Fund man
JF-Expert Member
- Feb 24, 2021
- 3,461
- 4,540
Hapo ndipo palisababisha Mimi Fund man kuacha kupiga kura.Kwanini Matokeo Ya Kura Za Mgombea Uraisi,ni Marufuku kubandikwa kwenye kituo Cha Kupigia Kura????!!!!
Hapo ndipo palisababisha Mimi Fund man kuacha kupiga kura.Kwanini Matokeo Ya Kura Za Mgombea Uraisi,ni Marufuku kubandikwa kwenye kituo Cha Kupigia Kura????!!!!
Unajiitaje halafu?!!Hapo ndipo palisababisha Mimi Fund man kuacha kupiga kura.
Fund man(mzee wa fund)Unajiitaje halafu?!!
Chadema hamna mwenezi au katibu wa chama, kila kitu mnamuachia mwenyekitiView attachment 2154363
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa kote duniani .
Freeman Mbowe , ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa ataongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama , Nje ya Jiji la Dar es Salaam Kinondoni , mtaa wa Ufipa , Tarehe 18/03/2022 kuanzia saa 5 asubuhi .
Kaa tayari kupewa taarifa za maamuzi mazito yaliyotolewa na Kikao cha Kamati Kuu kilichoketi hivi Karibuni .
Wote Mnakaribishwa .
Mungu ibariki Chadema
kila la kheri tegemeo la watanzania ni Chadema tuView attachment 2154363
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa kote duniani .
Freeman Mbowe , ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa ataongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama , Nje ya Jiji la Dar es Salaam Kinondoni , mtaa wa Ufipa , Tarehe 18/03/2022 kuanzia saa 5 asubuhi .
Kaa tayari kupewa taarifa za maamuzi mazito yaliyotolewa na Kikao cha Kamati Kuu kilichoketi hivi Karibuni .
Wote Mnakaribishwa .
Mungu ibariki Chadema
Kwetu hakuna mkubwa kuliko mwingineChadema hamna mwenezi au katibu wa chama, kila kitu mnamuachia mwenyekiti
Mwamba imaraAsante,tunasubiri nondo kutoka kwa Mwamba wa siasa
Wewe kwa akili zako ulijua Mbowe atafungwa?Kitanda unatandika saa ngapi maana unavyohangaika na huyo aliyeomba msamaha utadhani wewe ndo mnyika.
🤣🤣🤣Mbona huna impact yoyote hata hapa JF tu?
Kwa mujibu wa Magufuli Jiji ni Ilala tu , yaani Chanika , Vingunguti , Buguruni kwa Mnyamani , Karakata na Pugu Kajiungeni ndio Jiji , Masaki , Mikocheni , Oysterbay , Kinondoni , Temeke ni nje ya jiji .Hapo unamaanisha ulichokiandika au uliteleza?
Nimekuelewa sana na nakushukuru kwa kutambua mchango wangu wa habari za Chadema hapa jf , ila naomba ieleweke kwamba umasikini au unyonge si jambo la kujivunia , siyo sifa njema , ni lazima tupige vita na tukemee na kukataa umasikini kwa nguvu zote kabisa , japo kwenye hoja hizi za hapa jf kwa hawa wanaonitukana huwa namaanisha ni Masikini wa Fikra .Hongera mkuu kwa namna unavyotupa taarifa za chama CDM kiukweli ni moja wa watu unawakilisha vema chadema Jf, unastahili pongezi,
Ila naomba nikushauri usipende kutumia neno maskini katika ukosoaji wako hasa kuwasilisha hoja za chama unachokitetea, utaleta mgawanyiko mkubwa, na kuvunja moyo wengi wanaofutilia habari za chama
Watanzania wengi ni maskini
Ndo wako kwenye harakati za kujikomboa na umaskini ili kufikia hatua za maisha bora.
Kama wewe umeshavuka hapo ni vema, ila usitengeneza vibaya taswira ya chama kwa watanzania wengi wanaondelea kujitoa kwenye umaskini
Nakushukuru kama utanielewa
Hahaaha sawa mkuu ni ushauri mzuri umempaHongera mkuu kwa namna unavyotupa taarifa za chama CDM kiukweli ni moja wa watu unawakilisha vema chadema Jf, unastahili pongezi,
Ila naomba nikushauri usipende kutumia neno maskini katika ukosoaji wako hasa kuwasilisha hoja za chama unachokitetea, utaleta mgawanyiko mkubwa, na kuvunja moyo wengi wanaofutilia habari za chama
Watanzania wengi ni maskini
Ndo wako kwenye harakati za kujikomboa na umaskini ili kufikia hatua za maisha bora.
Kama wewe umeshavuka hapo ni vema, ila usitengeneza vibaya taswira ya chama kwa watanzania wengi wanaondelea kujitoa kwenye umaskini
Nakushukuru kama utanielewa
🤣🤣🤣Kwanini Matokeo Ya Kura Za Mgombea Uraisi,ni Marufuku kubandikwa kwenye kituo Cha Kupigia Kura????!!!!
Kwenye Mvuto naweza kukupinga. Labda useme wewe unapenda mtu calibre ya Mbowe.Mbowe ana mvuto kuliko makamu wa rais mbowe ni rais mwenza na samia tofauti ni mdogo sana mbowe hajakabidhiwa dola.
Fafanua mkuuKila la kheir Rafiki msiri wa Msoga na Mwandiga anaezuga vijana wake
.....au basi....View attachment 2154666
hana lolote ni porojo tuFafanua mkuu
Nashukuru kama umenielewa,Nimekuelewa sana na nakushukuru kwa kutambua mchango wangu wa habari za Chadema hapa jf , ila naomba ieleweke kwamba umasikini au unyonge si jambo la kujivunia , siyo sifa njema , ni lazima tupige vita na tukemee na kukataa umasikini kwa nguvu zote kabisa , japo kwenye hoja hizi za hapa jf kwa hawa wanaonitukana huwa namaanisha ni Masikini wa Fikra .
Nahisi harufu ya taharuki.Mbowe Mwamba Kama Mwamba tunakusubiri kwa shauku