Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,608
- 218,024
Hii ndio Taarifa ya sasa iliyosambazwa kote duniani .
Freeman Mbowe , ambaye ni Mwenyekiti wa Chadema Taifa ataongea na vyombo vya habari kwenye ofisi za Makao Makuu ya Chama , Nje ya Jiji la Dar es Salaam Kinondoni , mtaa wa Ufipa , Tarehe 18/03/2022 kuanzia saa 5 asubuhi .
Kaa tayari kupewa taarifa za maamuzi mazito yaliyotolewa na Kikao cha Kamati Kuu kilichoketi hivi Karibuni .
Wote Mnakaribishwa .
Mungu ibariki Chadema