johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,783
- 141,672
Mbowe amekumbuka juice ya Ikulu!
Ndiyo mpasuko wenyewe huo. Kila mtu na mambo yake kuitana ndugu hakupo tena. Kumbuka vidole vya mkononi having sawa ila vinashirikianaHuo mpasuko nausikia tu, hata sijui uko wapi? Huku mtaani kila mtu na mambo yake
Sent using Jamii Forums mobile app
Ccm ndio actually wenye kuhitaji maridhiano zaidi kuliko hata hao Chadema na usishangae ndio engineers wa huu mkakati.Either with us or against us, hakuna maridhiano na wasaliti.
Hahahaha siyo enzi ya maigizo hii.Maridhiano Kwani wapo kwenye mgogoro gani?
Au mnataka mkale tende ikulu