Mbowe na vijana wake klichowapeleka Mwanza si sherehe za uhuru,kilichowapeleka ni kuomba Msamaha kwa Rais Magufuli baada ya wao kumfanyia kila aina figisu na figisu hizo kutokuzaa matunda yoyote toka Jumuiya ya kimataifa,kifupi wamepuuzwa.

Ukiacha hizo vigisu jambo ambalo ndo hasa kiini cha wao kutua mwanza ni kuhusu kesi inayowakabili ya uchochezi na Mauaji ya Akwilina,kesi hii imewakalia vibaya sana ,kuna kifungo ,hivyo wanataka Magufuli auingilie muhimili wa Mahakama ili wasifungwe Jela,hata hivyo sidhani kama Magufuli atafanya hivyo,kwani nia yao katika kuandaa maandamano Yale ilikua ni uhaini dhidi ya dola na mamlaka iliochaguliwa kikatiba.

Hawaaminiki hawa watu,wanachotaka kwa sasa ni wao kupata relief,ili wajipange upya.
Rais usizugwe na hawa walioshindwa Ku practice demokrasia ndani ya vyama vyao.

Wembe ni uleule siasa za kilaghai zitokomezwe nchini
 
Ukifukua makaburi ya 2015 hadi 2018 Rais Magufuli ametukanwa kila aina ya Matusi na Wapinzani

Lakini Mzee wa watu alivumilia tu
 
Mkuu si kila kitu ni propaganda Mbowe aache ufashisti
Hivi hao wote waliofanyiwa mabaya na Mbowe unataka kusema hawajui vituo vya polisi vilipo, hawajui mahakama zilipo?, mna propaganda za zamani sana.
 
Bado sijaona wala kusikia hoja yoyote iliyonishawishi kuwa taifa linahitaji maridhiano, kama alivyoomba Bwana Mbowe hapo jana.

Hatuna sababu ya kufanya maridhiano.

Ila, kinadharia tu, hebu ngoja niulize.

Tukishafanya hayo maridhiano, ina maana siasa za ushindani ndo mwisho wake, siyo?

Mwakani uchaguzi utakuwa hauna maana tena, siyo?

Baada ya hayo maridhiano, hakuna tena kufanya kampeni za kisiasa na kukosoana kwa maneno makali, siyo?

2020 Magufuli anaendelea kuwa rais na anawapa nafasi za uwaziri wapinzani.

Maisha yanaendelea kwa sababu tumefanya maridhiano....hakuna tena kukosoana, kushitakiana, kushindana, na kadhalika, kwa ajili ya manufaa ya taifa.....

SMDH
 
Kabla hatujanza kujadili hotuba fupi ya KUB Mbowe hatuna budi kijua Nini maana ya maridhiano kwa muktadha wa kisiasa.

Mimi binafsi nashindwa kuelewa dhamira kubwa ya chadema kwa jicho la kisiasa Kama hotuba ya Mbowe iliyobeba maudhui ya maridhiano.

Kwa uelewa wangu mdogo tunaposema maridhiano Ni ile Hali ya kutaka kuliweka Jambo sawa kwa manufaa pande mbili hasa pale inapoonekana upande mmoja umepata ushindi kiujanja ujanja.

Kwa tafsiri hii fupi Mbowe alibeba ujumbe wa chadema au yeye mwenyewe sio msimamo wa chama?
Aliiomba serikali iliyowekwa madarakani na wananchi mwaka 2015 au it was interpersonal conflict na mheshimiwa?

Je serikali ikikubali japo sio kwa kutekeleza maridhiano kwa tafsiri ya hapo juu ina maana serikali iliyopo sio halali iliyowekwa na wananchi kikayiba?

Nimejaribu tu kutafakari na baadae nikaja na maswali haya na kubaini kwamba Mhedhimiwa Mbowe hiyo Ni political approach yenye mantiki kubwa Sana katika duru ya kidemokrasia
 
MARIDHIANO, MARIDHIANO, MARIDHIANO!!! Kelele ni kubwa sana; vumbi na giza limetanda kila mahali. Naomba niseme yafuatayo:

Maridhiano sio tukio la siku moja kama la jana; ni mchakato unaochukua muda kwa kutegemea mambo mbali mbali. Inawezekana jana ni mwanzo tu wa safari; lakini tunaizungumzia kama ndio mwisho.

Nelson Mandela hakuanza kuzungumza na makaburu baada ya kutoka gerezani mwaka '90. Mazungumzo yalianza muda mrefu akiwa bado gerezani na vita ya ukombozi ikiwa inaendelea. Na Mzee Jomo Kenyatta na wengine wengi hivyo hivyo.

Kutaka maridhiano sio udhaifu na sio 'kuunga mkono juhudi.' Kuunga mkono juhudi ni ku-surrender, sio ku-compromise. Maridhiano ni compromise, you win some you lose some.

