Tofauti kati ya watu makini na wachumia tumbo lazima uuijue tu, kwani Manzese kuna shida gani? Si watanzania wanaishi? Hapa watu wanataka kuikomboa nchi hata wakikutana chini mti, ndio ni kweli kulikuwa hakuna hata juice ila wananchi walikaa masaa manne kusikiliza tena kwa utulivu, wakiwa na uchungu mkubwa wa umasikini wa kutengenezwa na serilikali yetu dhaifu na dhalimu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.