KweliSACCOS za ccm
Mwisho nchi zinazopakana na nchi yakeRais je?
Hayo yote huwezi kuyapata ukiwa umejifungia ndani, exposure ya nje na kujifunza wengine wamefanikiwaje ni muhimu.Mambo kama ya Kupambana kuhusu Tume huru Ya Uchaguzi
Mabadiliko ya kisheria na kikatiba kuhusu kuhoji matokeo ya urais mahakamani
Ushindi wa urais kuwa 50+1 %
Mabadiliko ya sheria gandamizi za vyombo vya habari na mitandao
Uwajibikaji wa serikali kwa wananchi wake mfano wizi wa fedha za wananchi
Matumizi mabaya ya fedha za serikali yaliyofanywa na magufuli mwenyewe kwa kuamua kujijengea airport nyumbani kwao
Haya ndio mambo ambayo upinzani ulipaswa kuyapigia kelele na presha kubwa ...na sio kuzurura na kutaka bunge live
Wanamtambua?maana zipo nchi hutofautiana musimamo kwenye kutambua viongozi,iwe wa kidemokrasia au wa kimapinduzi.Rais je?
Wapeni Chadema instruments muone kama hawajaja na full information.kwa hyo ishu ya Ben ndio dead n gone?
Ujinga tu...matumizi mabaya ya Ruzuku
Wanashindwa ku focus kwenye mambo ya msingi na wanataka washinde uchaguzi
Stupidity at your best, hutaki CHADEMA ishinde?Ujinga tu...matumizi mabaya ya Ruzuku
Wanashindwa ku focus kwenye mambo ya msingi na wanataka washinde uchaguzi
kama haukuwajibu "ni kweli gazet la UHURU liliripoti" basi tukupime hisa ya akili
Stupidity at your best, hutaki CHADEMA ishinde?
CCM imekuoa wewe pimbi?
Eti wa focus, kuna focus zaidi ya ushindi?
Nyie mbona mnaua watu Kwa kutaka ushindi?
hahahahahahha...ndio mbowe anavyowadanganya mkuu anavozitumbua ruzuku?Hayo yote huwezi kuyapata ukiwa umejifungia ndani, exposure ya nje na kujifunza wengine wamefanikiwaje ni muhimu.
Ungemwambia anavijenga akiwa usingiziniViongozi wa Serikali ya Tanzania hawajaalikwa?Tuna mahusiano mazuri na Ghana tangu Enzi za Kambarage.Anyway,kuna rafiki zangu wa Ghana wanampa big up sana Rais wetu wa JMT.Juzi walikuwa wananiuliza kwenye WhatsApp kwa kushangaa eti "tumesikia Rais wenu anataka kujenga viwanda 1000?"
si kweli ina mantiki sana hiyo wamealikwa kwa shughuli za msingi.Ujinga tu...matumizi mabaya ya Ruzuku
Wanashindwa ku focus kwenye mambo ya msingi na wanataka washinde uchaguzi