johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,857
- Thread starter
- #21
Hahahaaaa... Kuna maisha nje ya siasa bwashee!Dawa leo zimemezwa Mkuu na akimeza dawa akili zake kama wanachadema.
Hahahaaaa... Kuna maisha nje ya siasa bwashee!Dawa leo zimemezwa Mkuu na akimeza dawa akili zake kama wanachadema.
Wazee wako walikuwa Tandahimba enzi hizo bwashee!Ujinga tu
Hahahaaaa.......!Yaani mi naona Bora mchawi kuliko mnafiki, acha uzandiki
Ndio uache unafiki wewe mchawiHahahaaaa.......!
Hapo Chadema ni Mrangi tu anayezikumbuka swaga za Saydo!
Ukatili , kiburi, roho mbaya na mauwaji.Na huyu nae unamkumbuka kwa lipi?View attachment 1961993
Chinja chinja wapo Ufipa!Ukatili , kiburi, roho mbaya na mauwaji.
Mkuu nilichomaanisha kwamba ni ujinga ni huo uzi wa Johnthebaotist kwa sababu namfahamu kwa unafiki wake. Kwa nini asione mambo makubwa kuliko hayo ya muziki? Kati ya mambo makubwa ambayo Mbowe ameyafanya ni kutengeneza taasisi imara kabisa ya kisiasa kuliko taasisi zote nchini na hata Afrika na taasisi hiyo inaitwa CHADEMA. Kutoka kuwa chama kisichokuwa na mgombea urais mpaka kuwa chama kikuu cha upinzani ambacho kimepitia kwenye majaribio mbalimbali ya kukiangamiza ila bado kimeendelea kuwa imara kuliko wakati wowote ule. Hili ndilo la kuweza kumkumbuka kamanda mkuu Mbowe kwa hii miaka sitini.Ujinga ni kile kitendo cha kuwabambikia kesi wapinzani kutengeneza kesi feki za ugaidi ambao haupo na haujawahi kuwepo,kufanya pingu mikono miguu saa 24 kuwatesa kuwapiga waseme ugaidi ambao haupo ni mateso mabaya kupata kutokea Nchini tangu Tanzania ipate uhuru wake