Freeman Mbowe na Timu yake waingia Kanda ya Magharibi, ni katika muendelezo wa Operesheni Haki

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,638
218,073
Wakuu msituchoke, tuliahidi kuwafikishia kila kitu kitakachojiri kwenye ziara za Mkakati mpya wa CHADEMA inayoitwa OPERESHENI HAKI, hii ni kampeni ya kuchagiza upatikanaji wa Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi .

Baada ya kupita kwenye kanda kadhaa sasa imeingia kwenye Kanda ya Magharibi ikiongozwa na Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anaonekana hapa chini akisaini Kitabu cha Wageni .



chadematz_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_Mhe._Freeman_Mbowe_akisaini_kitabu_cha_wa...jpg


Endelea kutufuatilia kwa taarifa za yatakayojiri .

Mungu ibariki Chadema
 
Wakuu msituchoke , tuliahidi kuwafikishia kila kitu kitakachojiri kwenye ziara za Mkakati mpya wa Chadema inayoitwa OPERESHENI HAKI , hii ni kampeni ya kuchagiza upatikanaji wa Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi .

Baada ya kupita kwenye kanda kadhaa sasa imeingia kwenye Kanda ya Magharibi ikiongozwa na Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe , ambaye anaonekana hapa chini akisaini Kitabu cha Wageni .



View attachment 1808067

Endelea kutufuatilia kwa taarifa za yatakayojiri .

Mungu ibariki Chadema
Kanda ya Magharibi,makao makuu ya kanda ni wapi?
 
Back
Top Bottom