Nigrastratatract nerve
JF-Expert Member
- Sep 4, 2019
- 1,395
- 3,899
Mwenyekiti wa Chadema Mwamba Freeman Mbowe anaendelea na kampeni ya kuhamasisha upatikakanaji wa Katiba Mpya na Tume Huru ya Uchaguzi , kampeni hiyo imebatizwa jina la Operesheni Haki .
Anatarajiwa kuongoza vikao kadhaa vya Mashauriano ndani ya Kanda hiyo.
Pichani Mwamba Mwenyewe akisaini Kitabu cha Wageni baada ya kuwasili kwenye Ofisi za Kanda hiyo.
Mbowe huyu katili muongo dikteta tapeli la kisiasa ni wa kumhurumia sana maana ameshasomwa mbinuu zake zoote woote wamemsaliti akae tu alee wajukuu miaka 61 unahangaika kwwenye hamna counter attack atakayofanyiwa na CCM atamkumbuka JPM kwamba bora nilipata mbunge mmoja na madiwani viti maalumu 19 CHADEMA imemalizika hivyo na kama hawaamini wasuburie watakachofanyiwa na CCM YA wajuaji tayari katibu mwenezi ameshawqruka ukiona hvy ujue ni sauti kutoka juuexpand...