Bata huonekana kama anateleza juu ya maji; ndani ya maji miguu yake inafanya kazi kubwa ajabu. Mnaona yanayoonekana kwa nje; yanayofanyika kwa ndani hayaonekani, lakini yapo na yatajulikana kwa wakati wake.

Tuwe na akiba ya maneno. Hii ni safari ndefu, ngumu na mwisho wake hautabiriki kirahisi.
 
Bado sijaona wala kusikia hoja yoyote iliyonishawishi kuwa taifa linahitaji maridhiano, kama alivyoomba Bwana Mbowe hapo jana.

Hatuna sababu ya kufanya maridhiano.

Ila, kinadharia tu, hebu ngoja niulize.

Tukishafanya hayo maridhiano, ina maana siasa za ushindani ndo mwisho wake, siyo?

Mwakani uchaguzi utakuwa hauna maana tena, siyo?

Baada ya hayo maridhiano, hakuna tena kufanya kampeni za kisiasa na kukosoana kwa maneno makali, siyo?

2020 Magufuli anaendelea kuwa rais na anawapa nafasi za uwaziri wapinzani.

Maisha yanaendelea kwa sababu tumefanya maridhiano....hakuna tena kukosoana, kushitakiana, kushindana, na kadhalika, kwa ajili ya manufaa ya taifa.....

SMDH
 
Bado sijaona wala kusikia hoja yoyote iliyonishawishi kuwa taifa linahitaji maridhiano, kama alivyoomba Bwana Mbowe hapo jana.

Hatuna sababu ya kufanya maridhiano.

Ila, kinadharia tu, hebu ngoja niulize.

Tukishafanya hayo maridhiano, ina maana siasa za ushindani ndo mwisho wake, siyo?

Mwakani uchaguzi utakuwa hauna maana tena, siyo?

Baada ya hayo maridhiano, hakuna tena kufanya kampeni za kisiasa na kukosoana kwa maneno makali, siyo?

2020 Magufuli anaendelea kuwa rais na anawapa nafasi za uwaziri wapinzani.

Maisha yanaendelea kwa sababu tumefanya maridhiano....hakuna tena kukosoana, kushitakiana, kushindana, na kadhalika, kwa ajili ya manufaa ya taifa.....

SMDH
 
Akili zinaanza kukaa sawa,Zitto atabaki na Maalim wake pekee,wenzie wameshajiongeza. Mimi na baadhi ya watanzania tunataka maendeleo na amani na sio mabishano na fujo.
 
MARIDHIANO, MARIDHIANO, MARIDHIANO!!! Kelele ni kubwa sana; vumbi na giza limetanda kila mahali. Naomba niseme yafuatayo:

Maridhiano sio tukio la siku moja kama la jana; ni mchakato unaochukua muda kwa kutegemea mambo mbali mbali. Inawezekana jana ni mwanzo tu wa safari; lakini tunaizungumzia kama ndio mwisho.

Nelson Mandela hakuanza kuzungumza na makaburu baada ya kutoka gerezani mwaka '90. Mazungumzo yalianza muda mrefu akiwa bado gerezani na vita ya ukombozi ikiwa inaendelea. Na Mzee Jomo Kenyatta na wengine wengi hivyo hivyo.

Kutaka maridhiano sio udhaifu na sio 'kuunga mkono juhudi.' Kuunga mkono juhudi ni ku-surrender, sio ku-compromise. Maridhiano ni compromise, you win some you lose some.

Bata huonekana kama anateleza juu ya maji; ndani ya maji miguu yake inafanya kazi kubwa ajabu. Mnaona yanayoonekana kwa nje; yanayofanyika kwa ndani hayaonekani, lakini yapo na yatajulikana kwa wakati wake.

Tuwe na akiba ya maneno. Hii ni safari ndefu, ngumu na mwisho wake hautabiriki kirahisi.
 
Nyani Ngabu,
Mkuu nyani, mbona wewe hupendi watu wajamiane? Ina maana husomi nyakati? Taifa letu linahitaji amani muda wote, ukiona kuna upande watu wanaomba waridhiane kwenye mambo fulani fulani, ujue taifa limefikia pabaya, huu sio wakati Wa jino kwa jino, watawala tulionao hawapendi kukosolewa hata kushauriwa na ukifanya hivyo utaishia kusingiziwa kesi za uchochezi na uhujumu uchumi, watu wana kesi nyingi mahakamani, hivi unadhani akina mbowe wanavyoenda mahakamani kila sijui siku ngapi zile, na zinawafanya wakose hata vikao vya bunge na wameanza kuambiwa ni watoro na wengine wamefukuzwa bungeni, hivi sasa watu wanaona kama ni ubunge basi, sasa kwanini kusiwe na maridhiano kama hayo yanayoombwa?
 
Back
Top Bottom