ostrichegg
JF-Expert Member
- Jun 30, 2013
- 12,052
- 6,197
AMENKingai bana,cdm hawahitaji kuombewa msamaha na Zito kwakuwa wanaweza kupigania haki zao. Hakuna mwenye tatizo na Samia alichomwambia Lisu, bali sisi tunajua Lisu alichomwambia Hangaya. Kama Hangaya anaona kuna la kuficha kwa alichomwambia Lisu is non of our business.