Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,360
- 217,391
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo ( CHADEMA ) , Mh Freeman Mbowe leo 5/3/2023 atahutubia Nchi yake kupitia kwa waandishi wa Habari .
Taarifa iliyosambazwa na Chama chake kwa Umma (nimeiona) , inasema kwamba , Mwamba Mbowe atahutubia Taifa kutokea Hotel ya Corridor Spring ya Jijini Arusha , kuanzia saa 7:30 Mchana .
Usiondoke JF ili usipitwe na Hotuba hii kabambe , ambayo inatarajiwa kutoa Dira na Mwongozo wa Nchi .
Wote Mnakaribishwa .