Hivi Tund=u Lissu kura ya ndiyo au hapana amepigiwa,maana naona yuko peke yake
Hongera zao mashujaa wetu Freeman Mbowe na Tundu Lissu na hakika "wishes" za jamaa zetu wa Lumumba za kutupenyezea wasaliti wao zimeshindwa!
Hakika uwepo wa chama cha Chadema ni mpango wa Mungu na yeyote anayetamani kukiua chama hicho atapambana na hasira za Mungu wetu aliye Mkuu kuliko kitu chochote hapa duniani
mnamchosha mungu na mambo yenu ya kitoto yaani mnacheza halafu mnamuhusisha wa nini na michezo yenu ya kitotoHata Mbowe kuwa mwenyekiti wa kudumu ni mpango wa mungu...
Yes you right
Sent using Jamii Forums mobile app
Breaking News??? Expired news ...
Mbowe tena ... cant be Breaking News
Sent using Jamii Forums mobile app
CCM watabisha hata hili, maana wao kuchaguana hawajui wamezoea KUTEULIWA.
Hahaha hivyo mtaandamana kupinga au mtakubali hivyo hivyo shingo upande?
hii ndiyo democrasia wewe miaka 15 yaani hao wengine wote ni maburura tu hawawezi kuwa wenyeviti n? ni zarau sanaAt least CCM kuna awamu 2 za 5 years each..
Watashtuka maana ya domokrashia..
Sent using Jamii Forums mobile app
acha ujinga wewe niccm gani huku kwetu mwenyekiti anabadirika kila miaka kumi chademaa kutaka uenyekiti ni kuonja sumuNatamani na sisi CCM tuige mfano chadema.sisi huku mwenyekiti ni kama mungu
Uchaguzi wa ccm hata huwa haufanyiki na hata ukifanyika kabla ya mgombea tu kuanza kujitangaza wananza kumjaza mashtaka ya uhunum uchumi, jifunzeni kwa baba lao chadema sio cuf wala ccm
Hawa jamaa zetu wana ukiritimba ndio maana wananchi wanaojielewa huwa wanakati mgumu Sana kuwaongoza wanaishia kuwatawala kimabavu
Afadhali! Mwambe asante kwa kuleta ushindani lkn wewe ni pandikizi! Hongera Mbowe, Hongera Lisu!
This is silly (sorry to use such a word).
Mtu akigombea nafasi dhidi ya kiongozi mwenzake ni usaliti? Where is the democracy in your party? Ujinga ni kuendelea kuwa na mwanachama mnayeamini alipandikizwa na chama kingine.
This is pathetic.
mnamchosha mungu na mambo yenu ya kitoto yaani mnacheza halafu mnamuhusisha wa nini na michezo yenu ya kitoto
Mshamaliza kung'oa bendera? Halafu mupige marufuku dare za makamanda.
Sent using Jamii Forums mobile app
hii ndiyo democrasia wewe miaka 15 yaani hao wengine wote ni maburura tu hawawezi kuwa wenyeviti n? ni zarau sana