dubu
JF-Expert Member
- Oct 18, 2011
- 3,496
- 3,461
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(CHADEMA), Freeman Mbowe amedai kuna Uvurugwaji Mkubwa wa daftari la wapiga kura.
Ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba, kuna Mamilioni ya Wapiga kura hewa na Maelfu ya Vituo hewa.
"Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali." amesema Freeman Mbowe.
28 Oktoba 2020, Wananchi wa Tanzania watapiga kura ya kuchagua Rais, Madiwani na Wabunge.
Ameandika kwenye ukurasa wake wa Twitter kwamba, kuna Mamilioni ya Wapiga kura hewa na Maelfu ya Vituo hewa.
"Kuna uvurugwaji wa kutisha wa Daftari la wapiga kura. Mamilioni ya wapiga kura hewa & maelfu ya vituo bandia. Wapiga kura wengi wapinzani wamehamishwa vituo au kuondolewa kwa makusudi. NEC itoe maelezo & suluhisho haraka la sivyo uchaguzi huu utashindikana kuanzia hatua ya awali." amesema Freeman Mbowe.
28 Oktoba 2020, Wananchi wa Tanzania watapiga kura ya kuchagua Rais, Madiwani na Wabunge.