Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa,Mhe Freeman A. Mbowe (Wapili kutoka kushoto) akiwa na Mbunge wa Arusha mjini,Mhe Godbless Lema ,Aliekua Waziri wa Mali Asili na Utalii,Lazaro Nyalandu,Mkurugenzi wa Mawasiliano,Itikadi,Uenezi na Mambo ya Nje CHADEMA,John Mrema,kabla ya kuelekea kwenye msiba wa Mkuu wa jimbo mstaafu (Mchungaji Looka Mushi) huko jimboni Hai,leo Ijumaa 17/11/2017