Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,296
- 217,297
- Thread starter
- #81
njama ya kishamba sana !
Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?
Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......
Umri haungoji mtu angalieni!!!
BREAKING NEWS:-
Katibu mwenezi wa CHADEMA wilaya ya Hai (Pichani) amechezea kichapo kikali baada ya kufumaniwa na mke wa mtu akivunja amri ya 6 ya Mungu katika Guest House moja alfajir leo huku hai
Hata hivyo dakika chache kabla CHADEMA walitaka kusambaza taarifa kuwa *AMETEKWA* kama wanavyofanyaga ili kuzichafua taasisi nyingine huku wakijua kwamba WAMETEKWA.... Habari zaidi inakuja
Ndio huyu walimuandika juzi kuwa amefumaniwa?
Zipi habari sahihi?Alitekwa au alifumaniwa?
Apone haraka arejee kwenye majukumu yake.....
Mbona cjaona mahali alipolaumiwa Magu?...Acheni kujihami bwana, kwani ni nani mgeni Tanzania hii na Siasa chafu za ccm?Hivi wasomi watz hatuna kingine cha kufanya kweli badala ya kushupalia siasa?
Utakuta jitu ni lihitimu chuo kikuu cha Dar es salaam kitivo cha uhandisi na teknolojia "coet" haliwez hata kutengeneza kalavat likisha unga unga msosi wa mchana linatafuta kivuli kuongelea siasa/kumlaumu magu.......
Umri haungoji mtu angalieni!!!
Acha uzushi..hapo alikuwa hajavunjwa miguu hata mikono au
njama ya kishamba sana !
😆😆😆😆View attachment 1181304
njoo nikupime kiwuno
umeandika utumbo kabisa. Think Big acha kuwa mpumbavu wa kias hiki.
Hope anaendelea vyema na matibabu.View attachment 1177888
Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe , amefika kwenye Hospitali ya KCMC kumjulia hali Katibu wa Chadema jimbo la Hai ambaye alitekwa na kuvunjwa mguu na mkono na wanaoitwa watu wasiojulikana .
Ikumbukwe kwamba Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Hai ambaye pia ni DC wa Wilaya hiyo , mwenye kashfa ya kuomba rushwa wafanyabiashara anaitwa Ole Sabaya
View attachment 1177888
Mwenyekiti wa Chadema na Kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni Mh Freeman Mbowe , amefika kwenye Hospitali ya KCMC kumjulia hali Katibu wa Chadema jimbo la Hai ambaye alitekwa na kuvunjwa mguu na mkono na wanaoitwa watu wasiojulikana .
Ikumbukwe kwamba Mkuu wa Ulinzi na Usalama wa Wilaya ya Hai ambaye pia ni DC wa Wilaya hiyo , mwenye kashfa ya kuomba rushwa wafanyabiashara anaitwa Ole Sabaya
huna hojaUtakuta yeye ndio kamsukia raketi halafu anavunga kufakumjulia hali,unafiki mtupu tu hapo
Baada ya posho kuzimwa umekimbia !Okay tumekusikia kibaraka wa mabeberu!
Haya yalikuwa yanatokea nchi jirani: Kenya, Burundi, Rwanda, nk.Dah hizi siasa zingine hizi bora kuacha tu
Hivi ni kuumiza familia tu ikose hela ya mboga