omtiti
JF-Expert Member
- Jun 19, 2019
- 1,022
- 1,590
Ndivyo mnavyojidanganya?,waitKosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndivyo mnavyojidanganya?,waitKosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Ukifuatilia muenendo wa kesi ya Sabaya utaelewa nini kiko ndani na hukumu yake pia itafanywa ili kuharalisha mashitaki na hukumu dhidi ya Mbowe...
Senselessnesstest man said:
wamuachie tu
Kwahiyo 7ya angekaa vibaya yangemkuta ya Chacha Wangwe?
Naona kibatala akiwabana kwa swali dogo sana ".......................................?" ningelisema lakini nimekumbuka kuwa kesi iko mahakamani haturuhusiwi kuijadiliKutoka Kisutu, Mbowe anashitakiwa kwa makosa mengi ikiwemo kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya
Kazi ipo.
Pia soma
tulishangiliana sana kesi ya Sabaya kumbe ilikuwa ndoano ile...tusifanye masikhara sana unawezakuta majamaa yanaushahidi mtu akaoga miaka hapa...tusiwaamini sana wanasiasa na kujiaminisha sana kwao..Hamna
Uliwahi kumsikia mbowe akiongelea kuporwa zaidi ya bilion mbili benk?hao walinzi wake tangu wakamatwe hajawahi kuwaongelea popote ndiyo maana wameamua kumchoma boss wao na haowatakuwa mashahidi pia utaona
Mwambie adai katiba ya chama kwanzaKosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Itakuwa sawa pia maana zile video za Sabaya kuvamia nyumbani kwa Mbowe ni wakati wake mzuri wa kujua ilikuaje na Sabaya itabidi aieleze mahakamatulishangiliana sana kesi ya Sabaya kumbe ilikuwa ndoano ile...tusifanye masikhara sana unawezakuta majamaa yanaushahidi mtu akaoga miaka hapa...tusiwaamini sana wanasiasa na kujiaminisha sana kwao..
Sabaya gani? Huyu wa Kisongo au mwingine?Kutoka Kisutu, Mbowe anashitakiwa kwa makosa mengi ikiwemo kula njama na kusabisha majeraha kwa aliyekuwa mkuu wa wilaya Hai, Lengai Ole Sabaya
Kazi ipo.
Pia soma
Hii kesi mbona ilikuwepo toka siku matokeo yanatangazwa..... Na alikamatwa Mbowe na kina Boniface Jacob eti siku ya maandamano walitaka kulipua vituo vya mafuta. Ila baada ya JPM kuapishwa kesi ikaisha hewani tu.... Kadai katiba naona kesi imefufuliwa.hao walinzi wake tangu wakamatwe hajawahi kuwaongelea popote ndiyo maana wameamua kumchoma boss wao na haowatakuwa mashahidi pia utaona
Rudia kusoma tena, wapi nimeandika kuwa hajawahi kushindwa kesi?Kwamba kibatala hajawahi shindwa kesi?
watanyooka tu walinzi aliwatelekeza walipo kamatwa wametoa siri zooooooooooooteeeeHii kesi mbona ilikuwepo toka siku matokeo yanatangazwa..... Na alikamatwa Mbowe na kina Boniface Jacob eti siku ya maandamano walitaka kulipua vituo vya mafuta. Ila baada ya JPM kuapishwa kesi ikaisha hewani tu.... Kadai katiba naona kesi imefufuliwa.
Hata Akwilina mliwahukumu kifungo mbona Mahakama ya rufaa imebatilisha hukumu?? Vipi Mdude na Sugu wote walionekana hawana hatia!! So sio mara ya kwanza kubambikia upinzani kesi.
Kosa lake kubwa ni kudai katiba mpya, mengine ni mazungumzo baada ya habari.
Amka ankali...mchana wa saa nane sasa hiviKosa kubwa la Mbowe ni Lissu kushinda Urais 2020 na kuwaamsha Watanzania kudai Katiba mpya
Huyo huyo mkuu. Sasa anatakiwa kuwa shahidi namba moja kwenye kesi ya Mbowe.
Kule kisongo yuko chuo cha kupangua hoja . Anajifua aje amalizane na Mbowe huku Dar.