Jabakeke
JF-Expert Member
- Apr 18, 2019
- 386
- 355
Wanachama sio madiwani na wabunge tuhizo data ni za uongo. kila siku wana CHADEMA wanahamia CCM halafu huyu dj anasema chama kimeimarika? utapeli huu
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanachama sio madiwani na wabunge tuhizo data ni za uongo. kila siku wana CHADEMA wanahamia CCM halafu huyu dj anasema chama kimeimarika? utapeli huu
Acha kutisha watu for unknown fear. Kwamba kulipia ada ya uanachama ni kosa la jinai?namba za simu zote zimesajiliwa kwa mfumo wa NIDA zina ratibiwa na TCRA hivyo ni rahisi wanachama wao kufuatiliwa na kujulikana wanaishi wapi na wanapanga nini, hapa ni kuwatia majaribuni wanachama hasa wenye nyadhifa, sidhani kama ni njia sahihi kwa chadema labda kama wanatafuta njia rahisi ya kukusanya mapato na tozo mbalimbali kutoka kwa wanachama.