Kumbe hawakuibiwa kura na mwendazake?Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amekiri kuwa walikuwa na baadhi ya wagombea ambao hawakuwa wakikubalika kwenye maeneo waliyogombea nafasi mbalimbali ikiwemo ubunge na madiwani katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2020...
''Kuna baadhi ya maeneo tulikuwa na wagombea dhaifu''Lissu kaingiaje hapo.Nilishasema kuna bifu Kati Lisu na mwenyekiti wake haya sasa wale wapambe nuksi njoeni tena.
Utabiri wangu Mbowe atadondoshwa na Lisu maana Ile mashine sio mchezo.
Ukimsoma vizuri Mbowe utagundua anamsema Lisu.''Kuna baadhi ya maeneo tulikuwa na wagombea dhaifu''Lissu kaingiaje hapo.
1.Tulikuwa na wagombea dhaifu ikiwemo ubunge na udiwani,2.tulikuwa na wagombea dhaifu katika ubunge na udiwani,hizi ni kauli mbili zenye mtazamo mmoja Ila maana tofauti.kauli ya Kwanza ndo kaisema Mbowe na ndiyo inayomaanisha hata kwenye urais mgombea alikuwa dhaifu''Kuna baadhi ya maeneo tulikuwa na wagombea dhaifu''Lissu kaingiaje hapo.
Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe amekiri kuwa kushindwa kwa CHADEMA kwenye uchaguzi mkuu wa mwaka 2020 kulitokana na kuweka wagombea dhaifu kwenye nafasi mbalimbali ikiwemo uraisi na hivyo wamejifunza na uchaguzi ujao wataweka wagombea wenye nguvu na ushawishi watakaozunguka nchi nzima kunadi sera na ajenda za wanachi...
Mbowe hawezi ongea ujinga wako wa kutunga
Kumbuka Lisu aligalagazwa na Nyarandu kwenye kamati kuuHapa kuna mgogoro wa ki maslai kabisa....kwa kuwaza tu napata picha ya usaliti ndani ya chama.. Yan kusalitiana.
Wameona kama mambo ni mepesi vile na wanaweza chukua dola next election sasa wameanza kuvurugana wenyewe, siasa ni mchezo hatari mno...