Freeman Mbowe nje ya Utumishi wa Umma alianza kumiliki kikundi Cha Burudani ( Disco) na Sasa ni Mkuu wa Upinzani nchini!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
96,574
169,331
Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu

Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani

Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza CHADEMA Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!

Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini

Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro

Baadae Mlale Unono 😀😀
 
Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu

Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani

Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!

Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini

Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro

Baadae Mlale Unono
Dj huyo, mzee wa DEAL
 
familia ya mboye ni politics kitambo kwanzia uhuru unapambaniwa "ukiona vyaelea ujie vimeundwa" hata huyo mboye babake wa ubatizo si nyerere hapo kwenye mambo ya disco ilikuwa kujitafuta tu
 
Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu

Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani

Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!

Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini

Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro

Baadae Mlale Unono 😀😀
Historia ya Mbowe inafanana na ile ya waziri mkuu wa Ufaransa, rais wa Ukraine, Trump au hata waziri mkuu flani wa Uingereza. Watu wa namna wana akili na ushawishi mkubwa.
 
Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu

Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani

Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!

Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini

Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro

Baadae Mlale Unono 😀😀
Vile hujui historia ya familia yao, kabla yeye baba yake alikuwa kwenye siasa
 
Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu

Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani

Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!

Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini

Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro

Baadae Mlale Unono 😀😀
Mbowe asingekuwa na msimamo angeshanunuliwa kama Viongozi wa vyama vingine. Wana CCM waungane naye kuunda muungano kama wa Ruto na Kashagwa ili washinde Uongozi wa Nchi yetu na kuiongoza vizuri na usalama imara kwa raia wake.
 
Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu

Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani

Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza Chadema Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!

Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini

Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro

Baadae Mlale Unono 😀😀
Kazi unayofanya huko sasa imekuwa ngumu, ndiyo maana hii ya mihangaiko inajitokeza.
Wewe sasa nimekutambuwa kwa jinsi ulivyo.
Huko siku za nyuma nilidhani ni mtu tu asiyekuwa na hili wala lile.

Hata kama CCM ikipona safari hii, takataka kama hizi mlivyo nyenyi ni lazima iachane nazo.
 
Tupo Hapa Mwananyamala Komakoma kwa Baharia Mani opposite na alipokuwa anaishi Makongoro Nyerere tukijadili Siasa za Nchi yetu

Kwa hakika Kati yetu Hakuna aliyewahi kufikiria Freeman atakuja Kuwa Mwanasiasa achilia Kuwa Kiongozi wa Chama kikuu Cha Upinzani

Tunajiuliza huyu Freeman Mbowe alitumia Mbinu gani kuwaingiza CHADEMA Mawaziri Wakuu wastaafu wawili Sumaye na Lowassa kwa wakati mmoja?!!

Kimsingi tunakubaliana Freeman ni Mwanasiasa mwenye maajabu yake nchini

Kama uko mitaa hii karibu upate kahawa tunamsubiri Meya Songoro

Baadae Mlale Unono 😀😀
Na makam mwenyekiti aliejiuzulu!!?

Siyo kwamba ni jangili kabisa!!?
 
Msingi wakisiasa wa mbowe, ni marehemu baba yake

Unamshangaa mbowe
MFATILIE,mcheza dance SAVIMBI
 
Back
Top Bottom