza ya democracy hapa nchini, so kuwanyima sio haki ni uonevu ka kipindi wanashinda kwa NEC hii why wagome, though magufuli aluzidisha uonevu kwa wapinzani na wateule walifanya kumfuraisha sasa Mambo ni aibu kuliko maelezo maana Tanzania tumeonekana hamnazo na mahusiano yetu yatakuwa mabovu na donor countries wakina kikwete atleast waliaachia baadhi ya wapinzani ili kutoa balance sasa mzee wateule wake wapenda sifa waliharibu uchaguzi ukawa madudu, though hyo kuninyima viti maalumu siafiki kabisa.Wangekuwa na ubinafsi Wangepewa majimbo 68 yakugombea ubunge??? Seriously Uporwe ubunge kwa mtutu wa Bunduki ulioshinda kihalali ,Uje kupewa viti Maalumu kihuni.........Uwe unajaribu kufikiria kabla ya ku comment.
Yananihusu Kama mtanzania mtakia mema nchi yangu ili ku balance Mambo kwenye mizania, honestly sipendi uonevu na madudu ya kipumbavu kipindi Cha kura kilinisikitisha sanaYa chadema hayakuhsu ukiwa unapinga mabaya ungeeanza na aliyesema ukichagua upinzani haleti maendeleo ningekuona wa maana na sio hivi mataga
Mimi mtanzania halisi kwani Kuna uchaguzi uliopita bila malalamikoOnesha uraia wako wa kawaida wakati kuna malalamiko ya uchaguzi
Kwahyo kila anayeandika usichokipenda basi ni matagaLeo muna point ya wanawake wakati muna iba kura kimya mataga wewe
Viti maalumu viko kikatiba chama kikipata asilimia flani ya uraisi wanapewa idadi ya viti maalumu, na uchaguzi wa viti maalumu hufanyika ndani ya vyama husika kwa kupiga kuraHakuna mwanamke aliyeshinda ubunge wa vitimaalum maana hakuna sehemu yeyote vitimaalum wanapigiwa kura.