KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 18,103
- 32,730
Tanzania Hakuna demokrasia kwenye chama chochote cha siasa!!....
Tofauti ni kuwa waliokuwa madarakani wanatumia dola kuzima fikra hasi dhidi yao na walio nje ya dola wanatumia lugha chafu na zenye kuudhi dhidi ya hoja zinazokinzana na mitazamo yao....!!!!!.....
CCM inaendesha chaguzi ambazo zinaitwa za kidemokrasia huku tukiwa ikiwa na matokeo mfukoni.......
Huku chama Cha Demokrasia na Maendeleo mwenyekiti wake ametoa ukomo wa uenyekiti......!!
Kinachofanya siasa za Tanzania kuwa rahisi ni kuwa Watanzania wameshaachana na matumizi ya fikra zao bali wanaendeshwa na mihemko ya matukio......!!!!
Ukombozi wa Kweli wa taifa hili utaanza pale siku mwananchi atakapoanza kutumia akili yake kutafakari mambo yanayomzunguka.....na huo ndio utakuwa mwisho wa wanasiasa uchwara wanaohubiri kile wasichokitenda!!!....
Tofauti ni kuwa waliokuwa madarakani wanatumia dola kuzima fikra hasi dhidi yao na walio nje ya dola wanatumia lugha chafu na zenye kuudhi dhidi ya hoja zinazokinzana na mitazamo yao....!!!!!.....
CCM inaendesha chaguzi ambazo zinaitwa za kidemokrasia huku tukiwa ikiwa na matokeo mfukoni.......
Huku chama Cha Demokrasia na Maendeleo mwenyekiti wake ametoa ukomo wa uenyekiti......!!
Kinachofanya siasa za Tanzania kuwa rahisi ni kuwa Watanzania wameshaachana na matumizi ya fikra zao bali wanaendeshwa na mihemko ya matukio......!!!!
Ukombozi wa Kweli wa taifa hili utaanza pale siku mwananchi atakapoanza kutumia akili yake kutafakari mambo yanayomzunguka.....na huo ndio utakuwa mwisho wa wanasiasa uchwara wanaohubiri kile wasichokitenda!!!....