Amani hailetwi na polisi ila hupotezwa na utumiaji wa mabavu wa polisi mfano tarehe 1-11-2010 wakati tukisubilia matokeo watu walikuwa wengi mno lakini hakuna mtu alie toka ngeu siku hiyo kwasababu polisi walifata haki lakini watakapo tumia nguvu ilikutupora haki zetu basi patakuwa hapatoshi...kama wanakuja kwenye mkutano wetu waje tena tuna wakaribisha maana wengi wao walituunga mkono kwenye uchanguzi ila olewao waje kwa nia ya kutuvuluga huyo Andengenye wao atajuta.........sitashangaa ukisikia Polisi (ya CCM) imesema haina askari wa kutosha kulinda mkutano as if mkutano huo unahitaji baracks nzima ya polisi!!! nafikiri nitawahi nikitoka Tanga na bus la saa 2 asbh
Usijali mkuuLema ameshapona? Andengenye amepelekwa Arusha purposely!
Kuna tukio lingine lina kuja vita ndiyo kwanza inaanza subilia tareh 30-12-2010 siajabu ukawaona ndani ya Arusha...lakini zingatia kichwa kimoja cha CDM ni sawa na vichwa 30 vya CCM...pia natamani kama Kikosi kizima cha Chadema akiwemo Daktari wa ukweli, Kamanda Mnyika, Mabere Marando, Zitto Kabwe na Kamanda Wenje wote wangehudhuria na kuimba pamoja na wananchi wa Arusha ule wimbo wa Solidarity!!
Yes sir, kazi ndio inaanza!!
Tupo pamoja wakuu.
.