Gagurito
JF-Expert Member
- Feb 11, 2011
- 5,600
- 803
Jana Mh. Freeman Mbowe ambaye ni Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo-CDM pamoja na Joseph Mbilinyi a.k.a Sugu ambaye ni Mbunge wa Mbeya Mjini walifanya kweli katika mji wa Manispaa ya Iringa.
Shughuli hii inafuatia kuwapo kwa Uchaguzi mdogo katika kata tatu za Kitanzini, Gangilonga na Kihesa zilizopo hapa mjini.
Katika Mkutano ule Mbowe alinukuliwa akisema kuwa Kinachotea sasa SI MPANGO MZIMA TU BALI NI MPANGO WA MUNGU, Kwamba kumekuwepo njama za kutaka kukatisha harakati za Kupigania Mabadiliko zifanywazo na Chadema lakini kwa Kudra za Mwenyezi Mungu Harakati zinasonga mbele.
Mbowe pia alitumia nafasi hiyo kuwataka wanachama wa chama cha mapinduzi wawaunge mkono chadema kwani ndicho chama haswa chenye nia thabiti ya kutaka kuleta mabadiliko kwa maendeleo ya watanzania, Mwenyekiti Mbowe alimalizia kwa Kuwaombea Kura madiwani wake.
Mh. Sugu kama kawaida alifunga mkutano kwa Mistari na kusisitiza kuwa Chadema ni dume la mbegu kweli na kuahidi kudhihirisha hili katika shughuri ya Igunga coz kwa mpango wa chama Muziki rasmi utaanza trh 25 Sept 2011 timu ya Makamanda itakapo wasili rasmi kwa Kazi!
Shughuli hii inafuatia kuwapo kwa Uchaguzi mdogo katika kata tatu za Kitanzini, Gangilonga na Kihesa zilizopo hapa mjini.
Katika Mkutano ule Mbowe alinukuliwa akisema kuwa Kinachotea sasa SI MPANGO MZIMA TU BALI NI MPANGO WA MUNGU, Kwamba kumekuwepo njama za kutaka kukatisha harakati za Kupigania Mabadiliko zifanywazo na Chadema lakini kwa Kudra za Mwenyezi Mungu Harakati zinasonga mbele.
Mbowe pia alitumia nafasi hiyo kuwataka wanachama wa chama cha mapinduzi wawaunge mkono chadema kwani ndicho chama haswa chenye nia thabiti ya kutaka kuleta mabadiliko kwa maendeleo ya watanzania, Mwenyekiti Mbowe alimalizia kwa Kuwaombea Kura madiwani wake.
Mh. Sugu kama kawaida alifunga mkutano kwa Mistari na kusisitiza kuwa Chadema ni dume la mbegu kweli na kuahidi kudhihirisha hili katika shughuri ya Igunga coz kwa mpango wa chama Muziki rasmi utaanza trh 25 Sept 2011 timu ya Makamanda itakapo wasili rasmi kwa Kazi!