Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,293
- 217,275
Hivi ndivyo ilivyokuwa leo tarehe 8/12/2022 ambapo kulikuwa na vikao vya faragha vya kujadili Haki, Usawa na Demokrasia ikiwa ni maandalizi ya kuhitimisha vikao vya IDU hapo kesho.
Hapa akiteta jambo na Mbunge kutoka Florida Mh Michael Waltz
Hapa chini akiwa amezungukwa na Kundi la viongozi wa kizungu wakimshangaa kwa uvumilivu wake pamoja na kusingiziwa Ugaidi wa Uongo
Hapa akiteta jambo na Mbunge kutoka Florida Mh Michael Waltz
Hapa chini akiwa amezungukwa na Kundi la viongozi wa kizungu wakimshangaa kwa uvumilivu wake pamoja na kusingiziwa Ugaidi wa Uongo