barafuyamoto
JF-Expert Member
- Jul 26, 2014
- 32,323
- 29,584
Si mnadai mmekatazwa mikutano ya kisiasa, kumbe maelewaga eeh. Mbowe nenda hai, mdee aende kawe (aaona aibu hawezi itisha mkutaño), msigwa iringa na wenginē.
Si mnadai mmekatazwa mikutano ya kisiasa, kumbe maelewaga eeh. Mbowe nenda hai, mdee aende kawe (aaona aibu hawezi itisha mkutaño), msigwa iringa na wenginē.
Kasalimu amri, kakimbia jiji.Mbowe ni jabali la siasa za Tanzania , hana mfano
Hilo jimbo linafutwaAsee kama ni suala la Ubunge 2020 MBOWE asahau , mambo yake yatakuwa magumu Sana kuliko anavyofikiria ,angejaribu kutafuta shughuli nyingine ya kufanya mapema tu
Vipi àlipompa Lowassa kugombea urais ilikuwa kwa vipande vya nini?
"Udini" maana yake nini? Na umekujaje hapa na neno hilo?Huna hoja kabisa siku hizi, acha udini na utabarikiwa. Ukiwa mzee jua zako busara tu
😅😅😅...we haya tu..hajambo@MeeyahNjoo tumalizane
Sasa Kwann mnawaombaga kura km nyieeeeee ni tofaut na wao
Automatically Mkuu Wa Wa Wilaya naye ni TISS tu, kwani ni afisa usalama wa taifa katika eneo lake, ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wilayani.Akijiita yeye TISS ni sawahahahhaa. jamaa alitaka kumla Nandy kwa nguvu? anagonga milango usiku kwenye hotel za watalii ? yule DC wa Hai mpuuzi kweli? sio kosa lke kw sababu alishawahi danganya yye ni TISS
Huna hojaKasalimu amri, kakimbia jiji.
Hii ni alipokuwa Mwenyekiti wa UVCCM , hawezi kujiita TISS kisa ni uvccm , huu ni upumbavuAutomatically Mkuu Wa Wa Wilaya naye ni TISS tu, kwani ni afisa usalama wa taifa katika eneo lake, ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wilayani.Akijiita yeye TISS ni sawa
Si ndiye aliyekikabidhi Chama kwa Mtu Mwenye Mapene.Salam ziwafikie joka kuu na wafuasi wake.Kwa kweli Mh.Mboe anastahili pongezi na kuombewa sana kwa Mungu Baba, sijui mchaga gani huyu kashindwa kuuza utu na heshima yake,kuwa saliti wengi kwa vipande vya pesa!?
Huna lolote mnafiki mkubwa we !Si ndiye aliyekikabidhi Chama kwa Mtu Mwenye Mapene.
Si ndiye aliyetafuna maniliu ya Chama akidai kuwa alikopesha.
Si ndiye alijimilikisha Mashamba Makubwa.
Si ndiye anayemiliki Kikosi maalum cha Safisha Wapinga Mbowe.
Si ndiye anaye waita Wasaliti wale wote Wanaotaka kugombea nafasi ya uenyekiti.
Si ndiye Mkwe wa Mwenye Chama aliyemilikishwa Chama.
Si ndiye Mkwepa Kodi.
Si ndiye aliyefeli shule kwa kuendekeza bata batani.
Si ndiye Mpaka sasa haeleweki Mke Wake ni yupi.
Basi endeleeni maana vitu ni vingi vya kumwaga.
TISS nae yupo huko wilayani DSOAutomatically Mkuu Wa Wa Wilaya naye ni TISS tu, kwani ni afisa usalama wa taifa katika eneo lake, ndiye mwenyekiti wa kamati ya ulinzi wilayani.Akijiita yeye TISS ni sawa
nani kakudanganya ?OLE SABAYA NDO MWENYE WILAYA ILE SIJUI MNALIKUMBUKA HILO
"Udini" maana yake nini? Na umekujaje hapa na neno hilo?
usiishie hapo tu mkuuKwa sababu tu za heshima kwa wazee/wakubwa, naomba niishie hapa.