Naona hujafurahia Chadema kukua kinyume na matarajio yenu! Pole sana!hizo data ni za uongo. kila siku wana CHADEMA wanahamia CCM halafu huyu dj anasema chama kimeimarika? utapeli huu
Wewe ndio mwongo, achana na Hadaa za ccmhizo data ni za uongo. kila siku wana CHADEMA wanahamia CCM halafu huyu dj anasema chama kimeimarika? utapeli huu
Lumumba buku7 at work!Wanachama njooni ccm bado tunalipa ada 100 kwa mwezi 1200 kwa mwaka.
Tupo kid8gitali tangu zamani. Karibuni sana wanachama wa chama cha mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaona wanaotangazwa lkn wasio tangazwa ni wengi kwelikweli!! ccm mshukuruni JPM vinginevyo kuta za ofisi zenu zingekuwa zimejaa makohozi.hizo data ni za uongo. kila siku wana CHADEMA wanahamia CCM halafu huyu dj anasema chama kimeimarika? utapeli huu
Ili wame wapinzani ? Unajua upinzani ni roho kutoka kuzimu maana shetani ndio muasisi alileta upinzani mbinguni akatemwaWana ccm wanaitamani sana CHADEMA
Wakati mwingine siyo lazima ucomment ujingaIli wame wapinzani ? Unajua upinzani ni roho kutoka kuzimu maana shetani ndio muasisi alileta upinzani mbinguni akatemwa
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Hajitambui huyoWewe ndio mwongo, achana na Hadaa za ccm
Hawana namnaNaona hujafurahia Chadema kukua kinyume na matarajio yenu! Pole sana!
Sent from my iPhone using JamiiForums
Chadema imeimarika maradufu kwa sasaMh Mbowe ni Jabari la siasa, Lumumba wanahaha kumbe kufungia mikutano haikuwa dawa ya kuwadhoofisha hawa jamaa kabisa, sijui tuwaruhusu tu.
Karibu makao makuuNina wasiwasi na hiyo 6M ya wanachama. Otherwise tuone hiyo data base
Sent using Jamii Forums mobile app
Kimejipanga hasaChadema kiko tayari kuchukua dola
Sio kwa kushushuliwa huku lol!Linakuhusu? Acha kuyafanya Maisha yako kuwa magumu kwa kunusa na kufuatilia visivyokuhusu!
Siasa isikufanye ukashifu watu acha izo kijana kwani ukitengeneza hoja yako bila kukashifu watu unapungukiwa na Nini?Wote warembo, sio wale wa ccm majizee matupu na machangudoa ya kutupwa, yale yanayopakaa wanja unashuka mpaka kwenye shavu. Halafu cdm wajitahidi kutunga wimbo mpya wa hamasa, uwe na mashahiri mazito.
Siasa isikufanye ukashifu watu acha izo kijana kwani ukitengeneza hoja yako bila kukashifu watu unapungukiwa na Nini?
Kama vile mwenyekiti wa ccm anavyopinga demokrasia nchini? Kwahiyo na yeye ni roho kutoka KUZIMU?Ili wame wapinzani ? Unajua upinzani ni roho kutoka kuzimu maana shetani ndio muasisi alileta upinzani mbinguni akatemwa
State agent
Sent using Jamii Forums mobile app
Kachenji gia anganhizo data ni za uongo. kila siku wana CHADEMA wanahamia CCM halafu huyu dj anasema chama kimeimarika? utapeli huu
kafie mbele na mtumba wako wa CCM ,wenyewe unawajua?Wanachama njooni ccm bado tunalipa ada 100 kwa mwezi 1200 kwa mwaka.
Tupo kid8gitali tangu zamani. Karibuni sana wanachama wa chama cha mapinduzi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Freeman Mbowe amesema baada ya kuzuiliwa mikutano ya hadhara kwa hila chama hicho kimeimarika maradufu.
View attachment 1289779
Akihutubia mkutano mkuu wa Baraza la Wanawake Chadema katija ukumbi wa Mlimani City kiongozi huyo amesema chama hicho kiliamua kufanya siasa mpya za kuzunguka kata zote nchini kuandikusha wanachama na kufanya mikakati ya ndani.
Mbowe amesema chama hicho hakitamani tena siasa za mikutano ya hadhara kwani wamegundua mikutano ya ndani ndiyo njia muhimu zaidi ya kujijenga kwani kuna uhalisia na unaweza kupima matokeo
Katika hatua nyingine Mbowe ametangaza rasmi idadi ya wanachama wa Chadema wenye kadi na kusema imefikia milioni 6.
Mbowe amesema chama kina database ya wanachama wote milioni 6 kwamba wapo wapi na jinsia yao ikiwemo idadi ya vijana,wazee,watoto,wanawake na wanaume.
Muda wote Mbowe alikuwa anashangiliwa kwa shangwe na mayowe na wanawake hao Bawacha kiasi kwamba wakati mwingine hotuba yake ilikuwa haisikiki vyema kwa kushangiliwa.
Kiongozi huyo wa Chadema amesema pia chama hicho siku ya mkutano mkuu tarehe 18 Dec kitazindua rasmi program ya chama ijulikanayo kama CHADEMA DIGITAL.Katika program hiyo wanachama watatumia simu zao kupata taarifa zote za chama na pia kulipia ada za uanachama.Pia Mbowe amesema ataliomba Baraza Kuu kuidhinisha ada ya uanachama kuwa shilingi elfu 2 badala ya elfu 1 kwa mwaka.