Freeman Mbowe: "Mtu anaweza tu akashangiliwa kwenye majukwaa akapigiwa kura, lakini hakuna meritocracy (uwezo)". Je, dawa mujarabu ni ipi?

Lissu hakuna kituo hata kimoja aliweza kuwa mbele ya Samia na JPM mwaka uchaguzi wa 2020. Kipigo alichopewa October 2020 kilimfanya awachukie Watanzania wote.
Lissu alikuwa anawatetea Mabeberu bungeni waendelee kuchimba madini yetu huku Rais Samia na JPM wakitutetea sisi wanyonge.
 
Lissu alikuwa anawatetea Mabeberu bungeni waendelee kuchimba madini yetu huku Rais Samia na JPM wakitutetea sisi wanyonge.
Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.
 
Wale Mabeberu ambayo Lissu aliyokuwa anayetetea bungeni umesahau? Kama sio Rais Samia na JPM madini yetu yasingekuwepo.
Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, Mungu akupe afya uendelee kututumikia vema mama yetu.
 
Asante Rais Samia kwa kutupeleka Tanzania katika uchumi wa kati, Mungu akupe afya uendelee kututumikia vema mama yetu.
Ccm haiwezi kuiba kura 2025. Rais Samia anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha mzee Lowasa na huyo msaliti wa Nchi Tundu Lissu.
 
Ccm haiwezi kuiba kura 2025. Rais Samia anapendwa sana na Watanzania Pia usije ukamfananisha mzee Lowasa na huyo msaliti wa Nchi Tundu Lissu.
Rais Samia hata asipopiga kampeni mwaka 2025 ushindi ni 98% Ila Rais lazima awatembelee Wananchi wake kuonyesha heshima. Samia ooyeeeee.
 
Rais Samia hata asipopiga kampeni mwaka 2025 ushindi ni 98% Ila Rais lazima awatembelee Wananchi wake kuonyesha heshima. Samia ooyeeeee.
Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal.
 
Chadema wakumbuke kwamba shabiki anabadilika kutokana na treand but mwanachama ni royal.
Mwanasiasa wa upinzani anapopingana na samia jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania UMEME: Ukipingana na samia watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji.
 
Mwanasiasa wa upinzani anapopingana na samia jiandae kujibu maswali yafuatayo kutoka kwa Watanzania UMEME: Ukipingana na samia watanzania watakuuliza unataka tusipate umeme wa uhakika utokanao na Bwawa LA Nyerere yaani unataka tusipate megawati 2115 za umeme unataka tusiwavutie wawekezaji.
Long live samia Rais bora africa na dunia kwajumla.kwa kuishinda corona.
 
chadema kwa mara nyingine sera na ilani walichopanga kusema tayari Rais Samia ameshafanya na anatarajia kufanya makubwa zaidi.
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Samia ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu. Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia.
 
Jambo kubwa kabisa alilolifanya Rais Samia ni kuwashughulikia mafisadi wala rushwa na wapiga dili waliokuwa wanalihujumu taifa letu. Wananchi zaidi ya 95% wanataka Kazi Iendelee kwamba sasa yakang'olewe mazalia na mabakibaki ya mafisadi popote yalikobakia.
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
 
Bwana mkubwa Mbowe kama unapita hapa nakuomba ikiwezekana tembea kwa magoti hadi chamwino ukaombe radhi kwa Rais Samia la sivyo mtakufa tu mtakuwa mmekaidi sauti ya Mungu.
Chama changu cha CCM chini ya Rais Samia kipo busy kujenga Nchi ila vyama vingine vinashindana kuhutubia Facebook.
 
Back
Top Bottom