Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 116,122
- 214,239
Habari zilizotufikia hivi punde zinaonyesha kwamba watu walioishiwa hoja wameingia studio kutengeneza sauti feki ya Gwiji la siasa nchini Tanzania Mbowe akipanga njama za kumshambulia Lissu Dodoma mwaka 2017
Bado haijajulikana malengo kamili ya mipango hiyo inayopangwa na mmoja wa viongozi wa chama cha siasa , lakini uzuri wa bahati ni kwamba ndani ya Studio kunakorekodiwa single hii yumo mtoa taarifa wetu .
Tutaendelea kufichua uchafu wote unaopangwa kwa kadri unavyopatikana .
Nakala : CHADEMA , Chadema Diaspora , BAVICHA Taifa