Idugunde
JF-Expert Member
- May 21, 2020
- 6,273
- 6,637
Tabia na kasumba ya kutegemea mtu mmoja kuwa kila kitu katika chama imekighalimu Chadema na wafuasi wake.
Sasa hivi wameishiwa pumzi za kisiasa na hawana tambo na wamekuwa kama yatima wa kisiasa. Hawajui juu ya future yao kisiasa itakuwaje?
My take; Ni wazi kuwa Chadema kuna mfumo wa one man band, mfumo ambao umewakwamisha kwa miaka 20. Waachana nao kabisa.
Sasa hivi wameishiwa pumzi za kisiasa na hawana tambo na wamekuwa kama yatima wa kisiasa. Hawajui juu ya future yao kisiasa itakuwaje?
My take; Ni wazi kuwa Chadema kuna mfumo wa one man band, mfumo ambao umewakwamisha kwa miaka 20. Waachana nao kabisa.